Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Nilijua kabisa hakuna atakayeweka huo ushahidi

1) Kuna mwanasiasa mmoja Mbeya alitukana watu na matusi ni kosa la jinai akafungwa Leo hii mnamsingizia JPM

2) Uchaguzi kama ungekuwa sio Halali tungekuwa na kesi nyingi sana Mahakamani za Uchaguzi kutoka Kwa wabunge na madiwani

Sasa iweje madiwani washinde kihalali na wabunge washinde kihalali alafu Raisi asishinde kihalali hayo ni mahesabu ya wapi?

Kama mdee aliibiwa kura mbona hajaenda Mahakamani? Tena mwanasheria ni yeye mwenyewe

3) Mfanya biashara aliharibiwa biashara zake nani Manji?

Manji alikuwa anachezesha system za bandari Ili watu wasiotoe mizigo Yao Kwa wakati Ili bandari zake kavu zipige pesa

Manji aliinunua coco beach Kwa magumashi

Manji aliinunua kiwanja Cha waislam pale Changombe Kwa magumashi

Alafu wewe jinsi unavyomjua JPM anaweza kuwachekea wafanyabiashara wa namna hii labda huyu bi mkubwa ila sio JPM
Kuna watu wamekuzuia kuonesha mah
Nilijua kabisa hakuna atakayeweka huo ushahidi

1) Kuna mwanasiasa mmoja Mbeya alitukana watu na matusi ni kosa la jinai akafungwa Leo hii mnamsingizia JPM

2) Uchaguzi kama ungekuwa sio Halali tungekuwa na kesi nyingi sana Mahakamani za Uchaguzi kutoka Kwa wabunge na madiwani

Sasa iweje madiwani washinde kihalali na wabunge washinde kihalali alafu Raisi asishinde kihalali hayo ni mahesabu ya wapi?

Kama mdee aliibiwa kura mbona hajaenda Mahakamani? Tena mwanasheria ni yeye mwenyewe

3) Mfanya biashara aliharibiwa biashara zake nani Manji?

Manji alikuwa anachezesha system za bandari Ili watu wasiotoe mizigo Yao Kwa wakati Ili bandari zake kavu zipige pesa

Manji aliinunua coco beach Kwa magumashi

Manji aliinunua kiwanja Cha waislam pale Changombe Kwa magumashi

Alafu wewe jinsi unavyomjua JPM anaweza kuwachekea wafanyabiashara wa namna hii labda huyu bi mkubwa ila sio JPM

R.I.P Jembe langu
Sidhani kama hapa kijijini kwetu kuna mtu amekuzuia kuonesha mahaba kwa jembe lako!
 
Mengi kati ya haya uliyoyaorodhesha hapa hata wakoloni waliyafanya na watu walidai uhuru.

Maendeleo ni maendeleo ya watu mkuu. Na demokrasia ni pale individual anapofeel yupo free and unharrassed kwenye nchi yake.
Watu wakiona hawako huru, na serikali haipo kwa ajili yao na haitokani na matakwa yao yaani wamepoteza yale mamlaka yanayowatambua kuwa wao ndo wenye nchi, hayo yoote uliyoyaandika hapo yanakua hayana maana kiongozi.

Utu ni kitu cha maana kuliko vitu.
Kwamba nchi ikiwa huru haina magereza waharifu wawehuru tu,wamiliki bandari,wakusanyekodi watunze majumbani kwao? Nyie mnaopiga kelele hili genge ndo wamiliki wake,Leo dola mnazo majumbani kwenu.
 
Weka na ushahidi mbona mnaongea tu

1) mwanasiasa gani aliyefungwa na JPM
2) Raisi gani aliyestahili kushinda kura zake zikaibiwa na JPM
3) Mfanya biashara gani biashara zake ziriharibiwa

1. Sugu, Lijualikali, Mdee, ...

2. Uchaguzi wote wa 2020 ulivurugwa. Wagombea wa upinzani walienguliwa kihuni, kampeni ziliingiliwa na wateule wa Magufuli, matokeo yalitangazwa kiholela.

3. Wafanyabiashara kadhaa waliporwa mali zao, tafuta kisa cha wamiliki wa mitambo ya uchapishaji walivyoporwa kiwanda, na mitambo yao kuanza kutumiwa na genge la Magufuli.
 
CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.

January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.

Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
Kilimdhibiti kwa kumuua mkuu. Na kwangu Mimi naona hiyo njia ilikua nzuri sana.
 
