Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Amsafishe na udhaifu unaouona wewe pekee au unamaanisha kuwa Rais Samiha ni dhaifu?
 
Umeshapata uteuzi au bado ndio umeanza kujipendekeza
Wala sina haja ya uteuzi lakini ukweli lazima tuseme. Ndani ya hii miezi sita tumaini limeonekana. Sisi wadaiwa wa bodi ya mikopo na watumishi, wakulima tunaelewa nini Hangaya anafanya na lazima tuappreciate. Huu utamaduni wa kuponda kila kitu ulitugharimu huko nyuma.
Najua hawezi kumaliza kero zote ndani ya nusu mwaka, Ila anaonyesha matumaini.
 
Sasa mnataka nini, katiba hamtaki, Rais hamumtaki. Nchi ngumu sana hii.....au upinzani ni kupinga kila kitu
unampenda wewe na nani?Ombi lenu wewe na nani?semea nafsi yako Mama K
 
Mafuta na sukari vimeanza kupanda baada ya Samia kuingia madarakani?
 
Akili za kuambiwa Changanya na zako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Umepagawa nini wewe [emoji15] hukuona kura ya Mungu iliompa Samia urasi ? Weka kwenye akili yako na uzingatie Mungu huwa anamuondoa mtu ili mwingine achukue nafasi.
Weka hapa uthibitisho hiyo kura ilipigwa lini? Acha pang'ang'a mingi

By the way CCM hua mnaamini kwenye kura au mnakuwa na matokeo yenu tayari hata kabla ya zoezi??

Jinsi mlivyonyanyasa mawakala wa vyama pinzani especially CHADEMA na ACT ni Mungu gani huyo mnayemzungumzia wapi au mungu wa chato?
 
Piga kazi mama Kuna watu tuna imani utatuvusha, nilichogundua nchi hii hata tukiongozwa na malaika bado maneno hayatakosekana. Walioko nje ya system lazima watataka kuaminisha watu kuwa huwezi ili wapate nafasi
 
Weka hapa uthibitisho hiyo kura ilipigwa lini?

By the way CCM hua mnaamini kwenye kura au mnakuwa na matokeo yenu tayai hata kabla ya zoezi?...

Kwa watu wenye imani ya Mungu huamin kua Mungu huumpa ufalme amtakaye na humnyima ufalme amtakaye wewe uwe na majeshi na kura zote ziwe zako kama Mungu hakuandika wewe kua Mfalme katu haiwi atakufanyia chochote kile ili usikae pale na unaweza kua kapuku kama tulivyo mimi na wewe kama Mungu alituandikia kuwa Wafalme iko siku unashitukia umekua Mfalme bila hata mwenyewe kujua hivi kwa akili yako iliwahi kupita kichwani mwako kua ikosiku Mgufuli angekua Raisi wa nchi hii? ukimtizama alikua na uzito upi ktk Chama CCM?

Na weka akilinimwako Mungu huliadhibu taifa fulani kwa uovu wao kwa kuwapa kiongozi MUOVU pia huwa hulipa nafuu taifa fulani kwa kuwapa kiongozi Mwema
 
Rais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya
Muda wake uliisha huyu Mzee kimya, hatuhitaji kusikia lolote toka kwake, kwani sisi hatuwezi ku-assess utendaji wa Kiongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…