Je, hayati John P. Magufuli alidanganywa na vyanzo vyake vya habari? Maana sasa ni kama kufedheheshana

Hakuna aliyepinga mabadiliko, bali tunahoji haya madhaifu yanayoanikwa. Maana tulikuwa tunaambiwa kila kitu kiko sawa.
 
Au maza kashalishwa kaseti na yule mzee mwenye tabasamu muda wote,

au maza nae alimchukia hayati kama walivyofanya mabeberu?

Au maza kafurahi paka ametoka?

Au maza anajua yaliyomkuta mzee?

Au maza, au au au
Tulia ww kila zama na kitabu chake
 
Jiwe alikua anafanya kazi peke yake yaani ni one man show. Hao wengine walikua wanafata matakwa yake
 
Ubora wake watakuja kuujua wajukuu zako si ww kama umefoji cheti na kuwazibia nafasi waliokesha miguu wameweka kwenye maji ukafukuzwa lazima utamuona ni mbaya lakini wale waliokuwa wanalia na kujipanga barabarani wanajua ubora wake
Hoja hapa sio kufukuza wenye vyeti feki. Tunahoji juu ya madhaifu yanayoanikwa sasa ina maana hakuwa anaambiwa ukweli?
 
We kijana una umri gani? Madhaifu ya Jakaya yalikuwa wazi kabisa hata alipokuwa madarakani.
 
Labda ulisoma wakati wa Nyerere! Elimu ya bure ilitoweka kuanzania mwaka 1985, ikaanza kama mchango wa elimu Sh20 na kadri siku zilivyokwenda ndipo karo ilikuwa inaongeza; imepita miaka 30 ndipo elimu ya bure ikarudi tena.
 
Hii takwimu ya kuwa enrollment ni 98% alafu 50% wanaacha shule kwa ujauzito uliipata wapi?

Hilo la kumaliza shule huku hawajui kusoma utakuwa upo sawa.
 
JPM atabaki kuwa kiongozi katili, mwizi na muongo kuliko marais wote hapa nchini.
Kweli vizazi havitamsahau.
 
Huyo jamaa alikuwa jeshi la mtu mmoja
 
Hakuna aliyepinga mabadiliko, bali tunahoji haya madhaifu yanayoanikwa. Maana tulikuwa tunaambiwa kila kitu kiko sawa.
Hata JPM alikuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri la Rais Mkapa na akadumu hadi baraza la Mawaziri la JK , amekaa 20 years as a minister, akauza nyumba zote za serikali, na akajiuzia na nyingine akawapa mahawara zake, huyo huyo alipoingia JK ikabidi JK ahangaike kujenga nyumba mpya maana viongozi wapya walikuwa wanakaa mahotelini na kwenye appartments and it was expensive and too risky.

Huyohuyo alipokuja kuwa president 2015 akaanza kuibua ya wenzake na kuongea shit nyingi sana na kujionyesha yeye ndio mzalendo na sio mwizi wala sio jangili.

Labda nikuulize, je unajua kwamba alikuwa waziri kwa muda wote niliosema hapo juu?

Na kama jibu ni ndio, je kwa nini nae aliibua hayo mambo alipoingia yeye wakati nae alikuwa sehemu ya hizo Serikali akiwa kwenye council ya ministers ambapo alikuwa sehemu ya maamuzi na baadhi yake yalikuwa na utekelezaji chini yake?

Je utabisha tukisema kwamba nae alikuwa mnafiki na amewasaliti watangulizi wake kwa kuamua kufuata njia zake za uongozi baada ya kuwa Rais na kuanza kuexpose mambo ambayo yalishapita?

Je nae tumuite msaliti?

Na kama jibu hapo juu litakuwa hapana, then kwa nini unamuita Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan majina ya kipuuzi??? Ni hayo machache tu.

I submit.
 
Haya yote yanatokea hata shingo haijakatika
 
Hata mimi ningepewa mamlaka baada ya jiwe ningefanya hivi hivi, maana jamaa aliharibu misingi ya nchi kwa kigezo cha miradi yake ya ujenzi
 
Kipindi unachosemea ww Watanzania hawafiki milioni 15 wanaenda shule ni chini ya 4% sasa hv mpo milioni 60 wanaoenda au waliofikisha umri wa kwenda shule 98% wanaenda shule uoni kuna tofauti kubwa ?
Hata uchumi wakati huo ulikuwa upo chini Sana na mazingira magumu mnooo,Sasa kwanini iliwezekana na kwa nini ishindikane leo?
 
Kama ushauri wake ulikua hausikilizwi je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…