Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Una maanisha hakuna waarabu wakristo na wala hakuna wazungu waislam..na hakuna wazungu wanaosilimu?Ongezeko la waislam Ulaya na Amerika linatokana na ongezeko la wahamiaji waarabu na wakimbizi kutoka nchi za kiarabu, na wala halitokani na wazungu au wakristo kusilimu.
Na kadiri siku zinavyoenda huenda idadi hiyo ya waislam ikapungua zaidi kwa sababu mataifa mengi ya Ulaya na America yameanza kuweka sheria kali za wahamiaji, hasa wale wa kutoka nchi za kiarabu kutokana na hofu ya kiusalama.
Bado weweYule ni Mganga kuweni makini.
Dokta aliomba samahan lakini wapi😂😂.
Unalala una scan Kama CCTV camera.
Nitishike na kalu- Man- Zilla ?Bado wewe
Pigwa biti moja Dokta waaaah chaliii.Dokta wangu alitishika kumbe ? Amenitia aibu sana
Amna aliamua kuwa muungwana tu Mana ule ulikuwa Uzi wa waganga na warogi.Halafu Dokta ni mentor wangu kwenye mambo mengi sana ,dah
Keyboard worrierNitishike na kalu- Man- Zilla ?
Hoja ya msingi ishashindikana sasa, umeelewa maana yake,any way,murtad ni lugha ya kiarabu, Quran imeteremka kwa kiarabu burbur,na Quran haikusema mtu akiacha uislam auawe, imesema wazi hakuna kulazimishana katika dini, kwani ukweli umejitenga na uwongo,hayo uliyoweka hapo ni vurugu tu zisizo kichwa wala miguuUNAPANIKI HUKU unalia ,kwanini Sasa Mtu akisema anahama Uislamu mnamtishia kufa?
MTU ALIYEACHA UISLAM ANAITWA JINA LA MURTADI USHAHIDI HUU HAPA NA HUYU MURTADI ANAPEWA SIKU TATU ARUDI KWA UISLAM KWENYE NCHI ZINAZOONGOZWA NA DOLA YA KIISLAM ASIPORUDI ANAKATWA KICHWA NA HAZIKWI WALA HAFANYIWI IBADA WALA HATARITHIWA NA YEYOTE KATIKA FAMILIA YAKE UKRASA 893 MIN HAJIR MUSLIM
Murtadi ni Mtu aliyeiacha dini ya Uislam na kwenda Dini zingine kama Vile Ukristo,Uyahudi au hakujiunga na dini yoyote kama Vile Upagani, Mkomunisti akiwa na akili timamu Kwa hiyari yake
Hukumu yake
Hukumu ya murtadi atatakiwa arudi kwenye dini ya Uislam Kwa siku tatu, asiporudi atauliwa Kwa upanga,hii ni adhabu Kwa kauli ya Mtume
" Mwenye kuacha dini yake Muueni"Bukhar
Si halali kumwaga damu ya Mtu mwislam ispokuwa Kwa sababu ya moja ya matatu mzinifu muhsani ,Nafsi Kwa kuuawa Kwa mwenye kuhama dini yake ya Uislam,na kufarakiana na Umoja waislam. Imepokewa na Sanai, Ibn Majah na Abu Dawud
عَنْ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "لَا يَحِلُّ دَمُ امْرِئٍ مُسْلِمٍ [ يشهد أن لا إله إلا الله، وأني رسول الله] إلَّا بِإِحْدَى ثَلَاثٍ: الثَّيِّبُ الزَّانِي، وَالنَّفْسُ بِالنَّفْسِ، وَالتَّارِكُ لِدِينِهِ الْمُفَارِقُ لِلْجَمَاعَةِ".
[رَوَاهُ الْبُخَارِيُّ] ، [وَمُسْلِمٌ]
Kwa mapokezi ya Ibn Masood (Mwenyezi Mungu apendezwe naye) ambaye alisema
Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (amani na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alisema, "Hairuhusiwi kumwaga damu ya Mwislamu isipokuwa katika [visa] vitatu: mtu aliyeoa ambaye anafanya uzinzi, aliyepoteza maisha ya mwingine (kuua), na anayeacha dini yake na kujitenga na jamaa. "[Al-Bukhari] [Muslim]
Mosi,kama nilivyokuambia,uwezo wa kuchanganua mambo mdogo,piganeni na wapigeni ni maneno mawili tofauti, piganeni maana yake anakupiga unampiga,sasa wanakupiga vita halafu wamegoma kulipa kodi serikalini,watazamwe tu!?..huo ni uhaini,mtapigwa mchakae,jizya ni kodi,washirikina,wayahudi na wakristu hapo wamedinda kulipa kodi,sharti wapigweAcha KULIALIA hapa ,
Ni kitabu chako chenye chuki ya kuwaua WASIO waislamu kwa kuwahofia
Qur'an 9:29
"Piganeni na wale wasioamini katika Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharamishi alivyoharamisha Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa wale waliopewa Kitabu, mpaka watoe jizya kwa kufedheheshwa."
Ntaua mtu Shaaban.Keyboard worrier
Hayo mambo hayasaidii chochote, watu hawajali kuhusu chochote. Peoples lives their life.Wale wanaopigana pale middle east Hadi kuuana ni ngozi gani
hakuna chuki, acheni kudanganya uislam unakua ulaya na amerika wakati ndio kwanza unakufa duniani. Angalia saudi arabia ulikoanzia uislam nchi imeanza kuachana na uislam na kukumbatia umagharibiKweli wewe ni semi illiterate fellow with hatred of Islam unapinga hoja bila kuleta ushahidi wa kupinga hiyo mada zaidi ya kuandika hisia zako tu, chuki zako dhidi ya Uislamu huwezi kuzuia uenezi wa uislamu katika ulimwengu wote achana na Ulaya hata China Korea Japan nk.
Hoja ya msingi ishashindikana sasa, umeelewa maana yake,any way,murtad ni lugha ya kiarabu, Quran imeteremka kwa kiarabu burbur,na Quran haikusema mtu akiacha uislam auawe, imesema wazi hakuna kulazimishana katika dini, kwani ukweli umejitenga na uwongo,hayo uliyoweka hapo ni vurugu tu zisizo kichwa wala miguu
Hawa wanadanganyana sana , Uislamu huko Saudia na nchi za kiarabu ,Unaenda kufanywa uwe kama geresha tuhakuna chuki, acheni kudanganya uislam unakua ulaya na amerika wakati ndio kwanza unakufa duniani. Angalia saudi arabia ulikoanzia uislam nchi imeanza kuachana na uislam na kukumbatia umagharibi
Sitaki kusikia kemia 😂😂Katika reversible/irreversible reactions lazima kwenye input kuwe na enzymes inayospeed up rate of chemicals reactions..Kwa hio duniani sio makazi.,..unatakiwa ujue waislam wanatakiwa kuongezeka ulaya ili kupatikane jamii kubwa ya watu wanaoichukia Israel ili vita ya Gogu na Harmagedon zipate wapiganaji...
Shangaa hata wewe, sahizi walitakiwa wawe wamejaza Gaza huko ! Lakini wanaupiga mwingi Kwa makafiri😂Kukua wakati wanaacha kukimbilia nchi zao za kiislamu wanakimbilia marekani na Uingereza na kurundikana huko