Je, ni halali kumpiga makofi mama mkwe anayekukera kila siku?

Je, ni halali kumpiga makofi mama mkwe anayekukera kila siku?

Naomba nitoe elimu kuhusu wanadoa kuchelewa kupata ujauzito, sababu zifuatazo. Kwa sababu ilimtokea rafiki yangu wa tangu school.
Ipo hivi kuna sababu nyingi za kuchelewa kupata mtoto na zimegawanyika katika makundi,
Kundi A,
1. ulaji wa vyakula_ hapa tunazungunzia aina ya chakula ambacho yamkni husababisha mwanaume kuwa na bengu isiyoweza kurutubisha yai,
2.Mtindo wa maisha, _Mtindo wa maisha ni pale wakati unasex na mtu wako mda ule unatoa mbegu badara uachiemo kwa mda wa kama dakika 5 hivi wewe unachomoa uume au mwanamke anajipindua ,
Mtundo wa maisha hata utumiaji wa uzizi wa mpango kwa mda mrefu husababisha kizazi au damu kusogea nakutokwa tayari katika kupokea mtoto, hasa mwanamke kutumia uzazi wa mpango tangu akiwa mdogo kipindi cha school, Hili somo ni pana acha niishie hapa

Kundi B,
1.magonwa ya kurithi,_ hapa utakuta mtu anarithi ugumba kutoka kwenye ukoo ikiwa kati yao alikuwepo mtu mwenye tatizo hili

2.Group la damu, kama nyo mpo katika group moja la damu mfano grop O,
Aisee kupata mtoto huwa ni bahati sana,
Hiyo ni kwa uchache sana naomba niishie hapa
Ila rafiki angu alikaa kwa mda wa miaka 6 bila kupata mtoto mwaka wa 7 akapata mtoto wa kiume sasa hivi anao watoto 3, asingekuwa na roho ya uvumilivu basi angekuwa ashaachana na mke wake, ingawa ilifika pahara akataka kuchepuka ila tulimshauri sana madhara ya kuwa na mtoto nje ya ndoa
❤️❤️❤️❤️Hapo ni suala la uvumilivu tu
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole....Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito....Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo ....Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.

Ni mama mkwe ivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra.....Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie ivo akasafiri na tangu mwez wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.....

Sasa kisa cha ugomvi ni nini?....Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae " Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana...Mama kizunguzungu chali...

Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke ...Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi....Ndo ivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.

Kidini ni Kosa. Mama Mkwe ni Kama mama Yako, kwani amemzaa mwenza wako.

Kisheria pia ni kosa.
Huruhusiwi kumpiga yeyote hasa Mtu mzima.

Ningekuwa Mimi ningefukuza Mke Kwa kushindwa kuwa mvumilivu na kuvuka mipaka yake.
Hilo ni kosa ambalo halina mjadala, ninakufukuza tena ukicheza na kipigo
 
Kidini ni Kosa. Mama Mkwe ni Kama mama Yako, kwani amemzaa mwenza wako.

Kisheria pia ni kosa.
Huruhusiwi kumpiga yeyote hasa Mtu mzima.

Ningekuwa Mimi ningefukuza Mke Kwa kushindwa kuwa mvumilivu na kuvuka mipaka yake.
Hilo ni kosa ambalo halina mjadala, ninakufukuza tena ukicheza na kipigo
🤣🤣🤣🤣Na kipigo Tena😳 Si umesema ni kosa kumpiga mtu mzima?
 
Aisee
Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole....Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito....Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo ....Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.

Ni mama mkwe ivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra.....Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie ivo akasafiri na tangu mwez wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.....

Sasa kisa cha ugomvi ni nini?....Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae " Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana...Mama kizunguzungu chali...

Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke ...Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi....Ndo ivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.
 
Katika vitu nimeapa kuvalia njuga na sitaki masihara ni mzazi wangu au wa upande mwingine kuingilia mahusiano yangu,hili ni pepo baya sana linaloteketeza ndoa nyingi
Sana mkuu sasa kama hapo anadai mtoto,, kwani wenyewe ni Mungu kwamba wanapanga atoke lini?
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole....Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito....Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo ....Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.

Ni mama mkwe ivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra.....Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie ivo akasafiri na tangu mwez wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.....

Sasa kisa cha ugomvi ni nini?....Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae " Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana...Mama kizunguzungu chali...

Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke ...Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi....Ndo ivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.
aisee....yani huyo sio mke kabisa. kumpiga makofi mama wa mume wako!!! huyo kama mwanaume atamruhusu kukanyaga tena hapo nyumbani basi atakuwa bonge la fala.
mama mzazi pia kama mtoto wake ataendelea kuwa na huyo mwanamke, basi mama amkane kabisa kuwa huyo sio mwanae tena
 
aisee....yani huyo sio mke kabisa. kumpiga makofi mama wa mume wako!!! huyo kama mwanaume atamruhusu kukanyaga tena hapo nyumbani basi atakuwa bonge la fala.
mama mzazi pia kama mtoto wake ataendelea kuwa na huyo mwanamke, basi mama amkane kabisa kuwa huyo sio mwanae tena
🤣HII imekugusa aisee🤸
 
Ni tukio limetokea jana jioni hapa uyole....Ndoa ina miaka mitatu mke hajabahatika kushika ujauzito....Sasa mama mtu alikuwa anapiga kelele juu ya hilo ....Nataka mjukuu nataka mjukuu, mnataka nife sijaona wajukuu na kadhalika.

