Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Kwa JFK ilikuwa ni ngumu kusema kifo cha risasi sio conspiracy

Lakini kwa mazingira ya mfululizo wa vifo pale ikulu ilionesha wazi kwamba yule mdudu kaingia mjengoni

Mdudu yule hakuna kingine ,Maalim alikutana na magu baada ya kama siku kadhaa maalim na crew yake wakaanza kuugua kovid19,kijazi ni mtu wa karibu sana na jpm.
 
Kwa evolution na speed ya technology kwa sasa, ni rahisi sana kufanya hilo tukio mno.

Technology is evolving faster than we are.

Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
Possible. Upande mwingine, mbona hawakumfanyia hujuma hiyo miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
 
Possibilities zote zinawezekana kwa sababu si Wachina wote wanaipenda Tanzania. Hata US kuna friends wa China na China kuna friends wa US. But the likeliest answer is corona ambayo imesababisha heart complications.
Yeah kwamba ni kweli alikiwa na matatizo ya moyo lakini tatizo hilo pekee pengine lilikuwa weak kumtoa uhai, alikuwa na uwezo wa kufika hata 2030 akiwa yuko fit. Kama ambavyo alivyoweza kuishi hiyo miaka ya nyuma akiwa na tatizo hilo

So inawezekana corona ilikuja kuongezea nguvu ikamuondoa ila kwasababu alikuwa yuko kinyume na mataifa mengine kimsimamo kwenye corona wakaamua waseme kafa kwa moyo ili kumtunzia heshima
 
I fully agree. JPM's last statements show tayari naye alikuwa ameshapata wasiwasi kuhusu ugonjwa huo kuvamia himaya ya watu wake wa karibu. Halafu, muda mfupi tu kabla ya hapo, Dkt Mpango alikuwa ndipo anaugulia vya mwisho -- and kwake it is fully established to be corona.
kweli kabisa
 
Hujawahi kusoma: Those who cannot learn from history are doomed to repeat the very same mistakes!??? JFK alipopigwa risasi, mfumo mzima wa presidential protocals & security ulibadilishwa milele. Ndiyo maana kumuua US president sasa hivi hadi labda uwe rafiki muhibu sana wa the supposedly ^Israeli Mtoa Roho^

Now we are talking. The PSU needs reforms.

Kwanza, kipindi kama hiki cha vita ya uchumi , Corona and ku dispute Vaccines na kuwataka mabeberu ku invest kwenye madini ndani ya TZ badala ya kusafirisha,

kwa Intelligence makini ... JPM angetakiwa awe ni very hard to meet and see. But JPM wetu aliachiwa azurure kama mtoto wa kambo aliyekosa uangalizi wa wazazi.

Wapo busy na mabunduki, no one is giving a damn about guns now days.

Only technology can stop the truth. We have lost our truth.

Ishu lingine la msingi, what did PSU do technologically kwa kujua the president is holding a device which can be reprogrammed at distance?

Did they even know that the device can be recommended at a certain distance ? ... I don’t know [emoji2368]

Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
 
Hizo propaganda tu..CDF leo alisema wazi aliongea na mkuu kuwa alimuomba marehemu 26/02/2021 ahudhurie na kwenda kutoa nishani kwa wanajeahi waliohitimu mafunzo ..lakini ulipokaribia huo muda alimwambia CDF amebanwa na ratiba hivyo aliomba wasogeze hadi March 6..na ilipofika March 6 akamwambia hajisikii vizuri wasogeze mpaka March 10 lakini haikuwezekana tena....

Sasa kwa maelezo hayo tu hanaonesha Mh Rais alianza kuumwa siku nyingi..pia hata Makamu wa Rais kabla ya kuapishwa alisema mzee alilazwa mara mbili akiwa anaumwa ...

Siamini kama kuna watu walimuua,isitoshe hata kipindi cha kampeni mzee alionesha mgonjwa na hata laishindwa kufanya kampeni sehemu zote na kila akitembea alikua anatembea na mafeni(sijui kama nimepatia jina lake)... bila shaka hapa kuna watu mnawatafuta muwape zigo la Mavi

Uwezo wako wa kung’amua mambo ni mdogo.

Pole.
 
