Je, Geita ina fursa gani?

Je, Geita ina fursa gani?

Wakuu nataka kuja geita vipi wakuu naweza pata mwangaza kidogo chocjote mtu anafamu?
Aidha lodge bei cheee, mishe nknk
Kwanini Geita mkuu? Na siyo Katoro,Bukoba,Mwanza,Kahama,Musoma na kwingineko.

Geita unaenda kwa lengo lipi?

Unaulizia lodge bei chee zenye range ya kiasi gani mpaka kiasi gani?
 
Kwanini Geita mkuu? Na siyo Katoro,Bukoba,Mwanza,Kahama,Musoma na kwingineko.

Geita unaenda kwa lengo lipi?

Unaulizia lodge bei chee zenye range ya kiasi gani mpaka kiasi gani?
Kwanini iwe bukoba,mwanza,kahama,musoma na si geita mkuuu

Sina lengo maalum ni kuzunguka tu kuangalia furssa tu duniani apa

Range yoyote mkuu
 
Geita ni mji wa kiserikali na kimadini pia ,ila mzunguko wake haueleweki kwa sababu alisimia kubwa ya wakazi wa pale ni wafanyakazi wa mgodini GGM na serikali hvyo Mara nyingi siku za Wiki unakuta pamepoa....lodge zinalipa sana hapo geita,ila mambo ya maduka sidhan sana
Kama kuna madini nafkiri bc kutakuwa na washkaji wenye pesa mnoo,
So ukiachana na lodge kipi kingine kinaweza kuwa fursa
Je ni nini inaweza kuwa changamoto nifikapo

Amna uchawi? Vibaka + majambazi je? Matikio ya hovyo??
 
Kutoka geita moaka katoro ni nusu saa nauli ni 2000 nenda huko kuna fursa kuliko geita,geita hakuna mzunguko mzuri wa hela,katoro ni kariakoo ya kanda ya ziwa
Da kwanini geita haina fursa naona hii ni kila m2 anapigia pin.
 
Back
Top Bottom