Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

POPE NI MUNGU TOKA LINI JOMBI...WE WA FASI YA WAPI?
VICARIUS filli DEI

Papa wanamuita mbadala wa yesu hpaunini

Nailo nijina lake kbs

Ambali kibiblia
Ufunuo wa Yohana 13:18
[18]Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Kasome na ufunuo 17
Ndo utaelewa kuwa kwann inaongelea mji ambao anakaa uyo kahaba umezungukwa na milima saba (vatican)
Uyo mwanamke anapokaa ni ufalme ndani ya ufalme (Vatican in rome)
Kwanini alilewa damu za watakatifu aliowaua
Kwanini biblia inasema ananguvu juu ya kila taifa na kila kabila nalugha (vatican)

Ufunuo wa Yohana 17:5-6
[5]Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

[6]Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

Na mangine mengiiiiiiiiiii
 
Mfia imani gani aliuawa na kanisa katoliki?
Weka ushahidi kuwa Martin Luther alitafsiri Biblia kwa kijerumani,kwa hiyo Biblia iliandikwa kwa kirumi Luther akaitafsiri kwenda kijerumani.
Unahisi akili yako inatosha kuendelea kujadili na wewe?
Tafsiri ya kwanza ya Maandiko katika zama za Kikristo ilikuwa katika lugha ya Kisiria karibu mwaka 170 BK , kama ilivyosemwa huko Damasko! Kisha kazi ya kutafsiri Biblia ilienea kutoka Siria katika karne zilizofuata hadi Armenia, Georgia, Samarkand na kwingineko.
 
Jibu maswali usijifanye unaijua Biblia sana,ukienda kinyume na hayo unafanywa nini?
Ni lini kanisa lilizuia watu kusoma Biblia?
Kasome historia ya kanisa lako kabla halijatubu
Wakati biblia ipo kanisan tu kwa mapadri
Mpk 1400 bk uo ujinga ulikuwepo
Nyuma yake zaidi hali ilikuwa mbaya zaidi
Katoliki lilikuwa linadanganya watu nakuwauzia vikadi wanasema ni kadi za msamaha wa dhambi
Tajiri anavijaza home anaenda kufanya ushenzi

Ukitaka kujua ayo tafuta hoja 95 za Martin Luther alizopingana na roma
Apo bado john Wesley na wengine wengi
 
Ukristo sio imani sahihi
 
Kutoka kirumi kwenda lugha nyingine
Na io ni ulaya
Achana na lugha za mashariki ya kati na uko jua kuwa biblia bado haikuwa imeunganishwa vitabu vyote

Elewa
Yan ww upo radhi kufa na tai ya roman
Ata yesu akikuhubiria hutamuamini
Alaf jua watu wakwanza kabisa ambao yesu angepingana nao wakati huu ni katoliki.
 
Ukatoliki unaenda kufa?????
 
Hakuna Biblia iliyoandikwa kwa kirumi,Biblia iliandikwa Kiebrania,Kiyunani na Kigiriki,
Ikatafsiriwa kwenda Kilatini,baadaye Kifaransa na Lugha nyingine
Hiyo Biblia ya Kirumi umeitoa wapi?
 
Ukatoliki unaenda kufa?????
Ukatoliki ulishakufa zamani
Kiufupi haujawah kuwa hai
Tangu kuanzishwa kwake
Mpaka lilipogawanyika
Na ata sasa ndo lipo kwenye kilele cha upaganu wake


Inasikitisha wameitoa nafasi ya roho mtakatifu wakamuweka maria
Wanamuita mama wa mungu
Wakati yesi hajawah kumuita mariam mama
Alimuita ewe mwanamke sikuzote
 
Unazungumzia historia ya kanisa kabla halijatubu,very stupid,Mimi nazungumzia kanisa ninalosali mimi.
Kanisa moja takatifu katoliki na la mitume
 
Yesu alimuita Maria ewe mwanamke?
Hebu tupe fungu.
Kweli wasabato mnahitaji ubatizo kwa Mara ya pili,nyie ndyo wapinga kristo wa kweli
 
INASIKITISHA SANA KUONA WAKRISTU WENZETU WAKITUCHUKIA KWA KIASI KIKUBWA NA NAMNA HII
HAKIKA INASIKITISHA MNO

ILIBIDI TUJENGE NYUMBA MOJA ILA HII CHUKI MLIYO NAYO WAKRISTU WENZETU SIO TU INAONDOA IMANI, MATUMAINI NA MAPENDO BALI INAKARIBISHA ROHO YA UMAUTI KUPITIA MAPANDIKIZI YA CHUKI JUU YETU WAKATOLIKI


INAUMA SANA
 

Yohana 19:26-27

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yesu alipomwona mama yake na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, alimwambia mama yake, “Mama, huyo ni mwanao!” 27 Kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Na huyo ni mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
Pumbavu we msabato.
 
