Kumeibuka utapeli mwingine hivi karibu wa upatu (ponzi scheme) ijulikanayo kama LBL ambako wananchi wengi wanaweka fedha zao ili kuvuna. Huu ni mwendelezo wa yale yaliyotokea awali kama Deci,QNet,ClubD9,Kalinda na Kuku. Kabla wananchi wengi hawajawa wahanga wa uhalifu,tunaviomba vyombo vya usalama viwachukulie hatua za kisheria wahusika wote wa uhalifu huu.
IELEWE LBL
π π TANZANIA ADVERTISING MEDIA LIMITED π π
β
LBL Imeanza tangu mwaka
1967
β
LBL kirefu chake ni
Leo burnett London
β»οΈHapa Tanzania imeingia mwaka huu mwezi wa pili baada ya kualikwa na serikali yetu ya jamuhuri ya Muunguano wa Tanzania. Baada ya usajili na kukamilisha taratibu zote ikaanza kufanya kazi rasmi mwezi wa saba mwaka huu.
β»οΈHapa manispaa ya Morogoro mtu wa kwanza/muasisi wetu ni
Dr David Lugomela ambaye ndiye
kiongozi wetu mkuu na kutushirikisha fursa hii.
β»οΈ
LBL inafanyaje kazi.
Kumbuka ni kampuni inayohusiana na utangazaji. Ni kampuni iliyobobevu duniani.
1. Makampuni mengi makubwa ya filamu dunia.
Wale wapenzi wa movie mtaelewa hili. Mfano.
π *Paramount,
π20th century Fox,
π destiny* ,
πWarner Brothers,
πDreamWorks picture,
πUniversal Picture
πMGM Picture na mengine mengi
Yameweka ubia na kampuni ya LBL isaidie kutangaza matangazo yao ya movie na filamu ili yawafikie watu wengi duniani.
Hivyo basi ili kampuni ya LBL
ifanye jukumu hilo vyema wakaona iajiri watu wengi ambao watatazama matangazo ya movie na hapo idadi ya watu wengi itafikiwa.
Ndo mana inasisitiza kualika watu zaidi
π° _Baada ya muda wanapeleka kwa makampuni na kuwaonesha mfano:...........
_
π*PARAMOUNT * movie yako hii imetazamwa na watu milioni 10.5 mwezi huu.( Utakuta walikubaliana hivi kwamba Kila viewers mmoja( mtu mmoja aliyetazama) Lbl watalipwa Dola 1. Hebu jaribu kuchukua Dola 1 Γ mil 10.5 LBL wanaingiza. Kwanini wasirudishe fadhira. Hivyo ndivy LBL Inavyofanya kazi.
β
UZOEFU
_Wengi wetu twajua nyakati hizi wengi hupata pesa Kwa mitandao.
_Diamond huingiza fedha YouTube kwa kuwa tu na viewers wengi.
_MiladAyo anaingiza fedha Kwa kuwa tu na viewers wengi
ποΈNote vipi wewe unayetazama kazi zao unalipwa ? Au unagharamika bando lako?
β»οΈLBL
UNAPOVIEW video hawakuachi hivihivi. Kwasababu wanajali ikiwa tunawaingizia fedha nyingi sana basi wakaona nasi tupate kifuta jasho. Ambacho kwetu kinathamani Kubwa, kwa level tofauti kama ifuatavyo........... π
1οΈβ£ P1 LEVEL
_π Ukiweka
50,000
π Unapewa picha
5 za kuangalia
π Kila picha unalipwa
335
π Kwa siku unalipwa
1675
π Kwa mwezi unalipwa
50250
π Kwa mwaka
611,375 /=_
2οΈβ£ P2 LEVEL
π Ukiweka
150,000
π Unapewa Picha
10 za kuangalia
π Kila picha unalipwa
500
π Kwa siku unalipwa
5000
π Kwa mwezi
150,000
π Kwa mwaka
1,825,000
π Hivyo
150,000 itakuwa imezaa sh
1,675,000
π Ukiweka
540,000
π Unapewa picha
15 za kuangalia
π Kila picha unalipwa
1200
π Kwa siku unalipwa
18000
π Kwa mwezi
540,000
π Kwa mwaka
6,570,000
π Hivyo 540,000 itakuwa imezaa
6,030,000 /
β³οΈILI kujiunga nijulishe nikutumie Link.
β³οΈKujiunga na
LBL * ni bure kabisaa ila ili uwe mwajiriwa au mfanyakazi rasmi wa LBL unatakiwa kuwa na mtaji wa *50000/= kwa ngazi ya
P1 ,
150000/= kwa ngazi ya
P2, na
540000/= kwa ngazi ya
P3 Kumbuka hakuna biashara unayoweza ifanya kama hauna mtaji ni lazima uwe na mtaji. ukikamilisha account yako nitakuadd kwa group la WhatsApp
UTAKUWA TAYARI UANZE KAZIπ π
π°MWISHO .
β³οΈ LBL MAFANIKIO ni hakika
β³οΈLBL sio matapeli. Tuwe makini na matapeli watakao jitokeza na kuharibu sifa ya kampuni.
β³οΈHii ni kazi sio kamali au bahati nasibu .
β³οΈUsipoview huwezi pata pesa Kwa sababu nao hawajapata pesa kupitia wewe.
Matangazo yao sasa yalivyokaa kitapeli , kuna dogo hapa namwambia ni utapeli lakini anabisha kinoma yani , sijui huwa wanawapa roho gani ya kuwa wabishi