James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Parker Solar Probe Nielezee kuhusu hii kitu,pia kuhusu defensive asteroid kutoka nasa
 
Kanungila Karim anajibu swali lako hivi!
Mlipuko mkuu au mlipuko asilia (kwa Kiingereza Big Bang ) ni nadharia ya ki sayansi kuhusu chanzo cha
ulimwengu inayojaribu kueleza sababu ya kutokea kwa nyota , magalaksi na anga kwa jumla jinsi tunavyoviona leo.
Kutokea kwa ulimwengu
Kufuatana na nadharia hii ulimwengu ulitokea mahali pamoja padogo sana penye joto na densiti kubwa, pasipo na nyota wala atomi wala umbo lolote. Hali hiyo inaelezwa ilikuwa ya pekee.
Takriban miaka bilioni 14 iliyopita
  1. [1] anga la ulimwengu lilianza kupanuka haraka na katika
mchakato huo atomi ziliundwa zilizoendelea kujenga
mata tunavyoijua na kuwa nyota na magalaksi.
Ulimwengu unaendelea bado kupanuka na wakati huohuo kupoa. Nafasi ya ulimwengu inapanuka na katika mwendo huu halijoto inapungua.
Jina
Jina la "Big Bang" lilibuniwa na mwanafizikia Fred Hoyle aliyepinga nadharia hii, lakini wengine walioitetea walipenda jina, hivyo likabaki.
  • 2]Athari ya Doppler na mlipuko mkuu
Sababu za kubuni nadharia ya mlipuko mkubwa ni kutafuta maelezo kwa vipimo vinavyopatikana kuhusu anga la ulimwengu.
Sababu muhimu zaidi ni mabadiliko ya nuru ya galaksi ambazo zinaonekana kuwa mbali sana. Nuru hiyo inasogea kwa upande wa nyekundu zaidi katika spektra yake. Huu msogeo wekundu (ing.
redshift ) wa nuru ya nyota za mbali huelezwa kwa
athari ya Doppler . Maana yake ni kwamba, kama kitu kinaelekea kwenda mbali nasi, rangi yake huelekea kuwa nyekundu zaidi kwa sababu mwendo wake hupanusha masafa ya mawimbi ya nuru. Nyekundu ina urefu mkubwa zaidi kati ya mawimbi ya nuru ya rangi zinazoonekana. Kadiri jinsi mwelekeo mwekundu unavyoongezeka vile, kitu kina mwendo wa haraka zaidi kuelekea mbali nasi.
Dalili nyingine ni mnururisho wa mandharinyuma (ing. cosmic background radiation ) uliowahi kutabiriwa kinadharia na wanafizikia tangu miaka ya 1930. Iligunduliwa na kuthebitishwa kwa njia ya vipimo tangu mwaka 1964. Huu ni mnururisho dhaifu sana usio na asili katika nyota au galaksi yoyote; leo hii wanasayansi wengi wanaiona kama mabaki ya nishati wa mlipuko mkuu inayoendelea kijaza ulimwengu.
  • Kutokana na vipimo hivyo wanasayansi wengi kabisa wa fizikia na astronomia wanaona ya kuwa nadharia ya mlipuko asilia inaeleza vizuri zaidi vipimo vinavyopatikana kuhusu ulimwengu.
  • [3]
Nadharia hii inaonekana pa kupatana na makadirio kuhusu viwango vya elementi vya ki kemia vinavyogunduliwa katika anga la ulimwengu.
Kuna tofauti ya mawazo kama mlipuko mkuu ulikuwa chanzo kabisa cha ulimwengu au kama uliwengu mwingine ulikuwepo kabla yake, na labda mwendo wa kupanuka unaweza kurudishwa katika mwendo wa kukaza siku moja hadi mata yote kuwa mahali pamoja na kulipuka tena. [3]
Falsafa na dini
Nadharia hii ina umuhimu pia kwa falsafa na dini , ambazo pia zinaeleza chanzo cha ulimwengu, k.mf. kwa kusema umeumbwa na Mungu .
Kuna wafuasi wa dini mbalimbali wanaopinga nadharia hiyo wakiona hailingani na imani yao. [4]
Kinyume chake wako wengine wanaosema kuwa nadharia ya mlipuko mkubwa inalingana vema na
hoja ya uumbaji unaoendelea kupitia sheria za maumbile zinazozidi kugunduliwa na sayansi .
Mwanzilishi mwenyewe wa nadharia hiyo alikuwa
Georges Lemaitre (1894 - 1966 ), padre wa Kanisa Katoliki kutoka Ubelgiji . Ndiye aliyependekeza nadharia hiyo mwaka 1927 , akifuatwa na wengine wengi zaidi na zaidi.
Kwa mtazamo wa padri huyo na Wakristo wengine kadhaa ni kwamba si lazima kusadiki masimulizi ya
Biblia kuhusu uumbaji yanaeleza matukio kihistoria au kisayansi, bali yanadai msomaji akubali kuwa
asili ya vitu vyote vilivyopo ni Muumba.
Hata sayansi inafundisha kuwa mata haiwezi kujianzisha. Kama ipo, ni lazima iwe na asili nje yake.
 