Ni mama mkwe ivo binti akawa hana la kusema zaidi ya tutapata mama na mume kumwambia mama yake kuwa na subra.....Nadhani huyu mama aliona kelele za mbali hazifanyi kazi, akamwomba mwanae amtumie nauli aje awasalimie ivo akasafiri na tangu mwez wa 6 yupo pale nadhani alikuwa anataka ashuhudie tumbo likinyanyuka akiwa pale pale.....

Sasa kisa cha ugomvi ni nini?....Unaambiwa tangu afike ni kelele hizohizo, sasa jana binti kamfuma mama anamwambia mwanae " Au uoe mke mwingine mwanangu?" Binti hakutaka kupepesa akamrukia mama na kumpa mabanzi ya mashavu ya maana...Mama kizunguzungu chali...

Mwenye mama kaghadhibika kamrukia mke ...Kwanini unanipigia mama yangu wakati mimi nakuvumilia na maneno mengi mengi....Ndo ivo ugomvi ukawa ugomvi mpaka majirani kwenda kuamria.
Pande zote mbili zina makosa, mama ana makosa, na huyu mwanamke ana makosa. Isipokuwa hakupaswa kumpiga mama mkwe, hilo ni kosa na dhambi mbele za Mungu.
Hatujui hawa watu walishapima akabainika nani ana shida ya kiafya? Kama halikuwepo basi lilikuwa jambo la kiroho. Walihitaji kumwomba Mungu awasaidie.
Kuhusu kusimangwa au kusemwa vibaya kwa kutopata mtoto hilo halijaanza kwake.
Wapo wanawake katika Biblia walikutana na changamoto hii ya kusemwa vibaya. Waliumia na kuwa watu wa kulia, lakini ilifika muda Mungu akawapa watoto.
Huyu kumpiga mama mkwe, Mungu amsaidie isitokee kugawanyika kwa ndoa yake.
 
Pande zote mbili zina makosa, mama ana makosa, na huyu mwanamke ana makosa. Isipokuwa hakupaswa kumpiga mama mkwe, hilo ni kosa na dhambi mbele za Mungu.
Hatujui hawa watu walishapima akabainika nani ana shida ya kiafya? Kama halikuwepo basi lilikuwa jambo la kiroho. Walihitaji kumwomba Mungu awasaidie.
Kuhusu kusimangwa au kusemwa vibaya kwa kutopata mtoto hilo halijaanza kwake.
Wapo wanawake katika Biblia walikutana na changamoto hii ya kusemwa vibaya. Waliumia na kuwa watu wa kulia, lakini ilifika muda Mungu akawapa watoto.
Huyu kumpiga mama mkwe, Mungu amsaidie isitokee kugawanyika kwa ndoa yake.
Amina,usiache kuwa mpole ivoivo tafadhali❤️
 
Ndo unavuna Hilo sasa

Hiyo ni Ajali kazini.
Unafikiri Hilo litamsumbua Mama mzazi Kama Hilo la kukosa Mjukuu😀😀.

Tena hapo alivyopigwa ndio atachukulia point ya kuivunja hiyo ndoa.
Wanawake linapokuja suala la mtoto hasa wa kiume wala hawajali chochote.

Tena mtoto awe na uwezo kidogo😂.

Mimi sio shida Kwa huyo Mama wala sioni shida ya mama yeyote kuiingilia ndoa ya Kijana wake.
Hapo akili na hekima ya Mwanaume ndio inapaswa kufanya kazi.

Mama mtamu! Mke mtamu.
Na wote ni muhimu na nyeti.
Lazima uwadhibiti wote.

Mama asimuonee Mke, na Mke asimuonee Mama.
Ukiona mambo hayaendi, Kaa mbali na Mama awe anakuja mara moja moja.
Hataki basi aishi kwako lakini MKEO mpe kazi muwe mnarudi jioni.
 
ah mie sina utani aisee nilimwambia mke wangu toka mwanzo kuwa fanya yote mabaya lakini mama usimguse. atakae ondoka ni wewe na sio huyu mama maana bila yeye wewe usingenitaka. so respect her.
mke naweza badilisha anytime, ila mama siwezi.
That's the truth....kilakitu kiwe na mipaka
 
Sheria za nchi haziruhusu kupiga mtu(kushambulia)
Umekua neutral sana, ni sheria za nchi na sio mama au mkwe..

Kosa ni hilo mkuu, ila sio kupigwa mama mkwe, anyooshwe tu kama anazingua..kwani mtoto ndio kila kitu kwenye dunia, pia tu hajielewi.
 
Hiyo ni Ajali kazini.
Unafikiri Hilo litamsumbua Mama mzazi Kama Hilo la kukosa Mjukuu😀😀.

Tena hapo alivyopigwa ndio atachukulia point ya kuivunja hiyo ndoa.
Wanawake linapokuja suala la mtoto hasa wa kiume wala hawajali chochote.

Tena mtoto awe na uwezo kidogo😂.

Mimi sio shida Kwa huyo Mama wala sioni shida ya mama yeyote kuiingilia ndoa ya Kijana wake.
Hapo akili na hekima ya Mwanaume ndio inapaswa kufanya kazi.

Mama mtamu! Mke mtamu.
Na wote ni muhimu na nyeti.
Lazima uwadhibiti wote.

Mama asimuonee Mke, na Mke asimuonee Mama.
Ukiona mambo hayaendi, Kaa mbali na Mama awe anakuja mara moja moja.
Hataki basi aishi kwako lakini MKEO mpe kazi muwe mnarudi jioni.
Kuishi na mama mkwehome yataka moyo
 
Back
Top Bottom