King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy
Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni
Naamini mama atakaza kama Magu, ila awe makini na mamluki waliomo tissHii analysis ni ya kiutu uzima. Kifo hakikosi sababu.
Samia awe makini.
Possible. Upande mwingine, mbona hawakumfanyia hujuma hiyo miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???Kwa evolution na speed ya technology kwa sasa, ni rahisi sana kufanya hilo tukio mno.
Technology is evolving faster than we are.
Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
Yeah kwamba ni kweli alikiwa na matatizo ya moyo lakini tatizo hilo pekee pengine lilikuwa weak kumtoa uhai, alikuwa na uwezo wa kufika hata 2030 akiwa yuko fit. Kama ambavyo alivyoweza kuishi hiyo miaka ya nyuma akiwa na tatizo hiloPossibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.
kweli kabisaI fully agree. JPM's last statements show tayari naye alikuwa ameshapata wasiwasi kuhusu ugonjwa huo kuvamia himaya ya watu wake wa karibu. Halafu, muda mfupi tu kabla ya hapo, Dkt Mpango alikuwa ndipo anaugulia vya mwisho -- and kwake it is fully established to be corona.
Natamani kujua upo kwenye mood ipi[emoji23][emoji23][emoji23]Kila nafsi itaonja umauti
Hujawahi kusoma: Those who cannot learn from history are doomed to repeat the very same mistakes!??? JFK alipopigwa risasi, mfumo mzima wa presidential protocals & security ulibadilishwa milele. Ndiyo maana kumuua US president sasa hivi hadi labda uwe rafiki muhibu sana wa the supposedly ^Israeli Mtoa Roho^
Hizo propaganda tu..CDF leo alisema wazi aliongea na mkuu kuwa alimuomba marehemu 26/02/2021 ahudhurie na kwenda kutoa nishani kwa wanajeahi waliohitimu mafunzo ..lakini ulipokaribia huo muda alimwambia CDF amebanwa na ratiba hivyo aliomba wasogeze hadi March 6..na ilipofika March 6 akamwambia hajisikii vizuri wasogeze mpaka March 10 lakini haikuwezekana tena....
Sasa kwa maelezo hayo tu hanaonesha Mh Rais alianza kuumwa siku nyingi..pia hata Makamu wa Rais kabla ya kuapishwa alisema mzee alilazwa mara mbili akiwa anaumwa ...
Siamini kama kuna watu walimuua,isitoshe hata kipindi cha kampeni mzee alionesha mgonjwa na hata laishindwa kufanya kampeni sehemu zote na kila akitembea alikua anatembea na mafeni(sijui kama nimepatia jina lake)... bila shaka hapa kuna watu mnawatafuta muwape zigo la Mavi
Kumbuka kuwa jpm huyu huyu ndie aliwafukuzawachina ktk ile bandari ya bagamoyo waliopewa na jmk kukodishiwa miaka 30Kwamba Tanzania haijawahi kuwa rafiki na China, we wa wapi? Wale ni jamaa zetu was kufa na kuzikana[emoji41]
Ujue nchi hii conspiracy hazijawahi kuisha, maalim seif alijitangaza kabisa kwamba anaumwa korona na akasisitiza watu wachukue taadhari mapema.Mdudu yule hakuna kingine ,Maalim alikutana na magu baada ya kama siku kadhaa maalim na crew yake wakaanza kuugua kovid19,kijazi ni mtu wa karibu sana na jpm.
Kweli kabisaPossible. Upande mwingine, mbona hawakufanya miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
Ofisini jalada la kwanza kabisa linalomsubiri ni muelekeo wake wa covid19 akifuata msimamo wa jpm tutakuwa hatunaye kinyume chake ni kutukanwa na kudhalilisha na media zao kwa kushirikiana na wachache wenye maslahi dhidi ya nchi hii.
Ukitaka kuamini corona ni biashara wala sio ugonjwa tazama sarakasi za Kenya
Unaambiwa usiku huu ndio virus wameamka wajipige lockdown asubui virus watalala hivyo lockdown inasitishwa hadi usiku tena
labda covid imekuwa kama daraja la kutekeleza maana hata mwizi akitaka kuiba kwako ni lazima akusome kwanza na atafute chance ya kupenyaPossible. Upande mwingine, mbona hawakufanya miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
Hapo kwenye miaka ni 99 na si 30.Kumbuka kuwa jpm huyu huyu ndie aliwafukuzawachina ktk ile bandari ya bagamoyo waliopewa na jmk kukodishiwa miaka 30
Kama nimekuelewa vzr mkuu kwa huu uzi, unajua majuzi nilileta uzi ambao ulionekana wa kawaida kwa kuwa ulikuwa katika mfumo wa Code (Sauti kutoka chumba cha siri) ili kuufanya uishi na wachache waelewe kisha waeleze wengine, , , kwa bahati mbaya hata wale wachache hawakuwelewa.
Anya way niachane na nayo, Iko hivi kuwa na PSU ndani ya PSU siyo bongo tu, hiyo ilitokea Kwa Moi/Kenya bahati nzr akafanikiwa lkn Mugabe alishindwa mwishoni ingawa mwanzoni alifanikiwa kupenya.
Sasa nije nije kwako, unadhani hao Intelligence wabobezi wenye uwezo wa kufanya uchunguzi huo atatoka wapi? Nje au ndani?
Kama ni nje na unasema huwenda watu wa nje wamefanikisha kumuhujumu Jiwe je watatoa majibu ya kweli?
Na kama ni wa ndani na ndani ya PSU kuna Ka-PSU kadogo unadhani zoezi hilo litafanikiwa bila kutokea hujuma nyingine?
Mimi nadhani SSH kwa usalama wake anakila sababu ya kuijenga upya TISS lkn kusema mara ooh kuna viapo, viapo ni nini si yale maandishi tu mtu anasoma kisha kukabidhi file.
Hivi hili swala nikweli, kuna clip nimeiona mitandaoniHapo kwenye miaka ni 99 na si 30.