ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Kwani anajuwa?Hata mimi tangu apewe wizara yuko kama mtoto mdogo asiyejua cha kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anajuwa?Hata mimi tangu apewe wizara yuko kama mtoto mdogo asiyejua cha kufanya
Tatizo wengi wamejinasibisha na ccm. Wanaipenda kuliko wanavotaka maendeleo ya wananchi.Watanzania upole umetuzidi mpaka tunaonekana wapumbavu.
Kuna muda unafurahisha sana.
Ukikua utaacha.Sio kidogo sukuma gang.
Ukimwangalia na kumsikiliza kwa makini, majibu yake yana jeuri fulani na ya kujiamini kupita kiasi.Huyu jamaa anajifanyaga smart sana, ila kiukweli tangu achukue hii Wizara, ni kama inauweka wazi upeo wake.
Wa kumtumbua ni sisi wananchi tutakapokuwa tayari.Ukimwangalia na kumsikiliza kwa makini, majibu yake yana jeuri fulani na ya kujiamini kupita kiasi.
Hayalingani naa ukubwa wa tatizo, ni majibu ya majivuno ya aina yake. Ni kama anawaza kuwa hizi ni kelele tu na hazimsumbui.
Hana hofu ya kutumbuliwa na hakuna wa kumtumbua.
Ni jeuri ya aliyemweka pale.
Unakuta kwenye tozo za mafuta kuna Fuel levy halafu hapo hapo kuna petroleum fee, na pia kuna oil marketing overhead expenses sijui ndo kitu gani. Utashangaa kuna mpaka fuel evaporation loss fee. Tozo lukukiHawa vijana wamemuuzia Samia mbuzi kwenye gunia kiasi kwamba anaamini hadithi zao kuhusu matatizo ya Umeme nchini! Akihojiwa na AZAM TV Rais alisikika akisema matatizo ya umeme yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na uchakavu wa miundombinu yake!! Hii hadithi mara ya kwanza tulianza kuisikia kutoka kwa January kama justification ya hoja yao ya kuponda utendaji wa serikali ya Magufuli kuwa mitambo haikuwa inafanyiwa maintenance hivyo uchakavu wa mitambo!!
Samia ameamini uongo huo kwasababu ukienda kwenye budgets za TANESCO za miaka ilyoipita Wakati wa Magufuli na hata kabla ya hapo shirika lilikuwa linatumia fedha nyingi sana kwa matengenezo ya mitambo!! Hivyo hii hoja ya uchakavu wa mitambo inatumuka ili shirika litengewe fedha nyingi za kununua mitambo mipya kwani huko ndio kwenye 10% zao!! It is very unfortunate that she is being easily duped by these inexperienced wannabes.
Tunachozalisha ndio kinatakiwa kufidia hayo mafuta tunayonunua kwa kukipandisha bei kwa wazalisha mafuta, hivi ili halijui?Waziri wa Nishati January Makamba, amesema kwamba bei za mafuta nchini inatokana na gharama mbalimbali ikiwemo zile zilizotumika kununulia mafuta, gharama ya usafirishaji na gharama za biashara yenyewe hapa nchini.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 5, 2022, bungeni Dodoma, wakati kujadili hoja iliyotolewa na Mbunge wa Kilindi, Omari Mohamed Kigua, ya kusimamisha shughuli za Bunge zilizokuwa zikiendelea ili kujadili hali ya mfumuko wa bei ya mafuta nchini.
"Wote tunajua bei za mafuta zimepanda duniani na sisi kama nchi sio wazalishaji wa mafuta tunanunua mafuta kutoka nje na sehemu kubwa ya bei ya mafuta inayopangwa nchini inatokana na gharama ya mafuta yenyewe, gharama ya kuleta, kodi na tozo mbalimbali na gharama za kufanya biashara yenyewe hapa nchini," amesema Waziri Makamba
View attachment 2212801
Sio mpaka Dr Mahela wa mahesabu awe tayari?Wa kumtumbua ni sisi wananchi tutakapokuwa tayari.
Ni kweli hakuna wa kumsumbua hata aliyemteua hawezi kumsumbuaUkimwangalia na kumsikiliza kwa makini, majibu yake yana jeuri fulani na ya kujiamini kupita kiasi.
Hayalingani naa ukubwa wa tatizo, ni majibu ya majivuno ya aina yake. Ni kama anawaza kuwa hizi ni kelele tu na hazimsumbui.
Hana hofu ya kutumbuliwa na hakuna wa kumtumbua.
Ni jeuri ya aliyemweka pale.
Watanzania tumechaguliwa waziri na Mangekimambi. huyu ni international TubularasaWaziri wa Nishati January Makamba, amesema kwamba bei za mafuta nchini inatokana na gharama mbalimbali ikiwemo zile zilizotumika kununulia mafuta, gharama ya usafirishaji na gharama za biashara yenyewe hapa nchini.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 5, 2022, bungeni Dodoma, wakati kujadili hoja iliyotolewa na Mbunge wa Kilindi, Omari Mohamed Kigua, ya kusimamisha shughuli za Bunge zilizokuwa zikiendelea ili kujadili hali ya mfumuko wa bei ya mafuta nchini.
Haya ndio majibu anayotupa...ok sawa...as long as Rais anamlinda wacha ale maisha....
Ila uzuri hakuna kitu kinadumu milele...
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Niseme wazi mm sio CCM na sio mshabiki wa kada yeyote wa CCM lakini naona tatizo kubwa ktk namna watanzania tunavyofikiri na kuchambua mambo.
Niwe straight, wale woote wanaomshambulia Makamba ni wapumbavu aheri ya mazezeta.
Hivi kuna neno amekosea hapo? Sisi tuna mafuta?
Au ni uongo kwamba bei haijapanda sokoni?
Kumuweka kwenye vitu vinavyoongeza gharama(tozo na kodi) ni sahihi? Yeye ni waziri wa fedha?
Wizara ya nishati ina amua kodi au tozo iwe kiasi gani kwenye mafuta?
Ukijibu hayo maswali ndipo utajua Wewe ni mpumbavu ama la
Unakuta kwenye tozo za mafuta kuna Fuel levy halafu hapo hapo kuna petroleum fee, na pia kuna oil marketing overhead expenses sijui ndo kitu gani. Utashangaa kuna mpaka fuel evaporation loss fee. Tozo lukuki