Na ndiyo maana tukisema nyie wasabato sio wakristu sijui kwanini hamuelewi!

Humuamini mama yake Yesu ila unamuamini ELLEN GOULD WHITE, nimesoma vitabu vingi sana vuenu wasabato mmejaziqa chuki tu na huyo mama juu ya kanisa la Mungu...

Unayo nafasi ya kurekebisha roho yako na kuifanya iwe dhabihu Safi bila chuki wala mawaa

Itikadi zenu hazina tofauti na waislamu, mnakera sana nyie kikundi cha wasabato
 
Na wewe baki huko ambako sasa ndoa za jinsia moja ruksa!!
Kwani alikuambia anataka kuhama? Wasabato bana…sijui lini mtaacha kuwashwa washwa na mambo ya wakatoliki!
Mbona sisi hatutamani dini yenu?
Mnakaririshwa humo kwenye Makambi then hao mbio mbio kuukosoa ukatoliki.
 
Ubatizo ni baptize
Neno lakiyunani lenye maana ya kuzamisha
Unataka na vifungu uamini

Wakolosai 2:12
[12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.

Ubatizo wa kunyunyiza ulianzia wap? Rumi walioka aibu kumzamisha mfalme wa rumi alipoamini. Wengine wakasema lazima akazamishwe wengne wakasema uyu ni mfalme tumnyunyizie tu si ni maji yale yale
Kuzamisha inaashiria kufa na kufufuka kwa yesu

Mtu wangemwagia udogo tu alaf wangemwambia tushakuzika sio.

Mnada ni mnada
Unabadili vitu kuwa pesa io haiitaji degree yesu aliwakuta wameleta mbuzi njiwa na kila biashara wanabadili ziwe pesa
Ubatizo hakuna mtu kwenye biblia alibatizwa hvyo kiroman kw jina la baba la mwana la la roho tafuta biblia nzima
Ila mitume waliambiwa msifanye lolote mpaka roho atapokuja na kuwafunulia
Alipowafunulia unajua walibatizaje wtu.
Kwajina la bwana yesu
Baba sio jina wala mwana ila ni sifa za mtu mmoja
Io ni ishu ingine ndefu

Sanamu inajulikana kubusu sanam ya maria na mtoto yesu na kujichora alama za msalaba

Ndoa za jinsia moja io ipo wazi siiongelei
 
Ubatizo ni baptize
Neno lakiyunani lenye maana ya kuzamisha
Unataka na vifungu uamini

Wakolosai 2:12
[12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.

Ubatizo wa kunyunyiza ulianzia wap? Rumi walioka aibu kumzamisha mfalme wa rumi alipoamini. Wengine wakasema lazima akazamishwe wengne wakasema uyu ni mfalme tumnyunyizie tu si ni maji yale yale
Kuzamisha inaashiria kufa na kufufuka kwa yesu

Mtu wangemwagia udogo tu alaf wangemwambia tushakuzika sio.

Mnada ni mnada
Unabadili vitu kuwa pesa io haiitaji degree yesu aliwakuta wameleta mbuzi njiwa na kila biashara wanabadili ziwe pesa
Ubatizo hakuna mtu kwenye biblia alibatizwa hvyo kiroman kw jina la baba la mwana la la roho tafuta biblia nzima
Ila mitume waliambiwa msifanye lolote mpaka roho atapokuja na kuwafunulia
Alipowafunulia unajua walibatizaje wtu.
Kwajina la bwana yesu
Baba sio jina wala mwana ila ni sifa za mtu mmoja
Io ni ishu ingine ndefu

Sanamu inajulikana kubusu sanam ya maria na mtoto yesu na kujichora alama za msalaba

Ndoa za jinsia moja io ipo wazi siiongelei
 
Ndugu achana nao, muasi siku zote huwa na CHUKI kubwa kwa aliyemuasi kuliko hata adui wa aliyemuasi

Unaona hoja kuu hapa ni nini!!? Ni kuanguka kwa kanisa KATOLIKI, ndiyo tamanio lao hawajui kuwa kuanzishwa kwa makanisa yao ni mpango wa shetani kunyong'onyeza huduma na injili, wanatamani kanisa liangamie
ACHANA NAO Huu uzi tuuachie hapa
 
H Hakuina mahali nimeona wakatoliki wanamuamini papa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…