Je, kutoweka na kutoonekana kwa Paul Makonda si Uthibitisho kuwa TISS kuna Mapungufu makubwa na DG Msuya afutwe Kazi upesi sana?

Huna ukijuacho the Man is a typical Failure to that Post japo Mheshimiwa Rais anaendelea kuwa nae akidhani he's that Competent hapo ( pale ) Idarani / Taasisini.


Mmeshaanza majungu tena kwa Diwani Msuya, mlimpiga majungu ya wivu enzi za JPM atolewe kwa kisingizio haijui idara vizuri alikua afisa kipenyo, mmeanza tena

Mlimtengenezea sabotage aonekane ni failure JPM akaziba maskio
 
Tatizo umu Jamii forum hakuna Mtu au Mwanachama anae tumia jina la ukweli ungetumia jina lako la ukweli basi hapo hapo ukweli ungefahamika
 
Kwani siku zote Kubenea Alikuwa Wapi? Au ndiyo chuki binafsi?
 
TISS ilikuwa TISS kweli wakati wa Mwalim. Enzi za Mkapa ilikuwa hovyo kabisa. Iliachia Kikwete na Lowassa wachukuwe uongozi wa nchi kwa kutumia fedha, na wengi wao walinunuliwa wakawa kwenye mtandao.
Zamani siyo sasa kila Zama na Zama Zake
 
Kwa comment hii, mada imefungwa.
Big up mkubwa!
 
Kwani siku zote Kubenea Alikuwa Wapi? Au ndiyo chuki binafsi?
KUBENEA siku zote anaishinkwa UNAFIKI.

Na tena Unafiki unamlipa sana.

Unafiki huo huo umewahi kumpa mpaka Ubunge.

KUBENEA aliwahi kuandika kuwa Lowassa Ni FISADI papa kwa miaka 8 na ghafla ndani ya usiku mmoja, akamsafisha Lowassa na kupewa nafasi ya kugombea Ubunge Ubungo kupitia CDM.

Aliwadanganya watu wa Ubungo, akishinda atawataja waliobeba pesa za Stanbic Escrow mpaka leo kimya.

Amekuwa akitumika na Mbowe kujifanya anapata taarifa za TISS kuwa Zitto Ni msaliti kama kawaida yake, Mara ACT imeanzishwa na Lowassa na Mara ghafla uchaguzi wa 2020 akahamia huko huko ACT kwa Zitto.

In short, huyu KUBENEA Ni mpuuzi fualani anayejua kukoroga akili za misukule went mtindio wa ubongo wasio na kumbukumbu.

Sasa hivi ,ameona atoke vipi ndio kaamua kuleta hizi drama uchwara za Making🤣🤣🤣🤣
 
huna akili, umeandika comment ndefu iliyojaa ujinga.

kwa hiyo kama ikatokea unamuona jirani yako amedhuru watu kwa panga, utamuacha aende zake bila kumchukulia hatua kwasababu alichofanya hakijaleta threat kwa usalama wa nchi?.

Kama tu unashindwa kuelewa nilichojibu dhidi ya content za bandiko husika, basi wewe ni kiazi tupu upstairs!

Kwahiyo hizo tuhuma za Makonda (kunyima watu haki ya kuishi, matumizi mabaya ya madaraka kwa kuvamia clouds fm, etc) ndiyo mnaiambia TISS imkamate Makonda na kumshitaki? Unafahamu majukumu ya TISS?

Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga? Punguan wa head!

-Kaveli-
 
Watanzania wana wivu mkali anadhani DG TISS akitumbuliwa atapewa yeye nafasi

Halafu sasa wanaandika mataputapu tu. Hawajuwi hata TISS ni nini na majukumu yake ni yepi.

Yaani hizo tuhuma dhidi ya Makonda (matumizi mabaya ya madaraka mfano kuvamia clouds fm, etc) eti wanaitaka TISS ndiyo imkamate Makonda na kumshtaki.

Nchi hii ina mangumbaru wengi sana mkuu. Huyu mleta uzi si ajabu hapo alipo naye eti ana elimu ya shahada kabisa.

-Kaveli-
 
Ukinishauri Tu Ndiyo Umeharibu
By Jiwe
 
Majukumu yao ni ikiwemo kulinda haki ya kuishi ya watz.
Kama ilishindwa kwann isipewe lawama kwamba pia ni sehemu ya ushiriki wa uovu
 
Ile idara ina kazi nyingi sana,yaani iache zake ije kufanya kazi ya ukamataji?,unajua majukumu ya hiyo idara?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
TISS ilikuwa TISS kweli wakati wa Mwalim. Enzi za Mkapa ilikuwa hovyo kabisa. Iliachia Kikwete na Lowassa wachukuwe uongozi wa nchi kwa kutumia fedha, na wengi wao walinunuliwa wakawa kwenye mtandao.
Lakini baadae walikuja kufungua macho,ndio waliowagombanisha Mkwere na Lowasa zikawa haziivi

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Majukumu yao ni ikiwemo kulinda haki ya kuishi ya watz.
Kama ilishindwa kwann isipewe lawama kwamba pia ni sehemu ya uovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…