Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ni ukwel ambao wanaume wengi hatuukubali,wanawake watabakia kuwa wanawake Tu, ukiwafuatilia lazima utakutana na madudu Tu,sasa ya nini kutafuta stress!Acha uwoga heshima yako ni muhimu zaidi yake
Ulifanyaje mkuu?...ulitembeza kichapo?binafsi ishanikumba hio.. Nilikua naona wanaopiga au kuua sababu ya mapenzi ni mafala na maboya lakini lilipo nifika acha bana nilifanya kitu ambacho najutia mpaka leo maana kiukweli ule ujasiri sijui niliutoa wapi...tuache bana mi najijutia zangu tuu hapa pengine ningekua magereza
We endelea kupekenyua[emoji16][emoji16][emoji16]Acha uwoga heshima yako ni muhimu zaidi yake
Ukiua unafungwa lazima ulijue hili labda ujiueMimi Mpaka Leo bado nafikiria cha Kumfanya huyo Ambae atajaribu Kunibambikizia mtoto.
We una akili[emoji122][emoji122]Narudia tena wanaume tuache kupekenyua Simu za wanawake tutakufa mapema Sana.
Hasira huleta uchizi ndo ukaambiwa hasara.huyu hajakusudia ke analakujibu hapo ndo chanzo kama itafata hakiNdo alitakiwa amkomeshe huyu sasa sio mtoto...mtoto kafanya kosa gani?
Mkuu si unajua jinai hai expire ndo hivo now nipo kwenye blackmailing life experience..Ulifanyaje mkuu?...ulitembeza kichapo?
Sio lazima watu wajue kama umeuaUkiua unafungwa lazima ulijue hili labda ujiue
AsanteWe una akili[emoji122][emoji122]
Jamaa angefanya fair decision tu ya kuachana na mama lakini sio kuuwa na mbaya zaidi unauwa kiumbe kisichokuwa na hatia bora hata angeuwa mama hapo kidogo ungesema kauwa adui yake mara baada ya kugunduaIla Ni aibu kwa huyo Dada coz anaonekana sio mwaminifu na kumsakazia mwezie mtoto sio wake.
angalia kama hawa!!Mi hata bure sikubali wala panga nyumbani kwangu silitaki maana nishajijua
Sa si ndo akili zangu izoo🤒🤒angalia kama hawa!!
Mfanyakazi wa mgahawa wa Subway Northside Drive, Atlanta Marekani amefariki huku mwingine akilazwa Hospitali baada ya kupigwa risasi na Mteja aliyedai kawekewa mayonaizi nyingi kwenye mkate wake “alianza kufyetua risasi, amini usiamini… chanzo ni mayonaizi” #MillardAyoUPDATES https://t.co/VvvPih5wu3
Mbona unanifokea!! Kwani nimesema Nauaa....Ukiua unafungwa lazima ulijue hili labda ujiue
Kibaya zaidi hafikirii nini hatima ya maamuzi yake huko mbele,haya sasa anaenda kula kifungo,je amefaidika na nini,huenda alikuwa anategemewa na ndugu zake ina maana amewaangusha!!Jamaa angefanya fair decision tu ya kuachana na mama lakini sio kuuwa na mbaya zaidi unauwa kiumbe kisichokuwa na hatia bora hata angeuwa mama hapo kidogo ungesema kauwa adui yake mara baada ya kugundua
Hawa wenzetu sijuagi wana shida gani kuuana kwao ni jambo la kawaida sana.angalia kama hawa!!
Mfanyakazi wa mgahawa wa Subway Northside Drive, Atlanta Marekani amefariki huku mwingine akilazwa Hospitali baada ya kupigwa risasi na Mteja aliyedai kawekewa mayonaizi nyingi kwenye mkate wake “alianza kufyetua risasi, amini usiamini… chanzo ni mayonaizi” #MillardAyoUPDATES https://t.co/VvvPih5wu3
Sasa vipi kuhusu mama huyo aliyezaa nae yupo katika Hali gani mkuu?yaah mkuu kila mtu ana reaction yake kwenye jambo fulani mfano ile kesi ya said au jamaa aliemchoma moto mkewe ni namna tu wale watu walishindwa kudhibiti maumivu ya moyo yasizidi ufahamu wao wa kufanya maamuzi.... mimi kuna mzee namjua aliambiwa watoto sio wake siku wanafanya kipaimara baba yao alikuja yule mzee hadi leo ni nusu chizi ila uzuri watoto wanamtambua yeye kama baba yao
Utakuwa unachepuka wewe, na umemletea mmeo watoto sio wake.We endelea kupekenyua[emoji16][emoji16][emoji16]