Chapter (36) sūrat yā sīn Verse (36:81) - English Translation

Is not He who created the heavens and the earth Able to create the likes of them? Yes, [it is so]; and He is the Knowing Creator

Aliens.....
Interesting....🤔


No not at all, the verse doesn't talk directly about creation of alien beings rather it talks about creation of another heavens and earth similar to our heavens and earth, that is what I can figure out.
 
Parker Solar Probe Nielezee kuhusu hii kitu,pia kuhusu defensive asteroid kutoka nasa
Asante kwa swali.
Parker solar Probe ni project ya tatu ya kiuchunguzi katika sehemu ya nje inayozunguka nyota yetu ya karibu kabisa ☀️ jua kitaalam inaitwa Corona. Probe hizi ni robotic spacecraft that doesn't orbit the Earth, but instead explores farther into outer space.

PSP mission ni kwa ajili ya kutupatia taarifa muhimu tusizozijua kuhusiana na jua letu.
Mission objectives za PSP ni

  • Trace the flow of energy that heats the corona and accelerates the solar wind.
  • Determine the structure and dynamics of the magnetic fields at the sources of solar wind.
  • Determine what mechanisms accelerate and transport energetic particles.
Habari na taarifa zinazohusu PSP zinapatikana hapa katika official website
 
Kama katika uislam pepo ni jannah na firdaus itakuwa ni nini?

Nimeangalia tafsiri ya neno jannah kwa mujibu wa wikipedia imefafanua ni paradise inayomaanisha maisha waliyopitia adam na hawa pale edeni, (unaweza kuniweka sawa hapa kama nimenukuu vibaya)

Lakini pia yapo maelezo yanayo jaribu kutoa ufafanuzi kati ya maneno mawili "jannah vs heaven"

Ambapo mara kadhaa Quran imetumia neno jannah kuwakilisha heaven kua ni sehemu ambayo waumini wamepewa kama zawadi kuishi baada ya kifo, kwa muktadha huo ni kwamba heaven ni pepo ambayo imetengwa kwa wafanyao mema, sasa kivipi tena heaven ije na tafsiri nyingine ya ulimwengu?


Mimi sijasema heaven ni ULIMWENGU bali nasema Heaven ni Mbingu, the space above our sky in which all the heavenly bodies glide, pepo katika Qur'an ni jannah (جنة) na kinyume chake ni jahannam (جهنم). Ulimwengu ni heaven and the earth combined , ukiona katika Qur'an yametajwa hayo maneno the heaven and the earth kwa pamoja hapo inamaanisha Ulimwengu /the universe (السماء و الارض)

Sasa lete aya ya Qur'an inayosema (السماء) heaven ni pepo ili tuondoe ubishi.

Mada ni hii; Qur'an imetaja the big bang, Black hole, Expanding of the universe, Extraterrestrial life nk, na nimeweka aya.

Do not trickly diverge the topic in hand 🤣
 
Sema mpunga waliomwaga kwenye hiyo telescope sio wa mchezomchezo kabisa 10billions USD, dah kweli sio poa kabisa yani jamaa mpunga wote huo wameutumia kwenye project moja tu kweli kuna watu hawanaga utani kabisa kwenye mambo yao
Ni zaidi ya trilioni 20 za kitanzania😅😅😅
 
Mimi sijasema heaven ni ULIMWENGU bali nasema Heaven ni Mbingu, the space above our sky in which all the heavenly bodies glide, pepo katika Qur'an ni jannah (جنة) na kinyume chake ni jahannam (جهنم). Ulimwengu ni heaven and the earth combined , ukiona katika Qur'an yametajwa hayo maneno the heaven and the earth kwa pamoja hapo inamaanisha Ulimwengu /the universe (السماء و الارض)

Sasa lete aya ya Qur'an inayosema (السماء) heaven ni pepo ili tuondoe ubishi.

Mada ni hii; Qur'an imetaja the big bang, Black hole, Expanding of the universe, Extraterrestrial life nk, na nimeweka aya.

Do not trickly diverge the topic in hand 🤣
Mbingu si ndio makazi ya Mungu?

