Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Kazi ni kazi tu ila kule hakuna haki kwa mwanaume kabisa ,watu wanatumia hisia zaidi kufanya maamuzi
Mfano mtu ukimmwambia rafikiyako mpenzwako hajakupigiasiku nzima ataanza kucompare na yeye asipopigiwa anareact vipi ushauri utatoka kulingana na hisia zake sio logic kama wafanyavyo wanaume
 
Natumaini mkopoa?

Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa

Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa

Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa

Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu

Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
sio kweli, wanaume wako very flexible,
 
Natumaini mkopoa?

Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa

Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa

Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa

Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu

Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Hata mwanamke aliyeachwa pia ni ngumu kuishi nae.
 
Hakuna formula dada maakuli, oa au olewa na mtu sahihi, aliyekupangia mola. Sema sikuhizi tunajifungisha ndoa mkeka wenyewe kwanza, baadae ndo tunazirasimisha na kuhalalisha. Only if tungemsikilizaga Mungu na kujiepusha na zinaa, yote haya yasingekuwapo.
 
Kazi ni kazi tu ila kule hakuna haki kwa mwanaume kabisa ,watu wanatumia hisia zaidi kufanya maamuzi
Ustawi mara nyingi mwanamke ndio hupendelewa. Ila si sehemu nzuri sana ya kukimbilia shida watu wengi hawajui, unashangaa mkikosana kidogo tayari ushapokea wito uende huko kuna kesi.
 
This is a theory. Huwezi kupata jibu sahihi ama lisilo sahihi. Kama wengi wanavyopost "it depends.....yes it depends how?

Mwanaume ameachana na mwanamke mwenye maneno machado....je huyo mwanaume aliyewahi kuwa na ndoa no mtu mby? Ni mwanaume mkimya asiyependa kelele.

Na.2. Mwanaume ameacha na mkewe coz of witches etc.

So.it depends ubaya waweza kuwa kt yao watalaka.
 
Siku watu wakigundua kwenye ndoa hakuna malaika ambao tunaelezwa kuwa ni wakamilifu bali ni binaadamu ambao siyo wakamilifu naamini migogoro mingi itapungua!

Ukweli: Zunguka dunia nzima hutampata mume/mke aliyekamilika!

Ushauri: Kabla hujaoa/kuolewa jiulize: Je, kwa haya madhaifu yangu yupo wa kuyakabili?? Je,kwa haya madhaifu yake nitaweza kuyakabili??

Mwisho:Uvumilivu na kuheshimu hayo madhaifu itakuwa silaha kuu kwenye ndoa!
Umesema sahihi kabisa

Changamoto inayozikabilia Ndoa nyingi ama mahusiano mengi ni kudhani umeoa ama umeolewa na Malaika.

Unakuta Mume mzima, anagombana na mkewe kisa Mke hataki kumnyonya mb***o wakiwa falagha.

Ama Mke hataki kumpa mumewe tamu, kisa mumewe ni mtu wa sekunde 45 kabla hajamwaga🙌

Ukikaa uangalie hayo, unagundua ni suala la wao kushindwa kukaa chini na kuzungumza.

Wanahisi watu wao ni Malaika, hivyo wanatakiwa kujua Kila kitu hata kama wahajazungumza.

Muhimu sana kuwa na bed-talk Kwa Wanandoa, kupitia hilo magomvi mengi na kuchokana kutaisha miongoni mwao
 
Back
Top Bottom