Onyesha waliambiwa hayo kwenye kitabu gani kwamba wauwe wote ? Swali langu la msingi ni hili ambalo mwenzako ameshindwa kulijibu.Waliambiwa waue wote, wao wakabakiza mmoja, huko si kukaidi? Na kukaidi amri ya Mungu si dhambi? Na kama ni dhambi, huoni ile kauli ya malaika hawatendi dhambi si kweli? Na hivyo kitabu kimejipinga?
Kwa nini tusiseme hajaamua kuacha ndio maana anaendelea ?Wangekuwa na uwezo wangeshaacha. Kitendo cha mtu kuendelea kufanya jambo fulani maanake ameshindwa kuacha. Ukiona kaacha hiko kitendo ujue ameweza kuacha.
Hii ndoa umeisoma kwenye kitabu gani?Wwlifunga ndoa siku ya kuumbwa Adam
Kauli hiyo iliwahusu adam na hawa pekeee au ni binadamu wote hadi leo hii?βMungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.β
β Mwanzo 1:28 (Biblia Takatifu)
Nani kasema huwa inafungwa kanisani?Nani anayewadanganya kuwa ndoa hufungwa kanisani?
Kabla ya swali lako, kwanza una uhakika alitoa mahari?Nani alipokea mahari ya adam?
Kabla ya swali lako, je una uhakika kulikuwa na kanisa au msikiti wakati huo?Walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Mkuu, samahani naomba unijibu swali nje ya mada hii. I declare this, ninaamini katika uwepo wa Mungu. Naomba unijibu maswali yangu yafuatayo :-Uta
Utamwaminije mtu usiye muona? Na asiyeweza kukusaidia lolote? Ni akili ndogo tu zinazo amini kuwa Kuna kitu kinaitwa Mungu ,,story za kusadikika tuu
Wewe Adam na Eva umewasoma kwenye kitabu gani?Hii ndoa umeisoma kwenye kitabu gani?
Ndoa iliwahusu Adam na Hawa pekee au binadamu wote mpaka leo?Kauli hiyo iliwahusu adam na hawa pekeee au ni binadamu wote hadi leo hii?
Aliyeuliza kama ilifungwa kanisani au msikitiniNani kasema huwa inafungwa kanisani?
nadhani unashindwa kuelewa point yangu ni ipi. Haya ngoja twende unavyotaka wewe. Naomba hapo ulipoaandika makosa madogo madogo ambayo kila mwanadamu huyatenda. Unaweza kuniambia kwanini iwe lazima mtu ayatende makosa hayo Kama sio ndio asili aliyoumba mwenyewe Mungu?Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipo kuwa makosa khafifu.
Ukiangalia aya imeeleza kuwa kuna wale ambao wanajiepusha na makosa ama madhambi makubwa makubwa.
Isipokuwa makosa khafifu yale madpgo madogo ambayo kila mwanaadamu huyatenda kwa namna yake
Hapo ni katika ishara kuwa Mola amewapa watu fursa na uhuru wa kujizuia na madhambi hasa makubwa makubwa kama kuuua kwa makusudi,kumbaka mama mzazi na mengineyo makubwa.
Hapo ni ishara kuwa mja anaweza kutoka na akachagua kujiepusha na mambo kadha wa kadha bila kutenzwa nguvu na Allah
Hahaha ndio ujue kuwa hawa waumini wa hizi dini ni vichaa wa akili πYaani unasema kabisa kuwa mtu hajakamilika halafu bado unakazana kusema umepewa utashi na akili. Je hiyo akili na utashi itasaidia nini wakati haujawa mkamilifu?
Huyo jamaa akili hana ni type ya wale watu ambao huwa waabishana tu vijiweni ili muda uende hana fact hawezi hata kutetea hoja zake ilimradi tu anabishanaWaliambiwa waue wote, wao wakabakiza mmoja, huko si kukaidi? Na kukaidi amri ya Mungu si dhambi? Na kama ni dhambi, huoni ile kauli ya malaika hawatendi dhambi si kweli? Na hivyo kitabu kimejipinga?
Nimekutolea Mpaka sura jombaa but still unabishana π ngoja nikitulia nakuletea Aya hiyo π idiotOnyesha waliambiwa hayo kwenye kitabu gani kwamba wauwe wote ? Swali langu la msingi ni hili ambalo mwenzako ameshindwa kulijibu.
Ili iwe imejipinga onyesha wapi katika andiko kumeonyeshwa agizo hilo ? Na wao malaika wakafanya kinyume.
UnaongeaUnaongea fact sana but wafia dini wa humu hawawezi kukuelewanadhani unashindwa kuelewa point yangu ni ipi. Haya ngoja twende unavyotaka wewe. Naomba hapo ulipoaandika makosa madogo madogo ambayo kila mwanadamu huyatenda. Unaweza kuniambia kwanini iwe lazima mtu ayatende makosa hayo Kama sio ndio asili aliyoumba mwenyewe Mungu?
Mfano mimi ni fundi ujenzi; nimejenga nyumba lakini baada ya kujenga ile nyumba naangalia juu kwenye bati naona kuna matundu ambayo pindi mvua ikinyesha, nyumba itakuwa inavuja na maji kuingia ndani. Hapo nimejua dosari
Lakini baada ya kulijua hilo sijarekebisha bali nimekabidhi nyumba vile vile kwa mteja.
Je hapo huoni kuwa hapa fundi kakusudia nyumba aliyojenga ivujishe maji ndani? Laiti kama angekuwa hajakusudia angerekebisha baada ya kugundua kuwa hii nyumba haipo sawa.
Twende upande wa Mungu:
Mungu anamuumba mtu ambaye kwa maelezo yenu mnasema na kukiri kuwa hajakamilika.
ili Mungu awe hajakusudia kumuumba mtu asiyekamilika kuwa hajafanya kusudi basi niambie kuwa Mungu hana uwezo wa kumuumba mtu aliyekamilika. Kwa maana kwamba kumuumba mtu aliyekamilika ilikuwa nje ya uwezo wake.
Kama uwezo wa kuumba mtu aliyekamilika anao lakini yeye Mungu kwa mapenzi yake kaamua kuumba mtu mwenye sifa ya kutokamilika, basi maanake Mungu mapenzi yake ni kumfanya binadamu awe kiumbe asiyekamilika.
Huku kutokamilika kwa binadamu ndio kunakopelekea kufanya makosa aidha ni madogo madogo au yawe makubwa.
Sura uliyo iweka kweli inaelezea kisa cha nabii Adamu, ila haionyeshi hilo agizo kwa Malaika kwenda kuwaua majini wote kisha wakakaidi wakambakiza mmoja. Nachotaka mimi ni hilo agizo na utuonyeshe wapi walipo kaidi.Nimekutolea Mpaka sura jombaa but still unabishana π ngoja nikitulia nakuletea Aya hiyo π idiot
Naona mmekutana pipa na mfuniko sijui nani atamfunua mwenzake. Yaani kwa mnavyojichanganya kwa kuvamia mambo msiyo yajua, mnajifariji kwamba hatuna akili, sasa jibuni hoja zetu.Hahaha ndio ujue kuwa hawa waumini wa hizi dini ni vichaa wa akili π