Halafu nimeuliza firdaus ni nini kama jannah ni pepo hujanijibu
 
Watu kama Mathanzua hawaamini binadamu amefika hata mwezini!
Akina Mathanzua na akina Ndugai😁😁😁
1637306176_1637306175-picsay.png

1637308571637308570.jpg
 
🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Mimi kama mimi safari ya kwenda mwezini 1969 hainihitaji kuamini au kutokuamini ila ni kusikia kusoma kutoka kwa hao wanaosema kwamba walienda.
Je wana ushahidi wa kwamba walienda?

Pia kusikiliza wanaopinga kwa NASA kwenda mwezini. Je hoja zao zina mashiko?

Mwisho kabisa Astronaut wa NASA walivyoenda mwezini waliweka The Apollo 15 Lunar Laser Ranging RetroReflector
The Apollo 15 Lunar Laser Ranging RetroReflector
kwa ajili ya kusaidia research mbali za mwezini kutokea duniani.

Je kama ni kweli hawakuenda mwezini ni nani alizipeleka huko?

Pia siyo USA TU WALIENDA pia RUSSIA NA CHINA WAMEFANYA SAFARI HUKO.


safari ya kwenda mwezini siyo ngumu kipindi hiki... Akili yetu kwa sasa ni kusafiri kwenda kwenye Galactic habitable zone.

Mike nitakuwa mjinga kuamini kwamba there was an Apollo 11 Lunar landing kama Wamarekani wenyewe wengi hawaamini.Sababu za msingi kabisa zimetolewa na wanasayansi ku-prove kwamba it never happened.Na kama ilitokea kwa nini kuna sceptics wengi?

Soma hii👇

 
Mbingu si ndio makazi ya Mungu?

Halafu nimeuliza firdaus ni nini kama jannah ni pepo hujanijibu


Mungu hana makazi maalumu kulingana na Qur'an lakini inapotajwa mfano, Arsh ni ishara ya utukufu wa enzi yake kama mfano Mfalme wa kidunia anayekaa juu ya kiti cha enzi.

Soma hapa ili uelewe neno Firdaus limetoka wapi;
Screenshot_20220101-092646.png
 
Ikisema ulimwengu unatanuka itakua bingo kwao, lakini katika historia ya sayansi tunazo takwimu zinazoonesha sayansi ikijokosoa yenyewe

Sasa ikitokea imesema ulimwengu hautanuki tutasemaje??
Hapa umeongea point mkuu, kitendo cha kuwa na takwimu ya sayansi kujikosoa ni dalili kuwa sayansi inakua,pia sio kila muda huwa inatoa vitu sahihi. Bado hatuwezi kuitegemea kutupa majibu ya mambo mazito.
 
Si ndio hicho ninachokuambia, Jannah ndio pepo katika istilahi ya dini ya kiislamu, kimsingi kwa kiarabu jannah ni bustani, sasa kinachoangaliwa ni context ndipo utajua Jannah ni pepo au ni bustani yenye maua na mapambo mbalimbali, Pepo zina daraja mbalimbali na daraja ya juu ndio hiyo Firdaus nayo ni "jannat firdaus".

Jannah katika Istilahi ya kiislamu ndio Paradise na kinyume chake ndio Jahannam (جهنم) au Hell in English.

Hivyo ninaposema mbingu (heaven) kwa muktadha wa zile aya maana yake ni space obove the sky in which the heavenly bodies exist and not the otherwise.
Sasa nimeona changamoto hapa ipo kwenye subjective interpretation, una assume maana ya maneno ambayo hauwezi kuthibitisha kama ndivyo ilivyokusudiwa na mwandishi.

Na ni kweli sioni uhusiano wowote wa hiyo aya na bing bang kwamba hata ukijaribu kugushi kwa kukusanya dot bado hoja ya hiyo aya ina pwaya. Kwa mfano hata nikisema nikubaliane na wewe kwamba heaven ni space na hiyo earth sijui ndio kitu gani kwasababu baada ya bing bang ndio tukapata earth

Anyway let say kwamba earth iliyomaanishwa hapo ni matter lakini bado kuna ukakasi hapo kwenye hiyo explanation ya hiyo verse Allah kasema kwamba space na matter vilitenganishwa wakati bing bang inatokea, je ni kweli bing bang wakati inatokea hivyo vitu vilikuwa separated?
 
Mungu hana makazi maalumu kulingana na Qur'an lakini inapotajwa mfano, Arsh ni ishara ya utukufu wa enzi yake kama mfano Mfalme wa kidunia anayekaa juu ya kiti cha enzi.

