Including yeye !Wabobezi wa Fikra watatafsiri kuwa mbele za Mungu wa Mbinguni Magufuli hakuwa Rais halali na Wabunge wote siyo halali na Madiwani siyo hali
Kiroho jambo hili si Mzaha 🐼
Alianza Jokate sasa anapigilia Msumari Makamba.Mdogo mdogo wanaanza kufunguka soon tutamjua aliyempiga Tundu Lissu risasi.
Za Makamba hazikuondoka na roho za watu.Including yeye !
Nasikia yeye ndiye huwa anategemewa katika zile abracadabra za kompyuta katika kujumlisha kura ??!! Au ??!
Huyo ni mtu mnafiki,kwa kua alikosa nafasi yoyote wakati wa JPM kwa migezo cha ufisadi wake,na anahusishwa na wengi mitaani kua ni sehemu ya kuondoka kwa JPM,so lazima achafue tu ili kujiweka sawa kwa watu ake aaminiwe,yamkini mama alisha muahidi kumuachia kijiti,so lazima abwabwajeNaomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
NaamUjinga ni wakati wa kwenda tu!!!
Ikiwa amedhamiria kusema Kweli aseme wazi kuwa " Ile miswada kuhusu uchaguzi iliyoletwa bungeni ni BATILI",
Na aseme wazi kuwa anaunga mkono HOJA ya Kupata Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
Tofauti na hapo, ajiandae kurudi kijijini maana naye anaweza asirudi bungeni.
Wewe sio tu sexless pia ni mental less.Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.
Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
Bado hajasema chochoteJambo zuri Sana kuongea ukweli.🤝
Kama kweli ulifanyika Uonezi na Dhulma basi Wahusika wakatubu mbele ya Mungu wa mbinguniIncluding yeye !
Nasikia yeye ndiye huwa anategemewa katika zile abracadabra za kompyuta katika kujumlisha kura ??!! Au ??!
Kutubu ni kukubali Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote.Kama kweli ulifanyika Uonezi na Dhulma basi Wahusika wakatubu mbele ya Mungu wa mbinguni
Kama kweli ulifanyika Uonezi na Dhulma basi Wahusika wakatubu mbele ya Mungu wa mbinguni
Hili asipolisema tutamsemeaJapo Jamuary mwenyewe siyo clean kwa 100%, lakini aliyoyasema yote ni kweli na ni sahihi.
Lakini na yeye ni sehemu ya huo uchafu maana waliopora ushindi wa Lowasa 2015, katika wale vinara ni yeye January, Nape, Kikwete na Kinana. Kama wao wangesimama katika haki, hata huyo aliyedhulumu haki za wengi, asingeipata hiyo nafasi.
Mengi yaajulikana taratibu, ni mengi kweli kweli.Naona Wahusika wakubwa ndani ya Serikali wameanza kusema wenyewe juu ya kilichotokea wakati wa Uchaguzi wa 2020.Mh Makamba akiwa Italy akiongea na Watanzania amemwaga Mchele wote jinsi Uchaguzi wa 2020 Chini ya HAYATI MAGUFULI ulivyokuwa na Watu Walivyoumizwa na kudhulumiwa ili MAGUFULI ASHINDE.
Asante Makamba kwa taarifa hiyo tuna imani na Aliyempiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU tutamjua tu.Mwendazake Alipanda MBEGU ya CHUKI na AMEIVUNA
MUNGU siku zote ni hataki WATU WABAYA MUNGU ni FUNDI ameumaliza Mchezo kati ya Watanzania na MWENDAZAKE. Pumzika Mwendazake Umevuna ulichokipanda
Huyu hafai hata kidogo.Yeye aseme tu , Urais hatokaa kuupata.