Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Niliwahi kupitia changamoto inayoelekea kufanana na hiyo.

Kwa kweli nilipitia maumivu mpaka siku nilipoamua kumuambia ukweli
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?

Mchane ukweli mwambie tenda wema nenda zako atakae kulipa Mungu
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Wadogo zetu tukiwapa connection za kazi mkumbuke japo fadhila japo sio haki Kuna muda tunawaitaji hata mtutembelee nyie mnakua busy mnasahau mlikua mnashinda sebuleni kugombea remote na watoto wetu...
 
Mimi jamaa yangu alikua ananiconnect kwenye kazi yenye mshahara mkubwa kuliko wake, yaani ningemzidi mara 2. Bahati mbaya tu sikupata ikabidi anikonektie kwenye kitengo chake.

Nilipokuja kujua ile kazi alokua ananitumia link several times akisisitiza niapply ina ujira mkubwa kuliko wake, niliona jamaa ana roho nzuri sana.
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Mwambie amshukuru mungu maana duniani kila binadamu kaletwa ili amuinue mwezake au amvushe mwezake kwa hiyo usiumie sana kichwa kwa hilo.
 
Pole sana. Muombe Mungu kwa imani yako, kua mvumilivu kuna siku utafanya maamuzi bila wewe kutarajia. Makazini kuna mambo ya ajabu sana. Nilipitia hii hali ilinitesa sana ila Mungu mwema sikudumu kwenye ile ajira.
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Cha kukushauri hapo, tanua mianya ya kukuingizia kipato mf fungua biashara, chukua hata bajaji za mkopo ndani ya muda mfupi chombo kinakuwa chako 100% .

Ukitegemea kazi basi jua fika jamaa hashindwi kukuharibia muda wowote.
 
Cha kukushauri hapo, tanua mianya ya kukuingizia kipato mf fungua biashara, chukua hata bajaji za mkopo ndani ya muda mfupi chombo kinakuwa chako 100% .

Ukitegemea kazi basi jua fika jamaa hashindwi kukuharibia muda wowote.
Hii ya bajaji naomba mchanganuo zaidi mkuu...Yani nakopaje, riba shingapi na itanifaidisha vipi hiyo bajaji?
 
Kwanza Mimi skumuomba kazi, yeye ndo alinitafuta from the blue...afu saiv ndo imekuwa kama deni
Kwa jibu hili japo sijasikiliza upande wa pili ila inaonesha wazi mwenye matatizo ni wewe pia wewe ni mchoyo wa fadhila kuna vitu unavificha ficha.

Maana ulivyoandika kana kwamba shobo zake jamaa ndio zimepelekea kukufanyia connection.
 
Wewe una tabia ya uchoyo na ubinafsi. Mtu mwenye busara angemsitiri jamaa yake na sio kuja kuandika uzi hapa. Wewe kama unashindwa ku-handle suala dogo kama hilo hata hiyo ajira unaweza ukaipoteza. Ninaungana na mwanauvinza kwamba uache kazi ili kumkomesha
Kwa jinsi nilivyosoma replies zake nimegundua tatizo lipo kwake na sio kwa huyo mshikaji wake.

Huyu mleta mada ndio dizaini ya wale watu unaowasaidia wakifanikiwa wanakupiga majungu na kutaka kushindana na wewe uliyewasaidia na kukushusha kabisa .
 
Back
Top Bottom