IELEWE LBL
💠💠TANZANIA ADVERTISING MEDIA LIMITED 💠💠
✅LBL Imeanza tangu mwaka 1967
✅LBL kirefu chake ni Leo burnett London
♻️Hapa Tanzania imeingia mwaka huu mwezi wa pili baada ya kualikwa na serikali yetu ya jamuhuri ya Muunguano wa Tanzania. Baada ya usajili na kukamilisha taratibu zote ikaanza kufanya kazi rasmi mwezi wa saba mwaka huu.
♻️Hapa manispaa ya Morogoro mtu wa kwanza/muasisi wetu ni Dr David Lugomela ambaye ndiye kiongozi wetu mkuu na kutushirikisha fursa hii.
♻️ LBL inafanyaje kazi.
Kumbuka ni kampuni inayohusiana na utangazaji. Ni kampuni iliyobobevu duniani.
1. Makampuni mengi makubwa ya filamu dunia. Wale wapenzi wa movie mtaelewa hili. Mfano.
🌀 *Paramount,
🌀20th century Fox,
🌀 destiny* ,
🌀Warner Brothers,
🌀DreamWorks picture,
🌀Universal Picture
🌀MGM Picture na mengine mengi
Yameweka ubia na kampuni ya LBL isaidie kutangaza matangazo yao ya movie na filamu ili yawafikie watu wengi duniani.
Hivyo basi ili kampuni ya LBL ifanye jukumu hilo vyema wakaona iajiri watu wengi ambao watatazama matangazo ya movie na hapo idadi ya watu wengi itafikiwa. Ndo mana inasisitiza kualika watu zaidi
🔰 _Baada ya muda wanapeleka kwa makampuni na kuwaonesha mfano:...........
_
🌀*PARAMOUNT * movie yako hii imetazamwa na watu milioni 10.5 mwezi huu.( Utakuta walikubaliana hivi kwamba Kila viewers mmoja( mtu mmoja aliyetazama) Lbl watalipwa Dola 1. Hebu jaribu kuchukua Dola 1 × mil 10.5 LBL wanaingiza. Kwanini wasirudishe fadhira. Hivyo ndivy LBL Inavyofanya kazi.
✅UZOEFU
_Wengi wetu twajua nyakati hizi wengi hupata pesa Kwa mitandao.
_Diamond huingiza fedha YouTube kwa kuwa tu na viewers wengi.
_MiladAyo anaingiza fedha Kwa kuwa tu na viewers wengi
🖊️Note vipi wewe unayetazama kazi zao unalipwa ? Au unagharamika bando lako?
♻️LBL UNAPOVIEW video hawakuachi hivihivi. Kwasababu wanajali ikiwa tunawaingizia fedha nyingi sana basi wakaona nasi tupate kifuta jasho. Ambacho kwetu kinathamani Kubwa, kwa level tofauti kama ifuatavyo........... 👇
1️⃣ P1 LEVEL
_💠Ukiweka 50,000
💠Unapewa picha 5 za kuangalia
💠Kila picha unalipwa 335
💠Kwa siku unalipwa 1675
💠Kwa mwezi unalipwa 50250
💠Kwa mwaka 611,375 /=_
2️⃣ P2 LEVEL
💠Ukiweka 150,000
💠Unapewa Picha 10 za kuangalia
💠Kila picha unalipwa 500
💠Kwa siku unalipwa 5000
💠Kwa mwezi 150,000
💠Kwa mwaka 1,825,000
💠Hivyo 150,000 itakuwa imezaa sh 1,675,000
💠Ukiweka 540,000
💠Unapewa picha 15 za kuangalia
💠Kila picha unalipwa 1200
💠Kwa siku unalipwa 18000
💠Kwa mwezi 540,000
💠Kwa mwaka 6,570,000
💠Hivyo 540,000 itakuwa imezaa 6,030,000 /
✳️ILI kujiunga nijulishe nikutumie Link.
✳️Kujiunga na LBL * ni bure kabisaa ila ili uwe mwajiriwa au mfanyakazi rasmi wa LBL unatakiwa kuwa na mtaji wa *50000/= kwa ngazi ya P1 , 150000/= kwa ngazi ya P2, na 540000/= kwa ngazi ya P3 Kumbuka hakuna biashara unayoweza ifanya kama hauna mtaji ni lazima uwe na mtaji. ukikamilisha account yako nitakuadd kwa group la WhatsApp
UTAKUWA TAYARI UANZE KAZI💠💠
🔰MWISHO .
✳️ LBL MAFANIKIO ni hakika
✳️LBL sio matapeli. Tuwe makini na matapeli watakao jitokeza na kuharibu sifa ya kampuni.
✳️Hii ni kazi sio kamali au bahati nasibu .
✳️Usipoview huwezi pata pesa Kwa sababu nao hawajapata pesa kupitia wewe.
Matangazo yao sasa yalivyokaa kitapeli , kuna dogo hapa namwambia ni utapeli lakini anabisha kinoma yani , sijui huwa wanawapa roho gani ya kuwa wabishi