Status
Not open for further replies.
Utakuwa huna ujanja wowote ukijiunga kwa kuona eti imesajiliwa na BRELLA.

Hawa wanaotapeli watu wanakuwa na usajili na vibali vyote.Wanaweza kwenda vyombo vya habari na kupewa muda wa kutosha kutangaza biashara zao mfano Rifaro Africa walipata airtime ya kutosha chanell 10.

Kifupi ni miradi ya baadhi ya wenye mamlaka,kujipatia pesa ya kampeni mwakani.Wakishapata pesa hizo wanajifanya kuzipiga marufuku kampuni hizi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ebhana ehe mi niliomba hivi vitu nikapewa Hila naisi ni vya adobe mana sikujishughulisha navyo Toka siku hiyo mana Nina mambo mengi yananiendesha ngoja niweke hapa tushare na wadau kwa faida ya wengine wasitapeliwe
 
Kuna ule wa 'sungura project' mradi huu upo same,watu wameweka pesa zao,Kuna jamaa alinifuata na kunishawishi nijiunge,nikamwambia DECI ilinipa fundisho zuri sana!
Mkuu, Mimi deci hadi inasepa nilikuwa nimepanda 6M zikafiamo, lakini sasa 😃😃 nilikuwa nimevuna 13M. Nami pia ilinipa fundisho, kwa hiyo ikitokea fursa kama hizo huwa nawahi mapemaaa, yaani sie ndo huwa wa kwanza kwanza kabisa 😃😃😃, mchezo unaitwa wa kwanza ndiyo mshindi 😂😂😂😂, deci ikirudi hata leo naingia, kwa hiyo kila mtu anafundisho lake alilopata.
 
Zimekuja kwa wingi ipo nyingine kwenye soka -FIC inalipa vibaya mno! Wemefungua ofisi DSM, Mbeya na Mwz, ni obvious wana leseni na wanatoa misaada sana kwa wasio jiweza ! Huenda ndio CSR/ corporate social responsibility yao! Sio mhsukia wafuatilie kwenye mtandao utawasoma!
 
Ithibati yao niliyotumiwagwa hii sasa kampuni hipo Tanzania nzima hila ithibati ni ya moro TU sikutaka kuumiza ndonga sana mana sikuwa na mpango wa kutapeliwa pesa ngumu aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-100409_1.jpg
    236.7 KB · Views: 10
Duh, na watu wanajiunga kabisa kwenye huu uharo? Watanzania acha tu wapigwe.
 
Ifike wakati mtu akitapeliwa kama mtumishi wa umma afukuzwe kazi, kama kijana tu anyang'anywe vyeti vyote isipokuwa cha drs la 7 na kuzaliwa.
Haiingii akilini mtu mwenye elimu ya kuanzia kidato cha 4 atapeliwe kijinga
Mi naongezea hao wananchi wanaocheza sijui LBL na nyinginezo wakienda kulalamikia wameliwa, wakamatwe na washtakiwe kwa uhujumu uchumi na kesi zao zisiwe na dhamana.
 
Mimi huwa sioni tofauti ya hayo yanayofanyika na kamari (betting),kwenda kwa kina Mwamposa au Waganga wa Kienyeji n.k.Watu wetu ni kama wale Nyumbu wa Serengeti wakishaamini kule wanakoenda ndio sahihi ukijaribu kuwazuia watakuua wewe. Serikali iendeleze tu ule utaratibu wake wa kukaa pembeni zikijaa au malengo yakifikiwa wanafunga dirisha lao wanasepa,tunasubiri "desi"nyingine maisha yasonge.Kama hatuwabugudhi kina Mwamposa kwa kuuzia Watu maji na mafuta au hao kamari za mchongo pesa n.k basi tuache double standard.
 
Hii nimo ni nzuri kabisa 😄 🤣 😂
 
Wananchi hawajifunzi times and times again? Even serikal itaona mzigo sana kama wananchi vichwa vigumu
 
Dm zangu mbona haujibu.
 
unabonyeza withdraw, unaandika kiasi na withdraw password then unasubmit, mpunga unaingia kwenye mpesa yako
Kiasi cha kuanza kutoa ni ngapi na ni lazima uwe na m pesa ndo utoe hela
Lain nyingine azikubali kwani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…