Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Ameridhika na maisha sio kuteswateswa kila saa.Unene ni ishara ya kutokuwa na hofu na sonona!!? 😳
Tuna safari ndefu sana kama taifa katika kupambana na adui ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameridhika na maisha sio kuteswateswa kila saa.Unene ni ishara ya kutokuwa na hofu na sonona!!? 😳
Tuna safari ndefu sana kama taifa katika kupambana na adui ujinga.
Kuwa mjane na wewe unenepeMke mwenzio amenenepa sana.
Mjane umekuwa na hasira kupitiliza, vumilia tu.Kuwa mjane na wewe unenepe
Kuwa mjane na wewe unenepe tabla lasaMjane umekuwa na hasira kupitiliza, vumilia tu.
Vumilia tu hela za dikteta zimeyayuka, utapata mwingine labda.Kuwa mjane na wewe unenepe tabla lasa
Kuwa mjane na wewe unenepe tabla lasaVumilia tu hela za dikteta zimeyayuka, utapata mwingine labda.
Vumilia tu hela za dikteta zimeyayuka, utapata mwingine labda.Kuwa mjane na wewe unenepe tabla lasa
Unat*mbwaVumilia tu hela za dikteta zimeyayuka, utapata mwingine labda.
Pole mjane.Unat*mbwa
Unat*mbwaPole mjane.
Pole mjaneUnat*mbwa
Kwani mlipozusha cjui JK alimfunga Babu Sea kisa mwanamke je hamkujua Rais anaweza kuwa na njaa ya mwanamke?Kwa io magu rais wa jmt alikua na njaa mpaka akaingia mgogoro na wadogo zake kisa kugombea ardhi
hapo chato
Dah mda mwingine tumieni hata akili kufikiri, ila uzuri huku Kila mtu kajificha nyuma ya keyboard, mtaani stori za kijinga kama hizi watu hawakawii kukutia vibao
Yaani wewe mnafiki unajidai kumpenda mke wa Magufuli lakini Magufuli humpendi!Mwache Mama Janeth apumzike alisota sana enzi hizo.
Weutakuwa ulikuwa nyumba ndogo ya jembe,mambo ya ndani ya familia umewezaje kuyajua.Mtu ambaye alikuwa karibu naye muda wote aliishi kwa hofu kubwa na sonona hata mwili ulishindwa kunenepa,ameanza kunenepa baada ya jamaa kufa,je wewe kiroboto hujiulizi badala ya kubaki kupiga kelele za kumtetea huyo marehemu!
Mlipozusha? Mliposema? Kijana umepata mlo wa mchana??Kwani mlipozusha cjui JK alimfunga Babu Sea kisa mwanamke je hamkujua Rais anaweza kuwa na njaa ya mwanamke?
Nakumbuka mpaka mlisema mgao uliletwa Ili wauze majenereta.... Yaani JK auze jenereta wakati anaweza pewa mkataba wa kufanya "maintenance"bomba la gesi?
What comes around goes around
Hapo Ndiyo Alimaliza Nongwa Baada Ya Kuwa RaisHapo ni ukweni kwake, rubambangwe chato.
Magu kutaka kujimilikisha hapo kwao ndiko kulipelekea kuwasweka ndani wadogo zake na akawafukuza.
Bifu likamalizka alipokuwa rais, teeth walikuwa wanayasovu mambo kimyakimya.
Wenzake wanakula matunda yeye mwizi yupo kaburini anachezea kibano.Yaani wewe mnafiki unajidai kumpenda mke wa Magufuli lakini Magufuli humpendi!
Jinga pambana na umasikini wako huko!
Mwache ale matunda ya mme wake!
Kwani ilikuwa siri kwamba wawili hao walikuwa mume na mke? Hujui kwamba mume na mke ukaribu wao uwa zaidi kuliko watu wengine kwenye familia?Weutakuwa ulikuwa nyumba ndogo ya jembe,mambo ya ndani ya familia umewezaje kuyajua.
Unaona sasa ulivyo na ushetani! Vipi babu yako na ndugu zako waliokufa nao ni wezi wanachezea kibano!Wenzake wanakula matunda yeye mwizi yupo kaburini anachezea kibano.
Ndio hivo usibishe jambo kisa ni petty kwako, mbona JPM anasema alimchagua Sababu ni mwanamke alafu ni mzuri!!! Even though alitaka Mwinyi ndio awe makamu wake!!Mlipozusha? Mliposema? Kijana umepata mlo wa mchana??
Mimi nimejibu logically tu Wala Sina mrengo na hivo vitimu vyenu Uchwara
Nafanya kazi halali ambayo hata mkiamua kumpa nchi mandonga mtu kazi Mimi sioni tatizo