Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hitler wanamsema mpaka leo. Kaisari na Pilato analaumiwa mpaka leoAcheni Mzilankende Apumzike Akiongoza Malaika
Duuuuuh makubwaaaaa lol.Yule mtoto wa nje ya NDOA ataki kusikia haya
tena wapo kila nyuzi hawa Mabeberu na Vibaraka vyao.Sio kwamba wewe ndio unatumia nguvu nyingi zaidi?
Afrika na Duniani.JPM ni alama ya pekee na ya thamani sana hapa Tanzania ambayo haiwezi kufutika kwa urahisi.
Yeyote atakayejaribu kuifuta alama hii, atafutwa yeye mwenyewe mara 10 zaidi.
Nani alimuua? Yaani kuna mijitu mijinga ka wewe mnaendekeza propaganda za kipumbavu, ukute wewe ni li mtu lizima na fanya kazi la serikali linalipwa kodi zetu halafu linaamini ujinga. Acheni kumzushia Dkt Magufuli kwa sababu Mungu yeye hutenda kulingana na wakati, watanzania sasa wapo kwenye maombi makali sana ya kuliombea taifa hili na Mungu akilinde kiti cha Urais na kiendelee kukaliwa na mtu sahihi, so expect anything anytime. Mtu ka wewe hamfai katika jamii ni hasara kwa taifa.Aache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Aache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
Baibuli yenyewe imeandikwa na hao wasiojua maana halisi ya Lugha ya Mtanzania/ Mwafrika kuhusu 'Kufariji' ...... Kwa maoni yangu mkuu ...kutumia baibuli kuhalalisha au kuleta maana nyingine ya Vijana kuwepo katika mkusanyiko ule ni batili.Japo Kiswahili ni lugha yetu, lakini inaonekana wengi hawajui.
Neno kufariji limetumika pasipo mahali pake.
Kipindi cha msiba kiliisha.
Kipindi cha maombolezo kiliisha.
Anafarijiwa mfiwa.
Mjane, kama hajimudu, husaidiwa, hafarijiwi.
Kipindi cha msiba na maombolezo, mke wa marehemu huitwa mfiwa, na hivyo watu huenda kumfariji mfiwa.
Baada ya kipindi cha maombolezo kwisha, mke wa marehemu huitwa mjane. Mjane kama hajimudu husaidiwa na watu mbalimbali hasa wanafamilia. Na akitaka, kwa kuwa amemaliza kipindi cha maombolezo, anaweza hata kuolewa tena. Akiolewa tena, hawi mjane tena.
Hata biblia haisemi kwamba mjane anatakiwa kufarijiwa bali inasema kuwa kama mwanamke amefiwa na mumewe, na huyo mwanamke amefikisha miaka 60, basi huyo ni mjane kweli kweli. Anatakiwa kukumbukwa. Bado haielezwi kuwa anatakiwa kufarijiwa.
Baada ya kipindi cha maombolezo kwisha, watu wakienda kwenye kaburi la marehemu, ni ishara ya kumkumbuka marehemu, siyo kuwafariji waliokuwa wafiwa.
Ilitosha kuandika kuwa watoto walienda kumsalimia mjane au kuliona kaburi la marehemu.
Kuna watu wajinga duniani . Sasa huyu mama alimuua nani.sometimez muwaze kwa vichwa basi sio trakoAache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
Usilete mantiki ambazo huwezi kushikilia. Chunga ndugu yangu chunga ulimi wako. Zipo serikali na watu wanaua watu kila siku duniani. Wengine wakiwa na usongo huwa wanapita mitaani....Be very careful.Aache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
Huu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Sawa sawa na Familia zote zilizohusishwa na Ukoloni...familia ya Jpm inatakiwa kuwaomba radhi Watz waliotendewa UOVU wakati mtu wao akiwa madarakani.
Faiza, sidhani kama upo sahihi. Watu wengi, kuna nyakati hutofautiana, hufarakana na wenzi wao, na wengine kama ulivyonena (hisia), yaweza kutokea hata kupigwa na wenzi wao, hata hivyo ni nadra sana mafarakano hayo yanaweza kufikia mmojawapo kuona ni aheri huyo mwenzake aondoke Duniani. Labda kama uwepo wa huyo mwenzi mojawapo ni hatarisho kwa maisha ya mwenzake.Nahisi katika watu waliofurahi kisirisiri kuondoka Magufuli mmojawapo ni Janeth.
Siku za nyuma, Janeth alipolazwa Muhimbili tuliwahi kuletewa ubuyu hapa JF kuwa kulazwa kule kulitokana na kipigo kutoka kwa bwana yule, nani anakumbuka hilo?
Ni kweli hilo tukio lilifanyika Make Jesca ni mwanamke jasiri sana kuishi na dhalim miaka yote hiyo.Nahisi katika watu waliofurahi kisirisiri kuondoka Magufuli mmojawapo ni Janeth.
Siku za nyuma, Janeth alipolazwa Muhimbili tuliwahi kuletewa ubuyu hapa JF kuwa kulazwa kule kulitokana na kipigo kutoka kwa bwana yule, nani anakumbuka hilo?
Sio kwamba wewe ndio unatumia nguvu nyingi zaidi?