Mfano mtu ukimmwambia rafikiyako mpenzwako hajakupigiasiku nzima ataanza kucompare na yeye asipopigiwa anareact vipi ushauri utatoka kulingana na hisia zake sio logic kama wafanyavyo wanaumeKazi ni kazi tu ila kule hakuna haki kwa mwanaume kabisa ,watu wanatumia hisia zaidi kufanya maamuzi
Yani ukifuatilia mambo ya haki utasubiri sana, niliona niache kila kitu angali bado ni kijana nitajipanga kivingine tu.Ila Hawa wa ustaw wameshindikana
Nature ya wanawake hatuna logic ni hisia zaidi na ndio hata tukiombana ushauri tunatumia hisia pia
sio kweli, wanaume wako very flexible,Natumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Ogopa sana unapigwa matukio na mke then mama mkwe anasapoti , unaenda ustawi wa jamii unakutana na single maza wa haki za wanawake , nyuma yako inakuja timu ya wadada kama sita wamepigilia madera sijui mnaita vijora[emoji23][emoji847][emoji847]
Usijali MjukuuKumbe eeh
Zichambue vizuri babu Vigezo vizingatiwe 😂
Hata mwanamke aliyeachwa pia ni ngumu kuishi nae.Natumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Shindikana kama shindikana🤣Dah kwa sasa siwezi kupanic kabisa yalishapita hayo, yeye kama mama wa mwanangu akikwama namsadia tu, sema kurudiana ndio atataga yai la bata , nilishanywesha mpka maji ya kwa mwamposa lakini wapi😂😂😂😂
😂😂 mbona kama unanitisha tena😅[emoji23][emoji23] Pole. Endelea kulewa tu.
Shindikana nitaoa tena ila sio kwa sasa ngoja niendeleee kuchagua tu😂Shindikana kama shindikana🤣
X wife wangu nae alikua anasema kama wewe😅😅😅Hakuna formula dada maakuli, oa au olewa na mtu sahihi, aliyekupangia mola. Sema sikuhizi tunajifungisha ndoa mkeka wenyewe kwanza, baadae ndo tunazirasimisha na kuhalalisha. Only if tungemsikilizaga Mungu na kujiepusha na zinaa, yote haya yasingekuwapo.
Ustawi mara nyingi mwanamke ndio hupendelewa. Ila si sehemu nzuri sana ya kukimbilia shida watu wengi hawajui, unashangaa mkikosana kidogo tayari ushapokea wito uende huko kuna kesi.Kazi ni kazi tu ila kule hakuna haki kwa mwanaume kabisa ,watu wanatumia hisia zaidi kufanya maamuzi
[emoji2][emoji2] Sasa si ndoa ilishajifia fanya mambo mengine ikiwamo la kulewa kitu kisichokupa stress.[emoji23][emoji23] mbona kama unanitisha tena[emoji28]
Kumbe umewahi kuoa!!! Kunyooshwa kuko pale palee shindikana🤣🤣🤣Shindikana nitaoa tena ila sio kwa sasa ngoja niendeleee kuchagua tu😂
Umesema sahihi kabisaSiku watu wakigundua kwenye ndoa hakuna malaika ambao tunaelezwa kuwa ni wakamilifu bali ni binaadamu ambao siyo wakamilifu naamini migogoro mingi itapungua!
Ukweli: Zunguka dunia nzima hutampata mume/mke aliyekamilika!
Ushauri: Kabla hujaoa/kuolewa jiulize: Je, kwa haya madhaifu yangu yupo wa kuyakabili?? Je,kwa haya madhaifu yake nitaweza kuyakabili??
Mwisho:Uvumilivu na kuheshimu hayo madhaifu itakuwa silaha kuu kwenye ndoa!
Dah now sijutii kwa sababu zile changamoto naona kama zilisababisha akili ipate moto zaidi 🤔[emoji2][emoji2] Sasa si ndoa ilishajifia fanya mambo mengine ikiwamo la kulewa kitu kisichokupa stress.
Ni zero kilometer dyadyaaa 😄Hebu tuone experience au shemeji ni new model😀