Je, Mapambano ya Wanaharakati na Diamond yana faida kwa nchi?

Under normal circumstances DOMO Asingeweza kutoa kauli yoyote kupinga uonevu kwenye ile awamu hata kama ungekuwa wewe asilani usingejaribu yani…as we speak angekua kesha potezwa vbaya sana..avune alichopanda ila hakua na namna
 
Jamii ipi
 
Msanii anayeshirikikiana na Wauaji kuna nchi zingine zikishamfahamu anapigwa marufuku kukanyaga wala kufanya maonesho .

KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
Mnadeal na msanii aliyeshirikiana na wauwaji ila aliyekuwa makamu wa rais kwenye huo utawala wa wauwaji yeye hamna tatizo naye, ni mambo ya kushangaza.
 
Under normal circumstances DOMO Asingeweza kutoa kauli yoyote kupinga uonevu kwenye ile awamu hata kama ungekuwa wewe asilani usingejaribu yani…as we speak angekua kesha potezwa vbaya sana..avune alichopanda ila hakua na namna
Hoja hiyo ndio inatumika kumtetea Mama samia ambaye nae alikuwa makamu wa rais ila hakuweza kumkosoa mkubwa wake, ila nashangaa kwa Diamond hoja hiyo haitumiki.
 
Asante kwa maoni yako lakini kwa nini isiwe hasara iliyopatikana kutokana na matendo yake?
 
Asante kwa maoni yako lakini kwa nini isiwe hasara iliyopatikana kutokana na matendo yake?
Binafsi naona ni UJINGA uliopitiliza,
Kenye west alikuwa ni mshirika wa Trump lkn wamerekani waliokuwa democrat na vyama vyengine still walimpenda kenye west
haya ni mambo mawili yasiyo fanana kabisa soma vizuri pingamizi lote kwa nini Diamond anashutumiwa.
 
Katika eneo la kuchagua na kuhiari ndio sehemu ambazo binadamu amekuwa akifeli sana, mara nyingi binadamu hutanguliza matamanio na si uhalisia na ukweli
 
Sio kila pambano lazima liwe na faida kwa nchi. Mfano hili la sasa ni funzo tu kwa wasanii wetu wenye vichwa vilivyojaa hewa na Uchawa.
 
Ukiwasikiliza wanaharakati unaweza kudhani kuwa muda wowote ule huko mtaani watu wataanza kuchinjana.

Diamond ni mtafutaji wa riziki kupitia muziki, anayo haki ya kuipamba CCM kama wanamlipa pesa nzuri.

Sasa kama kuna unyama umefanyika wenye kuihusu CCM Diamond kama mwanamuziki hata asingeimba nyimbo za siasa bado angekuwa hana ubavu wa kuufanya unyama huo usifanywe popote ulipofanyika.

Hao watu 15,000 ni wachache sana kulinganisha na mamilioni ya watu waliosimama barabarani kumuaga JPM na wengine wakatandika kanga zao ili matairi yazikanyage.

Diamond anaweza kushinda hiyo tuzo na akaendelea kuimba nyimbo za CCM na bado hizi harakati za wanaharakati zisiathiri muziki wake.

Nongwa za kipuuzi kama hizi za activists ni sawa sawa na zile za miaka ya 1980 mwanzoni wakati Nico Njohole alipotakiwa kufanya majaribio Arsenal halafu viongozi wa FAT wakamuwekea mizengwe.

Nongwa kama hizi zilimnyima Mwameja nafasi ya kucheza timu ya ligi daraja la kwanza Uingereza.
 
Sio kila pambano lazima liwe na faida kwa nchi. Mfano hili la sasa ni funzo tu kwa wasanii wetu wenye vichwa vilivyojaa hewa na Uchawa.
Hiyo ni faida moja wapo inayopatikana bila kutumia rasilimari zetu kuielimisha jamii madhara ya uchawa wa kijinga
 
Huna akili
 
Jiulize kwanz Diamond alikua na manufaa gan aliponyamazia mauaji ya coco akaimba BORA AKAE KIMYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…