Na Ditopile Mzuzuri alikuwapo?WAKUMBUSHANA NYIMBO ZA USHINDI VITA YA UGANDA
LEO Desemba 05,2021 wazee wa CCM walio wanajeshi akiwemo Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete Lt. (Colonel mstaafu) na viongozi Abdulrahman Kinana (Colonel mstaafu), Yusuf Makamba (Luteni mstaafu), Capt Ditopile Mzuzuri wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye.. na kutoboa siri ya jinsi walivyoishi kwa ...
Hii kitu siyoLEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Siyo kuwa wanajiandaa kuzama kabisakabisa katika bahari kama wanajeshi wa pharaoh na wapanda farasi wake?Hapo wanawambieni hao wazee na familia zao ndo wenye nchi na ukipewa lazima ufuate muongozo wao, mwingine gusa unate. 😀 Hapo wanajipongeza ktk hiyo karamu
Si uliwahi kusema ume mmissHuyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
leteni ushahidi hapa nn alichofanya kwene home shopping center zisije zikawa story za vijiwe vya kahawa.... Enzi za magufuli mbona GSM walisikika au kusikika kwa namna gani?Hata angekuwa bondeni kwa Mandela, angepata kashi kashi sana kwa hujuma aliyoifanyia nchi hii!! Enzi ya Magufuli HOME SHOPPING CENTRE [ GSM] uliwasikia? Huoni ajabu leo wameanza jeuri yao?
Ila pia alifundishwa kuwafanyia wananchi ujambazi sambamba na hilo? Mbona case za ufisadi haongelei kabisa?LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Hawa ndio wale aliowasema amfredi konokono au? 😅... kweli CCM imerudi kwa wenyewe!
GSM waliishi kwa adabu sana ujinga waliacha kabisa😅leteni ushahidi hapa nn alichofanya kwene home shopping center zisije zikawa story za vijiwe vya kahawa.... Enzi za magufuli mbona GSM walisikika au kusikika kwa namna gani?
Si mzee wa michongo mingi mwaisa😅Daah, Mzee Kikwete anazeeka vizuri sana!
Capt. Ditopile Mzuzuri amefufuka kuja kushiriki kongomano la leo??? Andika vitu unavyovishuhudia na si unavyovifikiria.
Maskini atakombolewa na jitihada zake hakuna Rais atakuja kuwekea watu pesa mfukoni, aliwahi kusema hakuna vya bureee.Haka ni kakikundi ka kumlaghai Mama Samia. Yaani Mama kastukia mchezo sasa wenyewe wanaona asiwanange. Mama shikilia hapo hapo, kumbuka hao wote walioongoza nchi kwa msalahi yao binafsi hawatakumbukwa, historia itawahukumu. Tunataka uzalendo, kumkomboa maskini na kuifanya Tanzania yenye neema
Jamaa ni mkweliLEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..