Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
Ndugu zangu watanzania hakunaga hela nyepesi fanyeni kazi,kama mnataka fedha izae bila ya kutoa jasho fungua fixed account,nunua hisa au bond hizi njia nyingine mtakuja kuliwa vichwa mtuletee malalamiko na kuomba msaada wa serikali