Status
Not open for further replies.
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
Inaitwaje mkuu
 
Nakushukuru kwa utafiti na kushare na sisi.
 
Yaani wewe unamawazo kama yangu, Mimi mwenyewe ni member na ninalipwa 18,000 kila siku kwa kutizama movies 15 kwa sekunde kumi kumi tu, Hadi waamue kuchochola mie nitakuwa nimepiga zangu nyingi sana 😂😂
Safi kabisa hiyo ndo akili,na kila wiki unatakiwa uinyofoe hiyo pesa hata siku wakipotea unakuwa umeshawapiga vya kutosha
 
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
Tupe code mkuu tujilipue.
 
Kuna dada mmoja na mumewe kanisani huwaambii kitu na hiyo Lbl wanatamani mchungaji awapishe na mumewe waihubiri hiyo Lbl moyoni nasema vina muda basii
 
Niko na Account tatu hapo za P3 nimeshapata nusu ya hela niloweka bado nusu namm niongoke na majeraha ya kupoteza fedha in case mtambo ukizimwa
 
Niko na Account tatu hapo za P3 nimeshapata nusu ya hela niloweka bado nusu namm niongoke na majeraha ya kupoteza fedha in case mtambo ukizimwa
Mkuu sio wajinga wale wana hesabu zao walishazipiga muda sanaaa ambapo wanaweza asilimia tano wakanufaika kisha tisini na tano waliobaki ikawa mbona wewoooooo
 
Kaka kwema, nimeona hii LBL inazidi kumea na imekua registered brela.. wamefungua ofisi hapa Tanzania moja ikiwepo koani morogoro na baraka inapata toka kwa waziri wetu wa fedha.. nini maoni yako kabla sijajiunga maana tayar nimeshawishika.
 
Kaka kwema, nimeona hii LBL inazidi kumea na imekua registered brela.. wamefungua ofisi hapa Tanzania moja ikiwepo koani morogoro na baraka inapata toka kwa waziri wetu wa fedha.. nini maoni yako kabla sijajiunga maana tayar nimeshawishika.
Waziri wa fedha kabariki lini? Ukipata mda ingia fb then andika "Kalynda Tanzania" hope utajifunza kitu then baada ya kujifunza naamini utaamua ujiunge au uache
 
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
Mkuu naitaka hii nijilipue!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…