The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Si hawakuuawa nduguzo ndo maanaUlishuhudia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si hawakuuawa nduguzo ndo maanaUlishuhudia?
Tunaishi kwa NeemaSi hawakuuawa nduguzo ndo maana
Ya kuua ndugu za watu .duniani fanya yote usiuue wala kuwa shogaTunaishi kwa Neema
✍️Ya kuua ndugu za watu .duniani fanya yote usiuue wala kuwa shoga
Unaonekana ndio wale watu wakienda msalani wanakojolea ukutani halafu unaondoka bila kusafisha sababu ya kukosa maadili na adabu...wakikua na kuujua UOVU wa utawala wa Magufuli watalaumu kitendo cha kuwapeleka kutembelea kaburi lake.
..mtawadanganya sasa hivi wakati wadogo, lakini wakikua wataujua UKWELI.
Wadigo wapo Tanga,hawa ni wa ChatoHao watoto wadigo wako wapi??
Kumbe ni Wanafunzi wa Chato banaHuu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Huo uovu ni ule ulioujenga kichwani mwako...tena kwa mtu mzima kama wewe hata unaodai ni watoto, watakushangaa. Isitoshe hao sio watoto kihivyo unavyotaka kuaminisha kadamnasi wako....
Hata kama "wamepelekwa" Kitendo cha hao kwenda kumfariji Mama mjane aliye na huzuni ya mume wake ni UTU. Utu ambao nyie humu mtandaoni hamnao kwani kila kukicha mnamjengea uovu Hayati, mnafikiri Mama Janeth anajisikia vipi kuona Mme wake akinajisiwa kwenye alipo kaburini?
Akipata ugeni kama huo iwe ni wa kulazimishwa au la....dhamira na azma ni kuumpa faraja Mama Janeth.
Wapatieni faraga Familia na muache Ugaidi wenu kwa Familia ya Magufuli.
[emoji38][emoji38] wewe nisawa na lichawi tu.Aache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
Itakuwa ulikuwa hulipi kodi au ni mhujumu uchumiWewe ndiyo utulie uje kuwahadithia vizazi vya mbele mambo ya magufuli kwakuwa watakuwa hawajaona ila sisi tulioona utawala wake from A to Z hauwezi kutulisha kasa au matango pori.
Hakuna nguvu inatumika,Mwambieni anayewatuma kuchafua legacy mwambie hatoweza mbegu tumeanza kuipanda sasa mpaka mashuleni,mwambien Bibi yenu aendelee tu kuwaalika BAWACHA wamwongezee umati.Sukuma Gang mbona mnatumia nguvu nyingi sana?
Acha bangi utanishukuru baadaye.Una to. m. .....bwa.
Leo usiku nat ooo m. BA. Ukoo wenu wote.Acha bangi utanishukuru baadaye.
Nimekuruhusu tukana matusi yoote unayoyajua , nataka kuona kama kichwa chako kina kamasi au ubongoLeo usiku nat ooo m. BA. Ukoo wenu wote.
Leo naku. T OM... BA..... UzaeNimekuruhusu tukana matusi yoote unayoyajua , nataka kuona kama kichwa chako kina kamasi au ubongo