Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #81
24hrs kabla walifanya hivyo according to fbi
Elewa security details ni kitu gani,ya Waziri mkuu haifanani na makamu Wala rais Wala rais mstaafuView attachment 3042200
Hata asingekuwa former president bado anastahili ulinzi wa Secret Service kama presidential candidate View attachment 3042202
Mita 13!?.. maana yake alikua mkutanoni,dogo alikua yard 130,takribani 130mKwa nini majengo mengine Secret Service Snipers walikuwa juu yake isipokuwa alilokuwa shooter ambalo liko umbali wa mita 13 tu na alipokuwa Trump?
Kwa nini walipuuza taarifa za shahidi kuwa wamemuona mtu ana silaha yuko juu ya jengo (rooftop)?
Elewa security details ni kitu gani,ya Waziri mkuu haifanani na makamu Wala rais Wala rais mstaafu
Ni mita 130Mita 13!?.. maana yake alikua mkutanoni,dogo alikua yard 130,takribani 130m
Hapo Kuna mawiliShuhuda huyo alitoa taarifa kwa polisi na Secret Service kuhusu shooter aliyekuwa amejificha juu ya paa akiwa na silaha.View attachment 3041840
View attachment 3041839
Mahali ambapo shooter alikuwa juu ya paa na Trump alipokuwa akifanyia campaign ni mita 130 (google earth photo)
Secret Service Agents baada ya kufanikiwa kumuua shooter juu ya paa lilelile ambalo shuhuda alishatoa taarifa mapema kwamba alimuona mtu huyo lakini taarifa yake ikapuuzwa.
Wamarekani wanasema ni wakati wa mkuu wa Secret Service ajiudhuru.
Akiongea na BBC shahidi huyo aliweka wazi kuwa taarifa yake ilipuuzwa na vyombo vya usalama (Secret S
Walipewa na nani!?..kupitia BBC, secret service mstaafu kasema Wana layers tatu za ulinzi kwenye situation Kama hiyo,later ya kwanza nje kabisa ni ya polisi wa Jimbo husika,raia walitoa taarifa kwa polisi na si secret service,ni polisi ndiyo waliozembea ku-relay info kwa secret service au Kama Wana jurisdiction ya intervene basi walichelewa kufanya hivyoMzee umesona kazi zao Secret Service vizuri?
Walipopewa taarifa kwa nini hawakuifanyia kazi?
Hapo Kuna mawili
labda hao secret service Kama lilivyo jina lao. Wanaweza wakawa kwa makusudi wameamua kumtengenezea njia trump to be president "
Au labda trump mwenyewe ndio katengeneza huo mchezo kusudi apite kwa ulaisi zaidi dhidi ya mpinzani wake
Zaidi ya uwanja wa kandandaNi mita 130
Walipewa na nani!?..kupitia BBC, secret service mstaafu kasema Wana layers tatu za ulinzi kwenye situation Kama hiyo,later ya kwanza nje kabisa ni ya polisi wa Jimbo husika,raia walitoa taarifa kwa polisi na si secret service,ni polisi ndiyo waliozembea ku-relay info kwa secret service au Kama Wana jurisdiction ya intervene basi walichelewa kufanya hivyo
Nimeiona hiyo video ya huyo madevuKatazame video ya shuhuda
Amesemaje?Nimeiona hiyo video ya huyo madevu
Aliwaambia polisi kwamba Kuna mtu ana bunduki anapanda paa,zingatia polisiAmesemaje?
Hivi (ukiondoa mtu anayetaka kujiua) kuna mtu anaweza ku stage tukio la kuhatatrisha uhai wake kwa kulengwa risasi maeneo hatari kama kichwani kweli?!lakini pia huenda ni staged na yeye mwenyewe kuwin uchaguzi kirahisi.
Kabisa. Siamini kama kuna mtu anaweza kutengeneza tukio la namna hiyo. Labda yule anayetaka kujiuaBila kukigeuza kichwa ile risasi ilikuwa imuue, kusema Trump mwenyewe alipanga ni ngumu kukubaliana nawe
Amelipia urais kwa damu yake mwenyewe🤣Trump kwa sasa njia nyeupe
Could be either or…Ni kweli gun control ni changamoto kubwa sana Marekani
Lakini wewe kwa mtazamo wako unaonaje hili jaribio lilipangwa au ni raia tu wa kawaida mwenye chuki na Trump alijaribu kumuua?
Long time kitambo!Haya ndio yalikuwa mambo ya Jack Bauer kwenye 24