Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Huyo ndiyo mwamba sasa,siyo kila wakati mnawasiliana kama mtu na mkewe.
 
Ameolewa dada yako si nyie, so dada yako ndio ana nafasi ya kumrekebisha lakini kama ameridhik nalo hilo muacheni hivyo hivyo
Kwani kuna tatizo gani?
Mimi tulikwisha malizana,nina familia yangu.
Sasa niwafuate bila sababu ili iweje wakati umbea mimi siyo MMbeya?

Dada yao huwa ananipa taarifa pindi aongeapo nao nami huwa sihitaji kumsuta.
 
Wewe unataka uwe unaongea nae nini muda wote au nyie ni familia ya wajita nimpe pole uyo muoaji.
 
Umemaliza.
Kama ana akili azitumie vizuri kutafakari hii comment.
 
Kuna mshkaji wangu aliniambia usiwahi kuoa kwenye familia iliyo kuzidi shida utapata lawama zisizo kuhusu 😅

Ni maoni yake lkn
 
Mimi baba mkwe akinipigia sipokei huwa nakosa cha kuongea nae labda mama mkwe kidoogo

Huwa napiga hasa kukiwa na matatizo mtu kuumwa n.k na hayo yenyewe taarifa ananipa mke wangu mimi natoa pole tu
 
Unamuonea wivu dada Yako, unatamani kuolewa wewe
 
Hapana aupo sawa
Kweli,first time nilikuwa karibu na watoto wa kike wa ukweni( wakiume nao kama Mimi ,wanakaza), nikaambiwa natembea na Mmoja wao,toka hapo niliacha mazoea kabisa...Mimi hata mwaka mkuu unakata sina habari.
 
Maajabu.
 
huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu,
Kwenu msikao kikao na kuamua kwa sauti moja kwamba wote muende mkaolewe naye?
jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Kumbe 'mlimuuza' nendeni mkadai amalizie kilichobaki ili kila mtu atambae na atakachopata katika 100 gawa kwa idadi yenu
 
Tena msije kuonesha pua zenu huko kwa shemeji yenu bila kua na mualiko rasmi. Na ukialikwa ni siku tatu tu mwisho wa kukaa na uje na nauli kamili ya kuja na kurudi
Nauli kamaili. Sio shemeji aanze kuangaika kutafuta change, tumeelewana enhe?
 
Acha kuendekeza njaa kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…