Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Tukutane 2025 na utabiri wenu fake
 

 
Kijana wake mwandishi wa hotuba karudi kwenye kabineti.........

Ila sijawahi mchukia Jeikei,amenisaidia mengi ambayo binafsi nisingetoboa
 
Ukarimu wote anaompa ndo leo asimsifie kweli, hawa wote wezi tu na huyo mpuuzi angejua kitaani anavyochukiwa laiti angekaa kimya. Hakuna anayeomba kifo ila huyu dalali akifa nitamtolea Mungu sadaka nono sana
 
unampenda wewe na nani?Ombi lenu wewe na nani?semea nafsi yako Mama K
 
Nimeamini watu wana roho mbaya, nyie Sukuma gang tulieni dawa iwaingie. JK yupo sana hata mumwombee kifo. Yaani mtu asiteuliwe kwa sababu ya chuki zenu...., Mbona Mwendazake alikua anatengua watu na hamkuwatetea, acheni vijana waliolelewa na Chama wapewe nafasi na bado wapo wengi watateuliwa kama Nape, Ridhiwani na wengine wengi
 
Chama lake lote liko njiani kurudi kwenye system, bado wawili tu so ni lazima amsifie ili pia kubadili hali ya story za huku mitaani baada ya teuzi mbili zenye utata
 
Hata mimi ningekuwa nanufaika na utawala wake iwe halali au haramu pia ningesema hivyo hivyo. Mafuta ya kula lita 20 sh. 89,000/= sukari kilo 2,900/= tozo za miamala ya simu, tozo za mita za nyumba, ugaidi wa kusingiziana!!! Mhh kweli alieshiba hamjui mwenye njaa.
 
Inaendaje vizuri wakati muhusika alisema hakujiandaa?

if you fail to prepare, you are preparing to fail.

Yuko kwenye failure state ! Simple as that

Hata mwenda zake alitwambia alikua ana bip urasi au umesahau
 
Chaguo la Mungu? Shame on you!

Mungu alimchagua huyu lini na kwenda kufanya kitu gani?

Hebu weka hapa uthibitisho tuuone?

Umepagawa nini wewe [emoji15] hukuona kura ya Mungu iliompa Samia urasi ? Weka kwenye akili yako na uzingatie Mungu huwa anamuondoa mtu ili mwingine achukue nafasi.
 
Jk bana, yaani anajiongeza yeye mwenyewe kwa kuendesha nchi vizuri.
JK acha kuzuga kumpongeza mama Samia, wewe ndio dereva
 
Duh embu dadavua hizo siku mkuu?
 
Huku mjini tunachokiona ni mateja kuongezeka sana, pesa halali hakuna.
Halafu unaambiwa nchi inaenda vizuri. Haya Bwana. Mungu sio wa chalinze.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Aisee umesema kweli kabisa, vijana wanavuta bangi hadharani, sijui ndo nchi gani inakwenda vizuri?
Tatizo hili lisiposhughulikiwa tunakwenda kubaya sana,
Naomba viongozi wa mitaa mpelekee rais taarifa za ukweli, jk anamdanganya rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…