Soma hapa ili uelewe neno Firdaus limetoka wapi;
View attachment 2064763
Hiyo nilisoma jana na nikaona kumejaa mikanganyiko nikabaini ni juhudi za watu walivyokua wana hangaika kuweka tafsiri ambazo zilikua na lengo maalumu zije zitumike kama references kwenye issue ambayo wameilenga wao

Sasa turudi kwenye hoja kuu ya bing bang kwenye quran
 
Sasa nimeona changamoto hapa ipo kwenye subjective interpretation, una assume maana ya maneno ambayo hauwezi kuthibitisha kama ndivyo ilivyokusudiwa na mwandishi.

Na ni kweli sioni uhusiano wowote wa hiyo aya na bing bang kwamba hata ukijaribu kugushi kwa kukusanya dot bado hoja ya hiyo aya ina pwaya. Kwa mfano hata nikisema nikubaliane na wewe kwamba heaven ni space na hiyo earth sijui ndio kitu gani kwasababu baada ya bing bang ndio tukapata earth

Anyway let say kwamba earth iliyomaanishwa hapo ni matter lakini bado kuna ukakasi hapo kwenye hiyo explanation ya hiyo verse Allah kasema kwamba space na matter vilitenganishwa wakati bing bang inatokea, je ni kweli bing bang wakati inatokea hivyo vitu vilikuwa separated?


English version ya aya inayohusu the Big bang ni hii hapa ambapo Allah anasema:-

"Do not the unbelievers see that the heaven and the earth were CLOSED UP MASS (ratqan) then we CLOVE them ASUNDER (fataqna)----
"

Closed up mass hii ni kabla ya mlipuko matters zote zilikuwa zimejilundika au Allah alizilundika pamoja na baadaye alizipiga FATAKI (fataqna) na zikasambaratika (clove asunder)---- hiyo ndio process ya the big bang Allah anaionyesha, isitoshe baada ya hapo after billions of years ndipo Allah akaweka uhai na anasema; -"-- and we made from water every living thing, will they not then believe?"

Qur'an 21:30.

Unawezaje kupinga hiyo aya ya Qur'an inavyoeleza clearly on the big bang kitu ambacho kimeelezwa na Qur'an zaidi ya miaka 1400 kabla hata hao wanasayansi hawajafikiri juu ya hiyo Big bang.

Ni Qur'an ndio inaeleza misingi ya tafiti za sayansi ambazo kwazo wanasayansi huzifuata na kuthibitisha ukweli wa Qur'an.

Miongoni Mwanafizikia Maarufu sana kuwahi kutokea ni prof Abdus Salam (Nobel laureate), na aliyesaidia ku formulate na kujenga the most expensive particle accelerator/ hydron collide iliyowezesha kugunduliwa kwa God particle/Higgs bosson particle amewahi kusema akiwaambia Wanasayansi wenzake huko Cambridge alipokuwa ni prof wa theoretical physics kwamba; theory zake zote alizo theorise zinao msingi kutoka katika Qur'an , huyu Prof kaandika theory nyingi sana hadi leo wanasayansi wameshindwa kuzi proove kwa jinsi zilivyokuwa ngumu au zipo nje ya upeo wao na baadhi yao walipata kumuambia alipokuwa hai kwamba labda Einstein ndiye angaliweza kuziproove kama angalikuwa hai.
 
Mike nitakuwa mjinga kuamini kwamba there was an Apollo 11 Lunar landing kama Wamarekani wenyewe wengi hawaamini.Sababu za msingi kabisa zimetolewa na wanasayansi ku-prove kwamba it never happened.Na kama ilitokea kwa nini kuna na sceptics wengi?

Soma hii👇

Nitaisoma vizuri nijifunze jambo hapa.
Mimi nimeamua kusoma pande zote mbili kujifunza kuhusu moon landing..kwa hiyo link naipokea pia niweze kuona hoax ya moon landing iko wapi.
 
English version ya aya inayohusu the Big bang ni hii hapa ambapo Allah anasema:-

"Do not the unbelievers see that the heaven and the earth were CLOSED UP MASS (ratqan) then we CLOVE them ASUNDER (fataqna)----
"

Closed up mass hii ni kabla ya mlipuko matters zote zilikuwa zimejilundika au Allah alizilundika pamoja na baadaye alizipiga FATAKI (fataqna) na zikasambaratika (clove asunder)---- hiyo ndio process ya the big bang Allah anaionyesha, isitoshe baada ya hapo after billions of years ndipo Allah akaweka uhai na anasema; -"-- and we made from water every living thing, will they not then believe?"

Qur'an 21:30.

