Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
January Makamba ni akili kubwa sana kuliko watanzania wengi sana. Huyu ndiyo anastahili kupewa urais, siyo hawa akina jiwe na Sa100. Jiwe alikuwa na wazimu, sa100 ni kama haelewi afanye nn.
Labda akili kubwa ya kufagia vyoo