Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 aaaaah weeee punguza hasiraWanawake tunafaidika na kila kitu, wanaume hawafaidi na chochote. Hivyo ni vyema mkaendelea kuhamasishana kujiondoa kwenye mahusiano/ndoa.
Au kuna option ile nyingine.
Waache mishangazi ili wawe wakabaji? Mishangazi ni fursa, atakayeitumia fursa vizuri anapata manufaa anayeitumia vibaya atajuta baadae. Vijana msiwasiklize hawa matapeli wao hawataki kustaafu halafu wanataka wawazibie nyie fursa adhimu hizo, mimi nasema endeleeni nao mishangazi yenu na muichune kisawasawa.
Nimetumia ile principle ya kumwambia mtu anachotaka kusikia.🤣🤣 aaaaah weeee punguza hasira
Haya mambo ya pesa yamevuruga sana mahusiano 🤣 na maana ya upendo🤣Nimetumia ile principle ya kumwambia mtu anachotaka kusikia.
Kwa kweli sioni wanachopata wanaume 😂😂 Kwahiyo bora wajitoe tu.
We unaona je? Kuwa na mtu ana nguvu kama wewe, ana mwili kama wako, ana pesa kama zako (as if wanaume wote wanapesa) excuse my manner.
Kuna watu mtapigwa humu 😂😂😂😂😂Wanawake tunafaidika na kila kitu, wanaume hawafaidi na chochote. Hivyo ni vyema mkaendelea kuhamasishana kujiondoa kwenye mahusiano/ndoa.
Au kuna option ile nyingine.
Yamevuruga kila kitu si mahusiano tu.Haya mambo ya pesa yamevuruga sana mahusiano 🤣 na maana ya upendo🤣
Mkuu hii inatuhusu hata sisi tunao endesha magari makubwa/masafa marefu.....naomba mnisaidie kujibu ili swali
maana watafiti hewa wamenichanganya na mchoro wao huu chini
View attachment 3133406
Na mi ndio ntakuwa wa kwanza kupigwa, na ninavyoogopa! 😂😂Kuna watu mtapigwa humu 😂😂😂😂😂
Azuma zitakuhusu,pole sana.Na nmetoka Kuchukua Mayutiai😀
Kwa nyie sasa; magari makubwa ndio yanapaswa kujiuliza yanapata nini kwenu 😂Mkuu hii inatuhusu hata sisi tunao endesha magari makubwa/masafa marefu.....
Wenzako wanaongea pole pole ila wewe unajitutumua alafu una payukaNa mi ndio ntakuwa wa kwanza kuongea, na ninavyoogopa! 😂😂
Asa tusemeje jamani?
Nimeogopa sana.Wenzako wanaongea pole pole ila wewe unajitutumua alafu una payuka
Serious watakupiga....
Watakuroogaaa 😂😂😂😂😂😂
Tunaibiwa sana