Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
hahahahaMkuu naitaka hii nijilipue!
ungekuwa umejiunga imagine toka mwezi wa nov 2014 mpaka sasa still operating si ungekuwa umepiga hatua?Lbl nimepewa huu mchongo mwezi wa 11 nikasema nitajaribu ila roho inasita sita
Kweli. Na kanji ana chana sio poaungekuwa umejiunga imagine toka mwezi wa nov 2014 mpaka sasa still operating si ungekuwa umepiga hatua?
kuna wakati uoga wetuu maskini wetu pia, hivi unaogopa lbl huku unaweka mzigo kwa kanji kwenye betting still unachoma mtaji vilevile
Ww endelea kujipatia kipato kaka tuache sisi wajinga tusiaminiUsiwasikilize wanjinga, mimi nina miezi miwil sahv nalipwa laki tano, ni bando langu tu
Njoo inbox ujiunge kupitia account yangu maana imeshakua verified utaanza kulipwa baada ya siku moja
Mpe njia apite ya mkato kutoka temeke afike mbagala bila kupitia. Njia iyoWajinga kuisha mjini ni ngumu.
Kuna ratiba imetolewa Leo mchana kuweka makundi ya utoaji pesa,ili kuepusha kuchelewesha muamala,nadhani pia unaleta figisu sababu Celia anajibu issue zote on line, sasa imekuja huku kulalamika kwa wasiojulikana ili iweje mkuu.Nenda Whatsapp group A101 na (802) usome details za utoaji cash.