Tunataka kulijua Jina lake Moja linalozama Majina hayo mengine 99!!Mungu ana majina 99. Yote hayo yanaelezea sifa zake
Wana false doctrine π Bora hata za Sauli kabla hajawa PauloKumbe ni mashahidi wa yehova!
Hao wana mafundisho yao kivyao.
Na dini ya mashahidi wa YEHOVA ni ya mpinga Kristo.Kumbe ni mashahidi wa yehova!
Hao wana mafundisho yao kivyao.
Huwezi kuelewa,hata aliyeposti haelewi alichoposti,ukimbana atadai huna roho mtakatifu huelewi maandikoSijaelewa hapa
LGBTQ wanaitumiaga sana hii point, wanasema kwa sababu mungu hana jinsia bac jinsia mbili ni social construction na sio uhalisia."Supreme being " no gender.
Okay mkuu, nilizani unasema Mungu ana nafsi3 maana ndio chanzo Cha watu kumwita Yesu Mungu,kwahiyo unaungana na Mimi kuwa roho takatifu ni nguvu za Mungu na sio mtu?The problem is
Unatoka nje ya mada
Sijasema habari za Mungu ni nafsi 3, sijasema Roho mtakatifu ni mtu.....
Nisom vzr unielewe
Ukiniambia jina personal nitakuwa sina uhakika, nachojua ni sifa zake hizo kuu tatu.Mada inataka kulijua Jina personal la Mungu.
Unalijua?
Halafu huwa unajinasibu kujua dini,ikiwemo islamKiuhalisia hakunaga mwanadamu anae lijua jina la Mungu alieiumba hii dunia
Hosanna, Yahweh nk huyataki!?Yehova
Logos Hana mwanzo Wala mwisho.Mkuu mm ni mkristo na Biblia sio tu naisoma Bali naielewa,kama una mda soma Methali/Mithali 8:22-31 halafu unaambie aliyezungumziwa hapo ni nani,kama haitoshi soma pia Wakolosai1:15,16. Yesu aliumbwa na Mungu(Yehova) kabla ya chochote kile mbinguni na duniani,na ni yeye pekee aliyeumbwa na Mungu moja kwa moja ndiyosababu anaitwa Mwana wa pekee,lakini Yesu pia alikuwa anamsaidia Mungu katika kazi ya kuumba vitu vingine,soma Methali/Mithali8:30"Wakati huo nilikuwa kando yake nikiwa mfanyakazi stadi," Mkuu Yesu ana mwanzo,lakini Mungu Hana mwanzo na hawezi kufa kama ambavyo Yesu alikufa siku3
Sijui hata tunabishana nini hata...Unatoka nje ya mada.
Mada inasema litaje Jina personal la Mungu lenye mamlaka ya juu kuliko mamlaka zote za Duniani na Mbinguni.
Jina lipitalo Majina yote!!
Ni moja ya majina yakeAllah ni neno la kiarabu kwa kiswahili ndio Mungu kwa kiingereza God kwa kihindi Krishna.
Yohana20:17"Yesu akamwambia acha kuning'ang'ania,kwamaana Bado sijaoanda kwenda kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu nawe uwaambie, Ninapanda KWENDA KWA BABA YANGU NA BABA YENU na kwa MUNGU WANGU NA MUNGU WENU " ukisoma hili andiko utaelewa kuwa hata Yesu ana Mungu anayemwabudu na yeye sio MunguKama wewe ni mkristo na bado huelewa uungu wa yesu kristo, bac nakusihi soma maandiko vizur, yesu ni mungu kamili, aliyeumba huu ulimwengu, aliwaongoza wana wa Israel jangwani, aliyempa musa amri kumi, aliyewatokea meshach, shadrach and abdnego kama mtu wa nne, alivokuwa duniani alikuwa 100% mungu na alikuwa 100% binadamu, wakristo kushindwa kuutambua uungu wa yesu ni moja kati ya mafanikio makubwa sana ya lucifer, tuwe makini.
Nadhani umeona jinsi Giza lilivyo kubwa,Halafu huwa unajinasibu kujua dini,ikiwemo islam
Allah ni jina sawasawa na Mungu kwa kiswahili.Hizo ni sifa na sio Jina.
Mungu wa Waislamu anaitwa Allah.
Mkuu acha visingizio,Biblia zote zinamaandiko sawa,kama Kuna sehem unahisi nadanganya basi tumia maandiko kupinga hoja zangu,hoja zitetewe kwa maandiko sio udini eti ww shahidi hatuwezi kuelewana, mbona Kuna madhehebu ambayo mnatifautiana pia kama walutheri, wasabato na mnatumia Biblia sawa? Mnapishana kwenye vitu kama siku ya sabato,aina ya vyakula na vinywaji kama pombe,mkuu tutumie tu maandiko ukweli utajulikanaHapo utapoteza Muda ni mashahidi wa Yehova,SI unajua wanachofundishwa!
Mkuu Lete ushahidi wa maandiko maana vinginevyo huo ni uwongo maana huwezi thibitisha,tumia maandiko kuprove wrong doctrine yetu na sio manenoWana false doctrine π Bora hata za Sauli kabla hajawa Paulo
Kwani Allah siyo sifa!?..unaleta kujua kwa usiyoyajuaHizo ni sifa na sio Jina.
Mungu wa Waislamu anaitwa Allah.
Halafu hapa Jf tunatumia fake id kuficha majina yetu, Rabbon anataka tu reveal personal name of God, huoni huu ni mtego wa kuvunja privacy policy ya JF eti Tayana-wog ππ (jokes baada ya jina kupatikana, we rejoice )Ukiniambia jina personal nitakuwa sina uhakika, nachojua ni sifa zake hizo kuu tatu.