Je kati ya mwanamke na mwanaume nani anafaidika sana kwenye mahusiano ama ndoa ?

Je kati ya mwanamke na mwanaume nani anafaidika sana kwenye mahusiano ama ndoa ?

Waache mishangazi ili wawe wakabaji? Mishangazi ni fursa, atakayeitumia fursa vizuri anapata manufaa anayeitumia vibaya atajuta baadae. Vijana msiwasiklize hawa matapeli wao hawataki kustaafu halafu wanataka wawazibie nyie fursa adhimu hizo, mimi nasema endeleeni nao mishangazi yenu na muichune kisawasawa.
Wapi nitapata mshangazi wa kunilea? Nina kila kitu isipokuwa pesa na mahali pa kula ama kulala
 
Wanawake tunafaidika na kila kitu, wanaume hawafaidi na chochote. Hivyo ni vyema mkaendelea kuhamasishana kujiondoa kwenye mahusiano/ndoa.

Au kuna option ile nyingine.
Eeeh ndio, ili wafaidike waambatane na wanaume wenzao nimefungua code
 
😂😂😂 Swali gumu sana?
Ukitaka kujua nani anafaidi mwanamke awe na pesa kwanza kabisa atafikiria kukaa pekeyake
Lakini napo bible ishasemaga
Mwanaume utakula kwa jasho
Mwanamke atazaa kwa uchungu
Asa mwanamke yeye akishazaa kwa uchungu basiiiiiii 😂😂😂 mzee tutafute hela
 
Ndoa ifanyike kwa dhumuni la kuwajenga watoto katika misingi mizuri ya malezi bora na maadili na sio kutazama nani mnufaika kwa ndoa kati ya wanandoa wawili tu.
Ndoa za siku hizi ni za kutunishiana misuli bibi na bwana
 
Back
Top Bottom