targeted by who?Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.
The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.
Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
Achanen na mambo ya kipuuzi,hivi alikua na maujiza gani amefanya majitu mmekua mizombie,mijitu yote mmekua kama miendwazamu msioweza hata kufikiri.Yaani mnawafanya maraisi wengine hawakufanya kitu kwa sbb tu mlinufaika na utawala wake.Kaulo ya ms president kwamba yeye ndio rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikua anawapa taarifa mizombie ya marehem,mpk ss hamuamini kama amekufa wala kutakua na mwingine.Mlikua mifuasi mipumbavu sana msioweza hata kutumia common sense ni kuabudu tu.Rubbish kabisaUkweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.
The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.
Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
Ona huyu nayeUkweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.
The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.
Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
shkamoo kaka. tunapenda sana whitch hunting kwa uzembe wetu wenyewe. hawa ndio wabongoConspiracy theories thrive where there is a void of open information.
Watu wana speculate!
Tunaambiwa tuvae barakoa , watu hawasikii, halafu watu wengi wanakufa tunafikiri kuna mkono wa mtu!
Ujinga mtupu!
walio apply protocol wamepunguza kasi ya ugonjwa.Mlitaka tutembee na ma PPE ndo mjue tuko serious au tuwe tunalala na mask? Acheni upumbavu wenu nani hajui corona ipo na inaua? Hizo nchi zilizo apply scientific protocols je watu hawafi? Did corona disappear?
Muda ni mwalimutargeted by who?
"Dead men tell no tales" quote of the dayHii ni hypothesis tu. Kutokana na Makala hayo uliyotuelekeza ni kwamba unatuambia Late President Magufuli :
- Alikuwa na pacemaker made by Medtronic...
- Kwamba pacemaker aliwekewa Marekani
- Kwa Makala hayo lazima mtu awe close proximity - basi ni inside job... n.k, nk
Ukweli tunaoujua ni kwamba alikuwa na chronic heart condition. Unfortunately dead men tell no tales.
Naongea kama mtaalamu.Ona huyu naye
HUJAELEZA HATARI YA MTU MWENYE HICHO KIFAA ANAPOKUTANA NA COVID 21.
PIA MUDA WA MATUMIZI YA HICHO KIFAA TANGU KUPANDIKIZWA.
huwez sema he was targeted wkt huna hata clue who is responsible. and usiniambie muda ni mwalimu.. muda unaweza ukapita ni kisipatikane kitu.Muda ni mwalimu
walio apply protocol wamepunguza kasi ya ugonjwa.
but tutakuwa wapumbavu kama nyumba ya jirani inawaka moto.. na sisi tusipochukua tahadhari tukiamini moto huo hautahamia kwetu.
i am sorry to say tusijilinganishe na wenzetu
naongea kama mtaalamu wa hizi kazuhuwez sema he was targeted wkt huna hata clue who is responsible. and usiniambie muda ni mwalimu.. muda unaweza ukapita ni kisipatikane kitu.
it means huna jib lenye uhakika?