Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

Jamaa yangu Kwa wazazi wake ni pachafu Sana. Mama yake anaishi Kama mnyama

Huyo rafiki yako anakuamini sana na anajua wewe ni rafiki yake wa kweli kabisa,
ndio maana hakua na wasiwasi akakupeleka kwao,

Cha ajabu badala ya kumshauri kama rafiki yako na mtu aliyekuamini,wewe umekimbilia kuja JF kumuanika hali ya kwao na kuja kutuuliza sisi hapa!

Kwanini usingemuuliza huyo rafiki yako huko huko?

Baada ya wewe kuona maisha ya huyo Mama mzee yalivyo,wewe ulitoa msaada gani au ushauri gani? au ndio umekimbilia tu huku JF?
Ungemsaidia huyo Mama ingependeza zaidi au ungemshauri Rafiki yako live ingekua sawa kabisa.
Mtoa mada, MATAKO yako......umekaa kidadada wa uswazi....shenzi type...Mambo ya watu unaleta huku? Tako wewe
 
Acha kufuatilia maisha ya watu kijana!

Hajakupeleka kwa lengo hilo! Nyie ndio mkikutana na classmate mnakutaka kujua maendeleo yake!
Itakusaidia nini?
Rafiki mzuri ni yule asiyeridhika na ujinga wa mwenzie, cha muhimu amshauri awarekebishie mazingira nyumbani kwao kama ana uwezo, hajafanya vibaya kujiskia vibaya mama wa mwenzie kuishi maisha duni. Kuna watu huwa wanaishi wanajisahau huko mjini kwamba wazazi wake walibaki na dhiki ili wamlee aje kufanikiwa, wakifanikiwa wanasahau hata ndugu wanabadilisha wale wenye pesa ndo wanakuwa ndugu wanasahau wazazi walio wazaa na kuwalea
 
Wote mnaotukana akili zenu ni ndogo mno na pengine majumbani mwenu pia mmepasahau wazazi wenu wanaishi maisha ya dhiki hamuwezi karibisha marafiki wala workmates zenu sababu ya aibu, rafiki mzuri ni yule anayeumia juu ya hali ya mwenzie akamshauri akafanya jambo la maendeleo kwao.
 
Umasikini ni mbaya sana! Hapo watu mmekereka jamaa kutokufurahishwa na maisha ya mama wa rafiki, nimempenda mleta mada maana imewagusa wengi na hivi wengine maisha ni apeche alolo basi mmetukana! Chukueni hiyo iwasiadie mrekebishe mlipojisahau na mjue huwa ni aibu kubwa mnajipa kwa wenzenu mnaishi maisha mazuri afu mzazi huko anaishi kama kabwela masikini Lazaro akasome
 
HILI NI FUNZO..TUMUOMBE SANA MUNGU ATUSAIDIE TUWE NA MAISHA BORA ILI HAPO BAADAE TUSITEGEMEE WATOTO MAANA WATOTO TUMEWAZAA SISI WAZAZI.

SEMA NAE MTOTO KIDOGO AJIONGEZE KUPABORESHA NYUMBANI JAPO SIO LAZIMA.
Acha kukumbatia tamaduni za westerners, hapa sio Marekani ni Tanzania.

Mtoto ni lazima asaidie na kuhudumia wazazi wake atake asitake sababu hiyo ndiyo maana ya kuwa binadamu.

Sio lazima? Ungekuwa karibu ningekuzaba kofi akili ikae sawa.
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Weka picha
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Kuna mfanyakazi mwenzetu alifiwa na baba yake. Colleagues Waliomsindikiza wakaja kutangaza kuwa wazazi wa mfiwa Wana makazi Duni.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Jenga kwenu ndugu acha lawama.
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Kuna mfanyakazi mwenzetu alifiwa na baba yake. Colleagues Waliomsindikiza wakaja kutangaza kuwa wazazi wa mfiwa Wana makazi Duni.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Yaani hata kama kwenu ni pazuri sana wengine wivu ndio utazidi mwingine ashindwi kwenda kuloga vitu viharibike.Ni muhimu sana kuangalia watu tunaowakaribisha majumbani mwetu.
 
Ndiyo maana hata nikipata msiba sitaki kusindikizwa na wafanyakazi nyumbani. Naenda kimya kimya tu.

Kuna mfanyakazi mwenzetu alifiwa na baba yake. Colleagues Waliomsindikiza wakaja kutangaza kuwa wazazi wa mfiwa Wana makazi Duni.

Nyie marafiki wa kazini mwapenda kutangaza mambo ya watu. Mnakuja kama marafiki kumbe ni wapumbavu tu🖕🏿🖕🏿
Mengine yanazidi hadi kukaa kimya unaona "zambi"
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Ipo kwa watu wengi sana maarufu ambao maisha yao na ya wazazi wao huwezi kutegemea
Nakumbuka kuna jamaa mmoja alifiwa na mama yake , tukasafiri ili tukashiriki maziko alituelekeza kanisani ambapo misa infefanyika hakutaka kabisa tufike kwao kwenye msiba, na alivyo na misofa hapa mjini tukajiongeza, tukaishia kutazamana tu
 
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu

Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti.

Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama yake anaishi Kama mnyama.

Nyumba hovyo, choo cha makuti hamna maji, mama yake around 70 yrs anabeba ndoo ya maji kichwani.

Is all about shit.

Hivi inakuaje mtu unaishi mjini vizuri then wazazi wanaishi sehemu chafu Kama hizo wanapikia makuni, wanakunywa maji ya visima vichafu, hawana miundombinu mizuri.
Mpuuzi kabisa wewe, ulienda kuchunguza maisha ya watu?
 
Maisha ya wengi yapo hivyo kwao
Na wewe kama kweni baba yako alihangaika akaweka mambo vizuri basi shangazi yako yuko kama huyo mama na huyo ni dada wa baba yako
 
Back
Top Bottom