Kilimdhibiti kwa kumuua mkuu. Na kwangu Mimi naona hiyo njia ilikua nzuri sana.
Hayo ni maneno ya mtaani ambayo hayana uthibitisho.

Na hata ikiwa kweli, bado ni njia mbaya sana ya kudhibiti kiongozi.

Kwa sababu, kila kiongozi ana watu wasiompenda. Sasa tutaua wangapi?
 
..sio sahihi kusema Magufuli amekufa hivyo uovu wake usisemwe.

..kuna watu wanaendelea kuishi na machungu na vilema vilivyotokana na ukatili wa utawala wa Magufuli.

..njia sahihi ya kufanya ilikuwa ni Rais Samia kuandaa utaratibu wa kuwatambua waathirika wa ukatili wa Magufuli ili taifa liwaombe radhi na kuwafuta machozi.

..Mh.Makamba anasema wako wananchi walifungwa, walinyang'anywa pesa, walivunjiwa biashara. Kwanini wananchi hao hawatambuliwi na serikali ili watendewe haki?
wa Tz tumejawa na unafk wa hali ya juu sana hata atoke malaika awe rais bado tutaishia kutoa lawama tu hii nchi imejaa wapumbafu san utakuta mtu anajiita msomi lkn akil zake km mavi afadhal ht wa darasa la 7
 
Wabobezi wa Fikra watatafsiri kuwa mbele za Mungu wa Mbinguni Magufuli hakuwa Rais halali na Wabunge wote siyo halali na Madiwani siyo hali

Kiroho jambo hili si Mzaha 🐼
Hii maana yake wanasema huo uchaguzi mkuu wa 2020 ulikuwa haramu na ni batili. Uchaguzi huu ndiyo ulimwezesha Salmia kuupata uraisi, Tulia kuupata uspika, January na wabunge wote wa ccm tulionao kwa sasa waliupata ubunge huo kupitia uchaguzi huo. Hivyo January na sasa Kinana wanachokisema wasifikiri kwamba wanambeza Magufuli bali wanakubaliana na chadema kuwa serikali (raisi na wabunge wote) waliopo kwa sasa madarakani si halali kwani waliingia madarakani kupitia uchaguzi mkuu usio halali.

Maneno ya aina hii yanapotolewa hadharani na mtu kama Kinana (makamu mwenyekiti wa chama) na January Makamba (waziri wa mambo ya nje), yana very serious implications kwa chama cha ccm na yanatishia uhai wa ccm katika uchaguzi mkuu wa 2025. Hata kama ni kweli ccm iliiba sana kura kwenye uchaguzi wa 2020, January na Kinana hawakutakiwa kukiri kosa hilo la wizi wa kura. Nani kawapa idhini ya kukiri kosa hilo kwa niaba ya ccm? Mbona suala la wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu lipo nchi nyingi tu duniani na tunashuhudia wakipelekana mahakani. Na huko mahakamani hakuna ambaye huwa ana plead guilty. Leo kwa chuki walizokuwanazo dhidi ya Magufuli, Kinana na January wame plead guilty kwa niaba ya ccm hadharani under camera. Chama kiwachukulia hatua kali ya kinidhamu na kuwafukuza uanachama.
 
Wabobezi wa Fikra watatafsiri kuwa mbele za Mungu wa Mbinguni Magufuli hakuwa Rais halali na Wabunge wote siyo halali na Madiwani siyo hali

Kiroho jambo hili si Mzaha 🐼
Magufuli alijifelisha mwenyewe kwa kutaka watu wamuone kuwa yeye ndio MUNGU
Haijalishi SAMIA atakosea kiasi gani.....ila Magufuli's mindset was blinded by darkness, devoid of a place in the civilized world. Let him rest in the grave where he belongs.
 
Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.

Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
Kwa vile ni mumeo?
 
CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.

January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.

Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
Bora mwemdawazimu alileta matokeo mazuri kuliko huu uharo tulionao sasa hivi.
 
Magufuli alijifelisha mwenyewe kwa kutaka watu wamuone kuwa yeye ndio MUNGU
Haijalishi SAMIA atakosea kiasi gani.....ila Magufuli's mindset was blinded by darkness, devoid of a place in the civilized world. Let him rest in the grave where he belongs.
January hajazungumzia kufeli bali Uhalali wa Uchaguzi wa 2020 🐼
 
Nchi ya wapumbavu wanaowaza ngono na mpira wa simba na yanga tu kama tz inastahili uongozi ule wa JPM.
 
Back
Top Bottom