dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
katafute wimbo wa tx moshi william akiwa na polisi jazz band unaitwa dunia unajibu swali lako.Kwahiyo hata hewa ya Bure ndo maana tunakufa kwa ajari right?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katafute wimbo wa tx moshi william akiwa na polisi jazz band unaitwa dunia unajibu swali lako.Kwahiyo hata hewa ya Bure ndo maana tunakufa kwa ajari right?
Mbona hata BRT imekufa hata sato mwanza biashara imekufa,kila kitu kinakuja na kusepani suala la muda tu sasahivi mtaanza kulia watanzania hua hawajifunzi
Hizo umetaja ni biashara halali, mkuu. Kila la kheriMbona hata BRT imekufa hata sato mwanza biashara imekufa,kila kitu kinakuja na kusepa
Nimeshafunguu na earning ya Leo nimepiga kazi ni kwakoHizo umetaja ni biashara halali, mkuu. Kila la kheri
Safi sana, na Hongera sana mkuu,...usiyasikilize ya waoga,...😂Nimeshafunguu na earning ya Leo nimepiga kazi ni kwako
Hii nishirikishe , miezi sita haijafika bado hapa Kati Kati lazima tumake pesaSasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
Tajiri hiyo imeshafungwa jana,watu ni kilio huko.Hii nishirikishe , miezi sita haijafika bado
Jamaa hawana website yyte ila Wana blog moja ya kihuni kinyama, imejaa virus wameandika imeanza mwez wa 7 -2024 to April 2025Narudia tena, mtu aingie akijua kuwa huu ni utapeli muda wowote utaisha. Mimi nimeingia nikijua kuwa ni utapeli muda wowote unaweza kupoteza ela yote na hiyo ni lazima. Ipo siku tutarudi kwenye thread hii wakishasepa na kijiji.
So, mimi sialiki watu kwa sababu najua muda wowote inaweza kuisha na mtu akanilaumu. mtu kama anaingia aingie mwenyewe kwa mapenzi yake.
Niliona kipindi cha kalynda watu hadi wakakimbia jiji kwa kudaiwa na waliowaingiza.
Kumeibuka utapeli mwingine hivi karibu wa upatu (ponzi scheme) ijulikanayo kama LBL ambako wananchi wengi wanaweka fedha zao ili kuvuna. Huu ni mwendelezo wa yale yaliyotokea awali kama Deci,QNet,ClubD9,Kalinda na Kuku. Kabla wananchi wengi hawajawa wahanga wa uhalifu,tunaviomba vyombo vya usalama viwachukulie hatua za kisheria wahusika wote wa uhalifu huu.
Nami naunga mkono, tena watangaze kama wanavyotangaza kubet. Wapigwe sana.Serikali itawaelimisha wananchi mara ngapi?. Waache wapigwe wajifunze in a hard way.
Acha kulala, nenda kàchote hela za bure.Lbl nimepewa huu mchongo mwezi wa 11 nikasema nitajaribu ila roho inasita sita