Waliopitishia pesa kwa wakina rugemalilabwapo nje wanakula maisha mzee wa watu kakaa mahabusu miaka zaidi ya mi 4 huu ni uonevu wa hali ya juu.Ma-CCM katika ubora wao.
Hizi hela zimeliwa na genge la wala nchi na ndio maana imekuwa vigumu kuendelea na hii kesi.
Wewe huhitaji maendeleo, ila kuna watu huko vijijini wanalala chini hospitals, akina mama wajawazito gharama za kujifungua zipo juu, gharama za maiti, na vingine vingi.Sisi tunachotaka kwa mzee atushushie bei za Heineken tu mpaka 2500 basi.
Wengine wala hatuhitaji maendeleo sisi ni bia tamu asikwambie mtu bana.
Unataka afunge watu ndio utakua na imani nae?Huyu DPP mpya huyu sina imani naye kabisaaaa
Muda wote huo kakaa magereza haijaproviwa kuwa alikuwa na kesi ya kujibu. Alisingiziwa.Angekiri angewachafua viongozi wa awamu ya nne
Hakuna aliye-mind ila tu nikutahadharishe kuwa kuna Magufuli wengi mno wenye misimamo kuliko mwenda zake. So, take care usijisahau sana. Kujua wapo wapi kwa sasa na wanafanya nini, sio kazi yako.Mwendawazimu alikufa tarehe 17/ 03/ 21 na kuzikwa kule Chato. Kama unamaindi, Go to hell as well
Hakuna aliye-mind ila tu nikutahadharishe kuwa kuna Magufuli wengi mno wenye misimamo kuliko mwenda zake. So, take care usijisahau sana. Kujua wapo wapi kwa sasa na wanafanya nini, sio kazi yako.
Kujua ni baada ya muda gani watatokea, sio muda wako. Jua tu wapo na kuna hatari kubwa mbele.
Kwa ni kuna ubaya mtu kuongea? Mbona unajihami? Mwenda zake inaonekana alijua kuminya korodani zenu eeeeh? Yaani kafa ila anawatesa bado[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli nyie nyumbumataga pori mtaficha wapi sura zenu??
Huyu si ameshahukumiwa!Ginimbi Aachiwe
Holly Man Anointed
Peke yako, sio wote!Mwendazake aliletwa duniani Ili sisi tulio hai tujifunze kitu hasa juu ya uKuu wa Mungu
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Acheni kutisha watu nyinyi.. kama watoto vile kwa sarakasi hizi!
Hata sitishi watu[emoji23] natoa taarifa!Acheni kutisha watu nyinyi.. kama watoto vile kwa sarakasi hizi!
watakuwa hawajampora kweli?, ni mzalendo kwa tz na si serekali ya ccm. uonevu tangu asubuhi mpaka jioni. eti hawanania ya kuendelea na kesi
Kama ukujifunza juu ya yaliyowapata walio jiinua unahitaji damu ya Yesu ikusafishe kwa kweliPeke yako, sio wote!
Yaani wewe akili yako imejaa kamasi huyo ni group la kikwete ni mwizi, fidia ya nini!? Kauze mashamba ya babu yako uje umlipe!Kama kesi imefutwa walipwe kwa gharama zote walizotumia, familia zao kupata shida na kwa kufugwa bila kuwa na kesi
Kamuombe akugawie! Nyinyi vichwa panzi kazi kutetea wezi wakati wewe huna hata baiskeli!Mwendazake alifanya upimbi sana
Mzee Ruge kapambana kiume
Unajua remote ya nchi nayo ilihusika katika mchongo huo hivyo ni lazima aachiwe huru kwa maamuzi ya remote ya nchi yetu ya Tanzania.Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai