Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483

View: https://youtu.be/3_8_fbJcKug?si=O_-KOcucEfwsUGxp
 
Kwa data zipi au kwa propaganda?
hii sio propaganda,kila nikienda kusali makanisani huko ulaya nakuta wazee 3 au 5 hawazidi 10,makanisa yanafungwa na kugeuzwa kuwa maeneo ya biashara,kwa upande wa waislamu,misikiti yao hujaa waumini na sasa wazungu wengi wanaenda kusali na ipo misikiti inasalishwa na ma imamu wazungu ambao ni waislamu.Huo ndio ukweli wala hakuna cha ushabiki hapo
 
Lete aya ya Quran inayosema hukumu ya murtad kifo,nje ya Quran ni hadith za alfu lela ulela
Kwahiyo Leo hutaki Hadithi? Mambo yakiwa tofauti mnazikataa hadharani hizi hadithi ....🤣

Kwahiyo zile Swala 5 unazipata wapi kwenye Quran?
 
Ila wewe mleta uzi utakuwa na ugonjwa wa akili nakushauri nenda hospitali mapema kabla hujaanza kuokota makopo.

Hiyo chuki yako dhidi ya uislamu haisaidii chochote uislamu ulikuwepo, na utaendelea kuwepo wewe utake usitake. Nakuona ulivyo na sura ngumu kama nguruwe pori
Hii ndiyo shida ya Wafuga Midevu na Majini ukiwakosoa tu wanasema au wanakuambia Una chuki na dini yao!!
 
Kwahiyo Leo hutaki Hadithi? Mambo yakiwa tofauti mnazikataa hadharani hizi hadithi ....🤣

Kwahiyo zile Swala 5 unazipata wapi kwenye Quran?
Nikikuonesha swala tano kwenye Quran utakuja kuninyonya dhakari?
 
Wafuga Midevu na Majini akili mliwekeza kwenye matusi? Au ndiyo moja wapo ya Taqiya??
Kijana matusi hayatakusaidia kula kipigo

Naomba haya mambo ndani ya Quran,maana umezikana Hadith

1. Idadi ya Swala Tano na Namna ya Kuzitekeleza
2. Sheria za Zaka (Makato ya Mali)
3. Maelezo ya Kina Kuhusu Hija
4. Adhabu za Vilevi na Makosa Mengine ya Jinai
5. Maelezo ya Mahitaji ya Ndoa
na Talaka
 
Kwa kufuata ile slogan yetu ya oa acha, zalisha tembea, kuzaliana ovyo watoto from 4 hadi mwanamke aondoke mwenyewe lazima Islam ukue.

Mwanamke kukosa haki ya kuhoji hususani kwenye maisha ya ndoa, kunyimwa elimu dunia kwa watoto wa kiislam, hayo yote yanafanya uislam kukua kwa speed ya 6G.

Wazungu ni mafilauni, hawana dini, wote ni motoni ila huko ndiko kimbilio la waislam wengi duniani.

So wakifika huko hawaachi ile slogan ya kuzaliana kwa wingi ili kuishika dunia kidini.
 
Kijana matusi hayatakusaidia kula kipigo

Naomba haya mambo ndani ya Quran,maana umezikana Hadith

1. Idadi ya Swala Tano na Namna ya Kuzitekeleza
2. Sheria za Zaka (Makato ya Mali)
3. Maelezo ya Kina Kuhusu Hija
4. Adhabu za Vilevi na Makosa Mengine ya Jinai
5. Maelezo ya Mahitaji ya Ndoa
na Talaka
Umeongeza mengine siyo swala tano tu!?..swali langu liko palepale,nikikuonesha utaninyonya dhakari?....

Hayo yote kukueleza si ni kitabu kizima!!..
Kama Quran haikusema adhabu ya mlevi basi hiyo adhabu haipo,kusengenya ni dhambi,kuna adhabu gani kwa mujibu wa hadithi kwa msengenyaji?..kusema uwongo?..

Mahitaji ya ndoa na talaka ni vitu gani?
 
Umeongeza mengine siyo swala tano tu!?..swali langu liko palepale,nikikuonesha utaninyonya dhakari?....

Hayo yote kukueleza si ni kitabu kizima!!..
Kama Quran haikusema adhabu ya mlevi basi hiyo adhabu haipo,kusengenya ni dhambi,kuna adhabu gani kwa mujibu wa hadithi kwa msengenyaji?..kusema uwongo?..

Mahitaji ya ndoa na talaka ni vitu gani?
Jibu maswali niliyokuuliza,

Kutukana ,kukebehi hakukusaidii kujibu Bali ,ndio utafanya niendelee kukubana Hadi ukane na Quran,

Maana Hadith umeshazikana
 
Unamlaumu mtu kwa kuuchukia uislam pia na wewe unaonyesha chuki yako dhahiri dhidi yake kwa kuuchukia uislam,hii haitafutachuki yake dhidi ya kile anachokichukia bali itamuongezea chuki.
 
Jibu maswali niliyokuuliza,

Kutukana ,kukebehi hakukusaidii kujibu Bali ,ndio utafanya niendelee kukubana Hadi ukane na Quran,

Maana Hadith umeshazikana
Vipindi vya swala
Quran 73:20,11:114,20:130,17:78-79,30:17-18,24:58
Udhu
2:222,5:6,4:43
Kuelekea kibla 2:144
Ndoa
2:221,4:22-32
Mahari 4:24
Talaka
65:1-6,12
2:231,2:226-237
 
Back
Top Bottom