Unawezaje kupinga hiyo aya ya Qur'an inavyoeleza clearly on the big bang kitu ambacho kimeelezwa na Qur'an zaidi ya miaka 1400 kabla hata hao wanasayansi hawajafikiri juu ya hiyo Big bang.

Ni Qur'an ndio inaeleza misingi ya tafiti za sayansi ambazo kwazo wanasayansi huzifuata na kuthibitisha ukweli wa Qur'an.

Miongoni Mwanafizikia Maarufu sana kuwahi kutokea ni prof Abdus Salam (Nobel laureate), na aliyesaidia ku formulate na kujenga the most expensive particle accelerator/ hydron collide iliyowezesha kugunduliwa kwa God particle/Higgs bosson particle amewahi kusema akiwaambia Wanasayansi wenzake huko Cambridge alipokuwa ni prof wa theoretical physics kwamba; theory zake zote alizo theorise zinao msingi kutoka katika Qur'an , huyu Prof kaandika theory nyingi sana hadi leo wanasayansi wameshindwa kuzi proove kwa jinsi zilivyokuwa ngumu au zipo nje ya upeo wao na baadhi yao walipata kumuambia alipokuwa hai kwamba labda Einstein ndiye angaliweza kuziproove kama angalikuwa hai.
Ebu soma hii verse hapa Surah Al-Anbya - 30 Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and then We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?

halafu uniambie hapo Quran ilikua inazungumzia planet earth au jambo lililotokea miaka bilion 14 iliyopita
 
Chombo anga kwa ajili ya kusaidia shughuli za kiuchunguzi katika anga la mbali James Web TELESCOPE [emoji437] kimeondoka rasmi duniani na kuelekea katika eneo lake la kiuchunguzi huko katika space mile 1500000 kutokea duniani.


James Web telescope ni mradi uliutumia zaidi ya trillion 22.3 na kuchukua zaidi ya miaka 10 kukamilika.

James Web Space telescope (JWST) inaenda kufanya nini?

Mission objectives
  1. JWST inaenda kuisaidia NASA kufanya uchunguzi wa chanzo cha ulimwengu huu.
  2. WST inaenda kusaidia astronomy na cosmology kuweza kuona galaxy za mwanzo baada ya tukio la bing bang theory.
  3. JWST inaenda kusaidia pia kuweza kujifunza namna sayari,galaxy na nyota za mbali zilivyo evolve overtime.
  4. JWST inaenda kutafuta uwepo wa viumbe vingine na uhai katika planets zilizoko katika nyota nyingine.
  5. JWST inaenda kuchungua eneo muhimu sana katika galaxy yetu linaitwa HABITABLE ZONE kuangalia uwepo wa sayari nyingine zinazo support uhai kama dunia yetu.
JWST bila ubishi ndo most advanced machine ever built by human being.
Hebu pia hizi fact hapa

1.JWST inaenda kusaidia wanasayansi kuangalia nyuma ya muda.
With the new telescope, astronomers are hoping to study the very first stars and galaxies in the universe to understand its secrets.
Jwst ni some kind of time machine.inaturudisha nyuma by vision.

2. A better understanding of our universe's history.

All images taken by Hubble reflect not only galactic systems but also a collection of the universe's history. With Hubble, scientists were able to peek into galaxies that formed 400 million years after the Big Bang.
James Webb Telescope may be able to bridge that gap and show images from 250 million years after the Big Bang, taking us closer to the starting point of our universe.

Besides just seeing galaxies, the new telescope will bring more detail to all images including spiral arms, more light, and better structure.

JWST itatupa picha ya galaxies zilizokuwa formed miaka 250 baada ya tukio la bingbang theory.


3. Infrared lighting
Hubble space telescope ilikuwa inachukua picha kupitia ultra violet (visible light)
lakini JWST iko advanced zaidi inatumia Infrared lighting. Hapa itapata picha na details za ziada zaidi katika picha husika mfano kama ita view exoplanet basi itatuletea details za ziada kama uwepo wa VIUMBE hai,maji,gravity etc.
With infrared imaging, astronomers may be able to peek into extremely old galaxies owing to a process called "redshifting" wherein light is stretched as it appears and disappears, leaving a red trail behind. With infrared, Webb will be able to capture extremely old galaxies that are currently being pushed farther away from Earth and becoming redder. That's how you look back in time!


References

Nitafurahi sana kama kuna mwenye swali atapost hapo chini nitamjibu kadiri ya taarifa nilizoko nazo.


Kwa hyo hii darubini ukikaa nayo mlima Kilimanjaro unaona Africa nzima
 
Back
Top Bottom