Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari makubwa hayana mambo mengi ...Kwa nyie sasa; magari makubwa ndio yanapaswa kujiuliza yanapata nini kwenu 😂
Mi nimesoma comment yako nimekereka sana sio siri 😬😬😬😬😬😬Nimeogopa sana.
Katazame post #18Je kati ya mwanamke na mwanaume nani anafaidika sana kwenye mahusiano ama ndoa ?
Wapi nitapata mshangazi wa kunilea? Nina kila kitu isipokuwa pesa na mahali pa kula ama kulalaWaache mishangazi ili wawe wakabaji? Mishangazi ni fursa, atakayeitumia fursa vizuri anapata manufaa anayeitumia vibaya atajuta baadae. Vijana msiwasiklize hawa matapeli wao hawataki kustaafu halafu wanataka wawazibie nyie fursa adhimu hizo, mimi nasema endeleeni nao mishangazi yenu na muichune kisawasawa.
Tembelea maeneo ya matukioWapi nitapata mshangazi wa kunilea? Nina kila kitu isipokuwa pesa na mahali pa kula ama kulala
Eeeh ndio, ili wafaidike waambatane na wanaume wenzao nimefungua codeWanawake tunafaidika na kila kitu, wanaume hawafaidi na chochote. Hivyo ni vyema mkaendelea kuhamasishana kujiondoa kwenye mahusiano/ndoa.
Au kuna option ile nyingine.
Kamtindo kapya kakutupimaKama hajakuzalia watoto kimbia mbio haraka😁
Ile ya CHAPUTA? 🫣Wanawake tunafaidika na kila kitu, wanaume hawafaidi na chochote. Hivyo ni vyema mkaendelea kuhamasishana kujiondoa kwenye mahusiano/ndoa.
Au kuna option ile nyingine.
Bora Chaputa mbona hawana haya? 😂Ile ya CHAPUTA? 🫣
Mi sijasema , umesema wewe 😂😂😂😂Eeeh ndio, ili wafaidike waambatane na wanaume wenzao nimefungua code
Nisamehe mdogo wangu mzuri.Mi nimesoma comment yako nimekereka sana sio siri 😬😬😬😬😬😬
ExactlyEeeh ndio, ili wafaidike waambatane na wanaume wenzao nimefungua code
😁😁😁😁😁😁Kamtindo kapya kakutupima
Ndoa za siku hizi ni za kutunishiana misuli bibi na bwanaNdoa ifanyike kwa dhumuni la kuwajenga watoto katika misingi mizuri ya malezi bora na maadili na sio kutazama nani mnufaika kwa ndoa kati ya wanandoa wawili tu.