Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Aisee nimechekaaaaa🤣🤣🤣🤣
Sawa basi usijali mume umepata ngoja kuna dili nasikilizia likitiki tuu watu wanakula wali mchafu na honeymoon maldives my future wife
😃😃😂 Wewe sio mume bwana. Wewe ni afsa gegedo ndio mambo unayopenda.
 
😊Mama mchunga unataka kuvaa vipi ?
hiki
20241119_163909.jpg
 
Asante kwa kuniita Mamdogo. Eksipiriense zinatofautiana.

Kwenye group la mashost zangu walioolewa; Shogaetu aliyeolewa na bwana (muislamu) Aliyewahi kuoa akadivorce with 3 kids ndio our best couple so far. Wana struggle zao chache tu, Mwanaume ni Muislamu, dada ni mkristo amebadilisha dini kumfuata mume, so kuna vitu bado wanaeleweshana otherwise hawana matatizo kivileeee , wameongeza watoto wawili so wanao watano hadi sasa, na kapesa kapo. Ukiwajua vizuri unajua kabisa upendo unaishi mule.

My take: Aliyewahi kuoa/kuolewa ahakikishe ameheal trauma za first marriage, na awe na uhakika kama anataka second marriage things will be easier. Na sijui sana kama age range yao has something to do with their life style, Wako late 40’s na earlier 30’s, Mwanaume leads everything, dada ana amani and as much as i know, hakuna drama ya former wife/baby mama.

Shemeji etu ate it! 👌

Sasa huu ni mfano mmoja tu wa my very own best-shost, Wengine wanaweza kuwa na ekspiriensi tofauti.
 
Asante kwa kuniita Mamdogo. Eksipiriense zinatofautiana.

Kwenye group la mashost zangu walioolewa; Shogaetu aliyeolewa na bwana (muislamu) Aliyewahi kuoa akadivorce with 3 kids ndio our best couple so far. Wana struggle zao chache tu, Mwanaume ni Muislamu, dada ni mkristo amebadilisha dini kumfuata mume, so kuna vitu bado wanaeleweshana otherwise hawana matatizo kivileeee , wameongeza watoto wawili so wanao watano hadi sasa, na kapesa kapo. Ukiwajua vizuri unajua kabisa upendo unaishi mule.

My take: Aliyewahi kuoa/kuolewa ahakikishe ameheal trauma za first marriage, na awe na uhakika kama anataka second marriage things will be easier. Na sijui sana kama age range yao has something to do with their life style, Wako late 40’s na earlier 30’s, Mwanaume leads everything, dada ana amani and as much as i know, hakuna drama ya former wife/baby mama.

Shemeji etu ate it! 👌

Sasa huu ni ndani mmoja tu wa my very own best-shost, Wengine wanaweza kuwa na ekspiriensi tofauti.
Nakuaminia nataka uwe mshauri wangu aseee😊
 
Back
Top Bottom