Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

Babu Seya alifungwa 2004 Rais akiwa Mkapa acheni maneno ya vijiweni kama ungemsikiliza vizuri Magufuli na ukawa na akili alimaanisha Msamaha hauna maana hawakutenda kosa!Wale jamaa ni issue ya nani na nani hawakutenda ila ushenzi ulifanywa
 
Babu Seya alifungwa 2004 Rais akiwa Mkapa acheni maneno ya vijiweni kama ungemsikiliza vizuri Magufuli na ukawa na akili alimaanisha Msamaha hauna maana hawakutenda kosa!Wale jamaa ni issue ya nani na nani hawakutenda ila ushenzi ulifanywa
Uwongo wale watoto walipangwa eti watiwe mwezi WA April waje washikwe oktoba na ushahidi mwingine hakimu alikataa kabisa, wamebaki na aibu wale majaji wa rufaa na hakimu wao MUNGU atawapa mnachostahili
 
Babu Seya alifungwa 2004 Rais akiwa Mkapa acheni maneno ya vijiweni kama ungemsikiliza vizuri Magufuli na ukawa na akili alimaanisha Msamaha hauna maana hawakutenda kosa!Wale jamaa ni issue ya nani na nani hawakutenda ila ushenzi ulifanywa
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kweli usione mtu kapewa heshima ya kutoka bachelor's degree hadi kuitwa Prof. Dr. JK hakika tambua kuwa anajua figisu, kanuni , na utatuzi makini sana wa mambo hayo.
 
Uwongo wale watoto walipangwa eti watiwe mwezi WA April waje washikwe oktoba na ushahidi mwingine hakimu alikataa kabisa, wamebaki na aibu wale majaji wa rufaa na hakimu wao MUNGU atawapa mnachostahili
Wewe unaweza kumwambia mwanao wa kiume aseme amelawitiwa?familia za wale watoto zipo na sio njaa kali labda useme walinunuliwa!Acha maneno ya vijiwe vya kahawa
 
Kauli ya JK inaacha maswali mengi.Ni kauli Tata.Mfano nani walikuwa maadui zake ambao alijirudi na kutaka wasamehewe.
 
Ni kweli JK na Babu Seya ni maadui au ni umbea wetu wabongo?
Ni kweli,babu Seya ni Mfir-aji,ushahidi uliomtia hatiani umepitia hatua nyingi na umetolewa na watu mbalimbali kwa mtiririko unaofanana.
Kuna wanataaluma wanaotumia vifaa vya kisayansi,navyo(vifaa)vimewatia hatiani.
Kuna wataalamu wa kupitia mwenendo wa kesi,viambatanisho na kutoa maamuzi wameona hatia,
Kama haikutosha kuna wenye uzoefu wa juu katika umakini wa kuangalia PROCEEDINGS,SUBMISSIONS,na kuoa maamuzi wamerudia na wakarudia walio juu zaidi trna katika vipindi tofauti,bado waliona kuna UKWELI.
Pia Mzee Seya alifungwa wakati wa rais mwingine,na huyu wanaedai ndiyo mastermind hakuwa rais,je Mr. BEN aliridhika na UONEVU?
Zile familia za wale watoto walikuwa na shida gani?
Babu Seya alitendabmakosa.
 
Ni kweli,babu Seya ni Mfir-aji,ushahidi uliomtia hatiani umepitia hatua nyingi na umetolewa na watu mbalimbali kwa mtiririko unaofanana.
Kuna wanataaluma wanaotumia vifaa vya kisayansi,navyo(vifaa)vimewatia hatiani.
Kuna wataalamu wa kupitia mwenendo wa kesi,viambatanisho na kutoa maamuzi wameona hatia,
Kama haikutosha kuna wenye uzoefu wa juu katika umakini wa kuangalia PROCEEDINGS,SUBMISSIONS,na kuoa maamuzi wamerudia na wakarudia walio juu zaidi trna katika vipindi tofauti,bado waliona kuna UKWELI.
Pia Mzee Seya alifungwa wakati wa rais mwingine,na huyu wanaedai ndiyo mastermind hakuwa rais,je Mr. BEN aliridhika na UONEVU?
Zile familia za wale watoto walikuwa na shida gani?
Babu Seya alitendabmakosa.
Hakuna bibadamuasiyetenda dhambi,walihukumiwa kwa makosa yao, na wamesamehewa,je wewe hujawahi kusamehewa? Kwann hupendi wengine wasamehewe?
 
Jakaya Kikwete ni Mwanasiasa kweli kweli kwa wanaojua maana ya Siasa!
1) Usirithi Adui wa Mtu Mwingine , Kama kuwa na adui tengeneza adui yako Wewe Mwenyewe
2) Mchukulie kila Mtu vile alivyo huna sababu ya kutengeneza Adui
3) Akili za kuambiwa chamganya na zako!

University of Dar Es salaam ilikuwa ni platform tu lakin Ujumbe huu ulikuwa mpana zaid
 
Babu Seya alifungwa 2004 Rais akiwa Mkapa acheni maneno ya vijiweni kama ungemsikiliza vizuri Magufuli na ukawa na akili alimaanisha Msamaha hauna maana hawakutenda kosa!Wale jamaa ni issue ya nani na nani hawakutenda ila ushenzi ulifanywa
Kuna watu wanageuza hisia kuwakisa chakweli kituhawana ukweli nacho wanashabikia kuonesha mgongano jpm amesema wamekirikutenda kosa maranyingi nakuomba msamaha sasa hayo ya mama s yanatoka wapi waache kumshushia mama wa watu heshima yake nawakumbuke nimke wamtu alafu anawanae ambao wanapokea mafunzo kutoka kwa mama yao kumzushia kitu ni kumzalilisha babu hakufungwa utawala wa jk
 
Acheni kuchukulia maneno out of context na kwa mitizamo ya kisiasa. JK alikuwa anatoa ushauri ambao ni genuine na wala alikuwa hampigi mtu kijembe!!

Babu Seya alikamatwa mwaka 2003 akafungwa 2004 utawala ukiwa ni wa Mkapa.

Hata hivyo aliappeal mpaka ngazi ya mwisho kabisa ya rufaa kote huko wale majaji walimuona na hatia sasa mtasemaje ni bifu?

Soma hiyo hukumu ya mahakama ya rufaa ndo utaona hali ilivyokuwa
 

Attachments

Ni kweli JK na Babu Seya ni maadui au ni umbea wetu wabongo?
Jana kuna mdada humu ana msimamo huo, nikamuomba ushahidi akabaki anapiga mboyoyo! Na haya yaliyokea JK akiwa Waziri, hakuwa na nguvu ya kimagogoni!
 
Back
Top Bottom