Kwamba Tanzania haijawahi kuwa rafiki na China, we wa wapi? Wale ni jamaa zetu was kufa na kuzikana[emoji41]
Kumbuka kuwa jpm huyu huyu ndie aliwafukuzawachina ktk ile bandari ya bagamoyo waliopewa na jmk kukodishiwa miaka 30
 
Mdudu yule hakuna kingine ,Maalim alikutana na magu baada ya kama siku kadhaa maalim na crew yake wakaanza kuugua kovid19,kijazi ni mtu wa karibu sana na jpm.
Ujue nchi hii conspiracy hazijawahi kuisha, maalim seif alijitangaza kabisa kwamba anaumwa korona na akasisitiza watu wachukue taadhari mapema.

Lakink hiyo bado haikutosha, maalim alipofariki watu naskia wakaenda kuzoa mchanga kwenye kaburi lake wakisema wanaenda kuloga endapo kama kuna mtu alimsababishia kifo naye atakufa

Baada ya kifo cha magufuli wameanza kusambaza zile conspiracy kwamba kile kifo cha maalim ndio sababu magufuli kafariki.

Hii ndio tanzania Japo kuwa marehemu alikiri wazi kua ana korona lakini watu bado wanapinga kua alifanyiwa njama akauliwa
 
Possible. Upande mwingine, mbona hawakufanya miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
Kweli kabisa
 
Ofisini jalada la kwanza kabisa linalomsubiri ni muelekeo wake wa covid19 akifuata msimamo wa jpm tutakuwa hatunaye kinyume chake ni kutukanwa na kudhalilisha na media zao kwa kushirikiana na wachache wenye maslahi dhidi ya nchi hii.
Ukitaka kuamini corona ni biashara wala sio ugonjwa tazama sarakasi za Kenya
Unaambiwa usiku huu ndio virus wameamka wajipige lockdown asubui virus watalala hivyo lockdown inasitishwa hadi usiku tena

Scientifically uwezekano huo haupo. Nimeeleza vema .
 
Hii make sense tangu tarehe 17 march 2021 tulipopata taarifa.

Ila ndugu mleta mada vipi upande wa pili makamanda wanasemaje?
 
Possible. Upande mwingine, mbona hawakufanya miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
labda covid imekuwa kama daraja la kutekeleza maana hata mwizi akitaka kuiba kwako ni lazima akusome kwanza na atafute chance ya kupenya
 
Kama nimekuelewa vzr mkuu kwa huu uzi, unajua majuzi nilileta uzi ambao ulionekana wa kawaida kwa kuwa ulikuwa katika mfumo wa Code (Sauti kutoka chumba cha siri) ili kuufanya uishi na wachache waelewe kisha waeleze wengine, , , kwa bahati mbaya hata wale wachache hawakuwelewa.
Anya way niachane na nayo, Iko hivi kuwa na PSU ndani ya PSU siyo bongo tu, hiyo ilitokea Kwa Moi/Kenya bahati nzr akafanikiwa lkn Mugabe alishindwa mwishoni ingawa mwanzoni alifanikiwa kupenya.

Sasa nije nije kwako, unadhani hao Intelligence wabobezi wenye uwezo wa kufanya uchunguzi huo atatoka wapi? Nje au ndani?
Kama ni nje na unasema huwenda watu wa nje wamefanikisha kumuhujumu Jiwe je watatoa majibu ya kweli?

Na kama ni wa ndani na ndani ya PSU kuna Ka-PSU kadogo unadhani zoezi hilo litafanikiwa bila kutokea hujuma nyingine?

Mimi nadhani SSH kwa usalama wake anakila sababu ya kuijenga upya TISS lkn kusema mara ooh kuna viapo, viapo ni nini si yale maandishi tu mtu anasoma kisha kukabidhi file.

Nimeshauri,

1. Mnyororo wa PSU ndogo ujulikane. Na hili ni rahisi kuubaini kama watu wataamua. Tunaanza na yule aliyekuwa anapokea taarifa, very friendly na bila madhara na kumuhakikishia usalama wake anawekwa mtu kati tujue vyanzo vyake.

2. Baada ya kuwabaini... inafanyika elimination na clearance

3. Special Intelligence Task wanawekwa for that purpose.
 
Back
Top Bottom