Ko Kila mwezi niwe namgea jiwe tano?Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?
Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.
Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you
Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Kila mwezi Vipi punguza utoto.Ko Kila mwezi niwe namgea jiwe tano?
Kama anlipwa hio Kam gross still take home yake haizidi 1.7M nakama anamkopo wa loan board ndio anachukua kabisa kwenye 1.5M.Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?
Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.
Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you
Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Ye anataka Kila mwezi Sasa nimkumbuke...Kila tarehe za mshahara anasema "unaona dogo, bila mim ungekuwa nyumban saiv unaokota mapera"Kila mwezi Vipi punguza utoto.
Thanks unampa mtu mara moja imetoka, sidhani mtu mwenye akili timamu eti akutegemee wewe kisa amekuconnect kazi.
Kitendo cha wewe kumpa Thanks 30,000/= tayari inaonesha wewe ni mtu wa hovyo tu.
Hiyo amount tunapeana hapa JF bila kujuwana.
Fact man, sijui ata niishi naye vpKama anlipwa hio Kam gross still take home yake haizidi 1.7M nakama anamkopo wa loan board ndio anachukua kabisa kwenye 1.5M.
Suala lamsingi aangalie namna atakavyomlinda, nahao wanaodai mshahara wa mwezi mzima anakua sio jamaa yako, inakua nimakubaliano kabisa kabla yamtu hajaingia Job. Sasa kama Jamaa nae anafanya kazi hapohapo kwanini atolee macho mshahara wa Jamaa wakati kamsaidia kama Jamaa yake wakaribu. Majama wengine wangese tu wakishakusaidia wanataka watukuzawe.
Mtangulize mungu, bidii kazini, hizo pombe mnazokunywa pamoja mbeleni zitaku cost.Asante...nifanyaje?
Ukileta Jambo kwenye public maana yake umeshindwa kulihandle mwenyewe.Kama anlipwa hio Kam gross still take home yake haizidi 1.7M nakama anamkopo wa loan board ndio anachukua kabisa kwenye 1.5M.
Suala lamsingi aangalie namna atakavyomlinda, nahao wanaodai mshahara wa mwezi mzima anakua sio jamaa yako, inakua nimakubaliano kabisa kabla yamtu hajaingia Job. Sasa kama Jamaa nae anafanya kazi hapohapo kwanini atolee macho mshahara wa Jamaa wakati kamsaidia kama Jamaa yake wakaribu. Majama wengine wangese tu wakishakusaidia wanataka watukuzawe.
Mpe kiasi ambacho unaona kinafaa, mimi huwa siendekezi wapuuzi kama huyo jamaa yako, mwambie ukweli brother nashukuru Kwa kunisaidia lkn kiukweli hili na hili sipendezwi nalo. Lakini kama nimekukwaza kukuambia hili nisamehe brother wangu. Mimi naamini kama IPO IPO tu nakama haipo haipo hata ufanyeje.Fact man, sijui ata niishi naye vp
Unahisi ukimwambia ukweli wako atakufanyaje!?Sasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongo
NakaziaAcha kazi kumkomesha, simple
Wewe kuweza?Nakazia
Nipe no. Za mganga wakoMroge aache kukufata fata
Mtishie unaacha kazi.Nimsitiri kwani yupo uchi? We unaona achokifanya ni sawa?
We kuweza?Mtafutie hela mingi ya mkupuo mpe kisha kata laini. Mpe hata milioni 10.
Kweli ndiyo uumpe 30!!!Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"