binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mimi hadi leo ni shabiki yake, na nina appreciate sana alipofikia, lakini kikombe anachokinywea anastahili! Nchi kuna watu wanapaswa kutusemea ila kwa makusudi kabisa wanaamua kukaa kimya au kuungana na wanyanyasaji.Shabiki kitambo π
Mi bado ni shabiki wake, ila anayopitia anastahili.
Nakupenda pia na unajua.Ndiyo sababu nakupenda hujawahi kuniangusha hata siku moja kwenye chochote unachoandika hapa. πΉπΉπΉ
Akagongelea msumari na lile songi lake "ngoja nikae kimya"Mimi hadi leo ni shabiki yake, na nina appreciate sana alipofikia, lakini kikombe anachokinywea anastahili! Nchi kuna watu wanapaswa kutusemea ila kwa makusudi kabisa wanaamua kukaa kimya au kuungana na wanyanyasaji.
Hatukatai yeye kuwa mwana CCM, lakini kwani ukiwa mwanaCCM ndio huruhusiwi kutetema maslahi ya wananchi?
Sio kweli, kama wameacha kusupport Product zake Mr. KANYE Asingekua kwenye list ya wanamuziki walioingiza pesa.Siyo kweli ulichoandika watu weusi wengi wameacha kumsupport kwenye products zake nyingi yeye Lill Wayne.
Wewe uliemuona mwenzio hana akili nafikiri wewe ndio mjinga namba mojaHuyo alitoa hoja akili Hana hizi ni tuzo za burudani si za siasa
Sio kweli, kama wameacha kusupport Product zake Mr. KANYE Asingekua kwenye list ya wanamuziki walioingiza pesa.
Kuhusu huyo Lil Wayne kilichompoteza ni mvutano wa kimaslahi na Boss wake Baba mlezi wake Birdman aka Stunnaman
Wacha Avune Alichopanda...Katika hili nimefurahi kuwaona mashabiki wenzangu wa Diamond wa tangu enzi na enzi, nimemuona data Evelyn Salt Phoenix
Hili jambo si personal, labda kama kuna watu wanalitumia pesonally, Mtu ambaye ni celebrity siku zote hatakiwi kuside na oppressors akawaacha wananchi, hii iwe funzo kwao wote wasanii wetu, wautumie umaarufu wao vizuri kwa ajili ya jamii pia maana na wao ni wana jamii.
Movements kama hizi zisiishie kwa Diamond tu, ziende kwa wasanii wote wanaoside na oppressors na wana habari pia.
Keny west aliwahi kuwaponda Democratic waziwazi leta link, ila Mond alikuwa ana kandia kabisa liveBinafsi naona ni UJINGA uliopitiliza,
Kenye west alikuwa ni mshirika wa Trump lkn wamerekani waliokuwa democrat na vyama vyengine still walimpenda kenye west
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Diamond si wizkid na wizkid si diamond system ya mziki wa nigeria huwezi kufananisha na bongo na siasa ya nigeria huwezi kufananisha na hapa bongo pesa nyingi za wanamuziki wa bongo wanapata kwenye hii mikutano ya kisiasa mfano mzuri diamond kalipwa show moja tu ya CCM million 100 fanya calculation kama alifanya mikoa 10 alipata shilling ngapi? Wewe lini umewahi kununua kazi za wasanii zaidi ya kuburn kazi zao.Ukiacha na hivyo Diamond amewekeza hapa bongo hiv akiamua kuiponda serikali hali yake ya biashara itakuaje?utamsaidia kulisha familia yake? Wizkid anaweza kufanya harakati za kisiasa dhidi ya serikali lakini nchi yao hawana mambo kama bongo ya kuharibiana au kurudishwa nyuma ndio maana huyo wizkid anajeuri hiyo.
the kind
The Palm Tree
Kijana sio mzalendo kwa taifa na watu wake kwakweli wacha umma umuadhibu...
Wanaomponda au wanaomwambia walipolia hukulia nao Vipi leo ukitaka kucheka inataka nao wacheke juju huzuni zao ama kweli mtajua hujuiKaza Buti Diamond hao wanaokuponda wanazidi kukuongezea umaarufu tu.
Ndio hapo sasa,angedili na burudani au kuwa kwenye kundi la Wananchi asingepatwa na madhira hayo.Msanii mkubwa kama yeye hatakiwi kuwa na sides.
Tatizo mtoa burudani kajihusisha na siasa chafu...angebaki tu na burudani yake aliyojaaliwa na mwenyezi Mungu siasa is the game of mazafaka...Huyo alitoa hoja akili Hana hizi ni tuzo za burudani si za siasa
Nani kakudanganya...tulia uone ngomaKaza Buti Diamond hao wanaokuponda wanazidi kukuongezea umaarufu tu.
Maelezo umeyaelewa? Kuwa karibu na dikteta, hakuna utetezi, kama unaambatana nao kwa lengo la pesa basi huna sifa kwa jambo linalo husu heshima na utu!Kachagua side au kachagua pesa? CCM walimlipa 100m ili aburudishe na kuburudisha ni kazi yake huyo diamond hata kadi ya CCM Hana na Wala sio mwanachama wa CCM na pia si mwanaharakati wewe ungekuwa ndio yeye hiyo million 100 ungekataa? Na onyesha wapi aliwahi kusapoti mauwaji badala ya Chadema waliumia Diamond kuwafanyia burudani CCM kwenye mikutano ya siasa kwanini na wao wasimlipe waone kama hatawafanyia kuliko kuendesha kampeni za kipuuzi