Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

ila mzee aisee ana moyo. ningekuwa mimi hata kuongea nisingeongea. tuwe wakweli. lowasa alipiga sana kampeni mzee awe rais, ila sikuile alipoachia ngazi imeweka picha kubwa sana. sitaki kuendelea kusema, ila nimalize kwa kusema pengine ulikuwa mpango wa Mungu manake tungetawaliwa na lowasa leo hii aisee tungekuwa tumeibiwa pesa hadi nchi ingekuwa masikini kuliko ilivyo. thanks JK.
mbona unasiginia kunguni, nani angeibia nchi bila haya? Angepata urais angeendesha nchi vizuri tu
 
Lowasa alikua anasema mkwere awamu moja inamtosha,wanafki wakamwambia jakaya,kwa kuwa anamjua ana tamaa ya pesa na laana ya Nyerere,akawaambia mwacheni atajikaanga mwenyewe kwa mafuta yake,haikuchukua muda mchongo wa Richmond huu
Kuna meengi tusiyoyajua lakini hawa wanafiki wenye chuki na Kikwete wanazingua sana
 
Kuna ile Sheria inaitwa don't outshine your master.
Lowassa alikuwa very powerful Chamani, kwa hela na ushawishi nje na ndani ya CCM.

But akawakosa wana mkakati kama Mangula upande wake
 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).

Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.

Ukitaka kuwa mnafiki hakikisha hauna soni wala nishai.

Yaani ondoa aibu.

Huyu mzee ana digrii za kutokuwa na soni
 
Back
Top Bottom