Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Mada ni fikirishi kidogo ila ufuasi wa vyama na was mtu unapelekea fikra chanya kwenye mada hii kukosekana.

Kifo cha mh kimekua in ghafla mno na kumekuwepo makosa makubwa huko serikalini na ndiko kuliko pelekea kuvuja kwa taarifa mbaya.

Lakini ukweli ni kwamba mh hayupo tena, na sababu zilizopelekea kutokuwepo kwake zinaweza kua no nyingi sana za kawaida na zisizo kua za kawaida. Lakini zote zitahimiswa kwamba mzee hayupo.

Ajaliwe furaha ya milele.
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
targeted by who?
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
Achanen na mambo ya kipuuzi,hivi alikua na maujiza gani amefanya majitu mmekua mizombie,mijitu yote mmekua kama miendwazamu msioweza hata kufikiri.Yaani mnawafanya maraisi wengine hawakufanya kitu kwa sbb tu mlinufaika na utawala wake.Kaulo ya ms president kwamba yeye ndio rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikua anawapa taarifa mizombie ya marehem,mpk ss hamuamini kama amekufa wala kutakua na mwingine.Mlikua mifuasi mipumbavu sana msioweza hata kutumia common sense ni kuabudu tu.Rubbish kabisa
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
Ona huyu naye
 
Mlitaka tutembee na ma PPE ndo mjue tuko serious au tuwe tunalala na mask? Acheni upumbavu wenu nani hajui corona ipo na inaua? Hizo nchi zilizo apply scientific protocols je watu hawafi? Did corona disappear?
walio apply protocol wamepunguza kasi ya ugonjwa.
but tutakuwa wapumbavu kama nyumba ya jirani inawaka moto.. na sisi tusipochukua tahadhari tukiamini moto huo hautahamia kwetu.

i am sorry to say tusijilinganishe na wenzetu
 
Hii ni hypothesis tu. Kutokana na Makala hayo uliyotuelekeza ni kwamba unatuambia Late President Magufuli :
  • Alikuwa na pacemaker made by Medtronic...
  • Kwamba pacemaker aliwekewa Marekani
  • Kwa Makala hayo lazima mtu awe close proximity - basi ni inside job... n.k, nk

Ukweli tunaoujua ni kwamba alikuwa na chronic heart condition. Unfortunately dead men tell no tales.
"Dead men tell no tales" quote of the day
 
COvid-19 ni hatari- chukua tahadhali, hasa wenye magonjwa ya pumu,moyo,kisukari,tb,UKIMWI, n.k

Hili ndio wanausalama wetu walishindwa kuligundua au walishindwa kumdhibiti.
 
walio apply protocol wamepunguza kasi ya ugonjwa.
but tutakuwa wapumbavu kama nyumba ya jirani inawaka moto.. na sisi tusipochukua tahadhari tukiamini moto huo hautahamia kwetu.

i am sorry to say tusijilinganishe na wenzetu

Hakuna anayetaka kujilinganisha na mtu , wao Ndo wanalazimisha tufanye wanavyotaka, by the way Kwani tukifa na corona what’s their loss? Kwani tuna huo umuhimu sana kwao? , why our death is paining them ? Why taking panadol for our own headache ?

Since Their agenda is to depopulate us let corona kill all of us . The death of our beloved magufuli is not going to change anything , we stand with magufuli untill we depart, Kwan hii dunia ni yetu ?

Bado nasubir hizo zama za wananchi kuokotwa kama kuku barabarani

Kifo kilikuwepo na kitaendelea kuwepo tu whether corona iwepo au isiwepo

SA inaongoza kwa kufuata all safety precautions regarding the pandemic , na lockdown juu waliweka almost three months , now tell me , did corona disappear ? People are not dying ? Nenda kaangalie statistics zao juu ya kifo cha corona , it’s 100 times kuliko sie ambao we are not implementing any scientific measures na maisha yanaendelea

Ebu msituletee upuuzi wenu hapa mxieww
 
Back
Top Bottom