Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendaaa zako hukoooo! Yesu mwenyewe bado yupo kwa baba yake 🤣🤣🤣Na uhame kwenu,
Kunachakugundua tena hapo...sii umesema hupashi.......Aaah!! Prof. Umegundua Nini?
Inategemea unamalengo ganAise ata mie ngoja nipate tips hapa. Kuna mwanamke natamani sana nirudishe majeshi ila dah kama kaniwekea kauzibe ila sometimes ana respond vizuri tukichat....tupeni mbinu wajuzi wa mambo
Kweli kabisa tukiwa na hela watazileta mbususu wenyewe.Bado hujapata pesa ya kutosha kumshawishi akurudie, achana naye, tafuta pesa atakuja mwenyewe.
Nataka kumuoa kabisa this time sitaki ujingaInategemea unamalengo gan
Acha kumtafuta kuanzia sekunde hii, utakuja kunishukuru... na huo muda unaona ni mwingi, but ndiyo itakusaidia nawewe pia kumsahau, atakutafuta yeye, kama pia ana mapenzi bado nawewe MowwoDaah Bantu lady shukrani sana.
Nilianza na gia kubwa ya kumtafuta mara kwa mara. Kwahy inabid nipunguze kuonesha namtaka sana
[emoji23][emoji23][emoji23]shauri yako, unamkosa huyo.Kwendaaa zako hukoooo! Yesu mwenyewe bado yupo kwa baba yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Criston Cole... I'm Beautiful, Loyal and Romantic...What special about you???
No turning backMwanzo yalikua sii makabichi. Kwaio mkuu unaanza upya yani
...introduction, paragraph ya kwanza na ya pili vinaonesha wewe ni KE ila paragraph ya tatu umeandika as ME...sasa unanichanganya wewe ni KE au Me?tuanzie hapo.Wakuu nadhani mko poa
Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango wangu, siku zote nilikubali hali halisi na kuendelea kuishi maisha yangu bila wao(katika mahusiano yote niliyopitia).
Waliponiacha, niliheshimu maamuzi yao, nilitulia na kuwatakia kila la kheri. Kisha sikuwasiliana nao, lakini kwa nia kuendelea kuishi maisha yangu bila wao kuwa sehemu ya maisha yangu ya baadaye. Kwa sababu nilionyesha kutokujali, kujitenga na kuwa tayari kuendelea.
Tatizo kuna ex wangu mmoja natamani kurudisha mahusiano yangu kwake. Najiskia kumpenda sana, najutia kumuacha, sasaivi amekua mzuri sana🤭 na tayari tunawasiliana. Tatizo hataki mahusiano na mimi tena. Wewe ulitumia mbinu gani kumrudisha ex wako? Uligharamika kiasi gani? Mahusiano yalidumu?
Bora kufaKwan Marioo anasemaje