Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
-
- #141
Connection ni muhimu sana kwenye kufanikiwa pia.Jibu ni moja TU
Wanapeana TAG hakuna kukunjiana
Ukiona familia mmoja TU ndio yupo JUU wengine wapo chini au hawaeleweki jua huyo alie JUU kapiga KOMEO hataki kuwapa TAG wengine wapande JUU km yeye na anataka aonekane yeye TU ndio wa JUU
Hii comment ntaikuta hapa nikiwa na Miaka 79
Na log OUT
Umegongelea msumari kiongozi. Big upNi ukweli usiopingika kua kunafamilia zina bahati/zimebarikiwa na zipo familia zenye mikosi/zimelaaniwa lakini kitu kikubwa kwa baadhi ya familia kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ni kuwepo kwa kiunganishi/kiongozi mzuri ndani ya familia;
Mfano usione kuna familia watoto wote wanabiashara kubwa na maisha mazuri /wameajiriwa sehemu nzuri kuna mtu kasababisha hilo kutokea kuna watoto wengi tunawaona kwenye familia hizo wanaanguka mara kadhaa kwenye biashara zao lakini kutokana na uwepo wa kiunganishi wanasimama tena.
Hata sisi😅😅😅Kwetu sisi wote vipanga.
Hongereni sana, pambana na jifunze kwa hao ndugu zako na wewe utatoboa.Hata sisi😅😅😅
Hadi watoto wetu vipanga. Ndugu zangu wote wamefanikiwa wana kazi nzuri kasoro mimi hata sielewi nina gundu gani manina zangu
Nimekataa tamaa kwa kweli sioni njia ya kutoboa mimi binafsi. Ninachoshukuru ni kwamba mtoto wangu amefanikiwa na ameshaanza kujitegemea so sina mzigo wowote. Nakula vzr lakini mafanikio binafsi hayapo.Hongereni sana, pambana na jifunze kwa hao ndugu zako na wewe utatoboa.
Usikate tamaa, ila kama umeweza kukuza watoto wako na wana jitegemea kuna kazi kubwa umefanya.Nimekataa tamaa kwa kweli sioni njia ya kutoboa mimi binafsi. Ninachoshukuru ni kwamba mtoto wangu amefanikiwa na ameshaanza kujitegemea so sina mzigo wowote. Nakula vzr lakini mafanikio binafsi hayapo.
MaleziHabari Wakuu.
Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.
Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.
Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi walio fanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.
Karibuni kwa michango yenu.
Ni kweli lakini nakosa raha. Kiufupi sina raha, kuna mambo hayajakaa sawa kabisa najiona kama sina maisha ya kawaida ambayo watu wengine wa kawaida wanaishi. Kikubwa uhai nashukuru🙏Usikate tamaa, ila kama umeshaweza kukuza watoto wako na wana jitegemea kuna kazi kubwa umefanya.
Mmegundua technolojia gani? Au mmefanya lipi la kipekee? Au unamaanisha ukipanga wa kukariri notes na kupata Div 1?Kwetu sisi wote vipanga.
Kikubwa uhai pengine mafanikio yataonekana kwa watoto.Ni kweli lakini nakosa raha. Kiufupi sina raha, kuna mambo hayajakaa sawa kabisa najiona kama sina maisha ya kawaida ambayo watu wengine wa kawaida wanaishi. Kikubwa uhai nashukuru🙏
It's true kuna families ni blessed wanafanikiwa na kuna families ni cursed wanalaaniwa. Blessing na curses zinatokana na karma za matendo ya wazazi wao. Familia zenye mafanikio, wazazi wao walitenda mema, familia zenye majanga, wazazi wao walifanya majanga.Habari Wakuu.
Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.
Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.
Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.
Karibuni kwa michango yenu.
Mpaka chuo kikuu elimu yetu ni extended high school. Kukariri kwa sana.Mmegundua technolojia gani? Au mmefanya lipi la kipekee? Au unamaanisha ukipanga wa kukariri notes na kupata Div 1?
Can you break generational curses?It's true kuna families ni blessed wanafanikiwa na kuna families ni cursed wanalaaniwa. Blessing na curses zinatokana na karma za matendo ya wazazi wao. Familia zenye mafanikio, wazazi wao walitenda mema, familia zenye majanga, wazazi wao walifanya majanga.
Baraka na laana ni mambo ya powers, vibali na karma. Karibu mitaa hii
- Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
- "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
- "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!
- Vijana Waahidiwa Utajiri Kwa Shurti la Kuweka Agano la Kutohama Efata-Mtume na Nabii Mwingira!.
P
Safi mkuu,waelekeze pia namna ya kuvunja hizo generational CursesIt's true kuna families ni blessed wanafanikiwa na kuna families ni cursed wanalaaniwa. Blessing na curses zinatokana na karma za matendo ya wazazi wao. Familia zenye mafanikio, wazazi wao walitenda mema, familia zenye majanga, wazazi wao walifanya majanga.
Baraka na laana ni mambo ya powers, vibali na karma. Karibu mitaa hii
- Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
- "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
- "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!
- Vijana Waahidiwa Utajiri Kwa Shurti la Kuweka Agano la Kutohama Efata-Mtume na Nabii Mwingira!.
P
Mafanikio ya watoto ni ya kwao binafsi. Huwezi kuwa omba omba utawakera na watakuchukia. Unaacha wakusaidia pale wanapoweza bila wewe kuwa ombaomba.Kikubwa uhai pengine mafanikio yataonekana kwa watoto.
Mkuu umetema madini kweli kweli.It's true kuna families ni blessed wanafanikiwa na kuna families ni cursed wanalaaniwa. Blessing na curses zinatokana na karma za matendo ya wazazi wao. Familia zenye mafanikio, wazazi wao walitenda mema, familia zenye majanga, wazazi wao walifanya majanga.
Baraka na laana ni mambo ya powers, vibali na karma. Karibu mitaa hii
- Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
- "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
- "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!
- Vijana Waahidiwa Utajiri Kwa Shurti la Kuweka Agano la Kutohama Efata-Mtume na Nabii Mwingira!.
P
Ni kweli itasaidia kwa waaminio.Safi mkuu,waelekeze pia namna ya kuvunja hizo generational Curses
Hii nimeielewa sanaMkuu
Uchawi
Laana
Baraka /mkosi
Shetani
Mizimu
Haya mambo watu huyatumia Ku-decline responsibility.
sureMimi Ni mkristo Ila kwenye hii falsafa ya HINDUISM Kuna ya kujifunza
Kuna kitu kinaitwa DEVIL INCARNATION yaan Wana amini Kama ukizaliwa kwenye umaskini au ulemavu au matatizo nikutokana na PAST EXISTENCE YA VIZAZI VYAKO HAVIKUISHI VIZURI IVYO WEWE UNA HUKUMIWA NA UOVU WA YOUR PAST EXISTENCES
So Kuna familia na Koo sio za kuoana nazo ama kushirikiana nao zinaweza kuku drain kulipa uovu wa vizazi vyao vilivyopita..
mnaweza kuwa wote vipanga lakini bado msiwe na mafanikio sanaKwetu sisi wote vipanga.