Status
Not open for further replies.
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
Hii nishirikishe , miezi sita haijafika bado hapa Kati Kati lazima tumake pesa
 
Jamaa hawana website yyte ila Wana blog moja ya kihuni kinyama, imejaa virus wameandika imeanza mwez wa 7 -2024 to April 2025
 
Kumeibuka utapeli mwingine hivi karibu wa upatu (ponzi scheme) ijulikanayo kama LBL ambako wananchi wengi wanaweka fedha zao ili kuvuna. Huu ni mwendelezo wa yale yaliyotokea awali kama Deci, QNet, ClubD9, Kalinda na Kuku.

Kabla wananchi wengi hawajawa wahanga wa uhalifu,tunaviomba vyombo vya usalama viwachukulie hatua za kisheria wahusika wote wa uhalifu huu.
 

Serikali itawaelimisha wananchi mara ngapi?. Waache wapigwe wajifunze in a hard way.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…